Membe amwaga siri Hayati Magufuli alivyomfitini na kumkosesha Ukatibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola

Unasema aliwahi kuwa rafiki yako? Inaonekana alikupotezea kwa kuwa ulikuwa na element za uchawa kwake.! Kifupi ni njaa ndio ilikufanya ujipendekeze kwake, kwa kuligundua hilo akakukataa, alifanya vizuri mno kuwakataa chawa kama wewe.!
Ndio shida ya ngozi nyeusi ukiambiwa we ni Nyani unalalamika yaani wewe pumbafu unaamini waziri hawezi kuwa chawa kwa taarifa yako alikuwa chawa wangu.
 
Nitafite privately nikupe shule vipi ndege zingechochea kilimo kama zintatumika appropriately...
 
Nani amemtweza nani? Au unaishi kwa hisia? Walioanza kumtweza mwenzao nani?

Tatizo ni kuwa facts zake zinajitetea kuliko maneno yao mengi yasiyo na viti vyaku show case...Trying to act smart and playing victims...
Kwanini umesema wewe upo kutetea legacy yake? Kwani kuna watu wanaoharibu legacy? Mimi huwa naamini mambo mazuri huwa yanaishi yenyewe wala hayahitaji promo.
 
Nitafite privately nikupe shule vipi ndege zingechochea kilimo kama zintatumika appropriately...
Hahahah! Hapa Mkuu imebidi nicheke, uamuzi wa kuwa na ndege nauunga mkono kwa 100% ni jambo jema na zuri kuwa na National carrier ila ndege kuchochea kilimo hapo sasa umekuwa mwanasiasa kidogo, sio ku subsidize katika mbolea,agromechanics and so on...maana kwanza tuwe na uhakika wa production maana customers wanataka metric tonnes za kutosha throughout the year then tuwaze logistics issues. So to me first Credit facilities to the farmers then simultaneously planning for logistics issues.
 
MATAGA buku 7 mpo??

Mje mtoe utetezi kwa sponsor wenu uchwara
 
Yaani unajua huyu mtu ni mwizi alafu umpe nafasi? Jaribu kupitia comments za watu utagundua JPM alikuwa sahihi kumuwekea kauzibe huyo mswahili.
 
Ni kweli alikuwa katili, mdhalilishaji na muuaji ila kwa maslahi mapana ya taifa. Alitakiwa kuwa zaidi ya pale.!
 
Ndio shida ya ngozi nyeusi ukiambiwa we ni Nyani unalalamika yaani wewe pumbafu unaamini waziri hawezi kuwa chawa kwa taarifa yako alikuwa chawa wangu.
Lazima useme hivyo kwani unajitetea[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji7] Ila nimeshajua ulikuwa chawa, nimeona dalili mojawapo kuu 1 kwako, ila sikuambii ni ipi. Ona sasa unavyohadhirika?! Unaonekana ulikuwa na njaa njaa mno na ndio maana akakutema[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Magufuli endelea kupumzika kwa amani,
Hawajui kura wewe ndio ulileta chama kikiwa hoi,now ushatengeza wanakutusi.

Nyinyi 2025 mtajua hamjui,watz wanawangoja,huu upuuzi wa kumtukana aliesaidia chama mtaona matunda yake.
 
Ukijifanya kibeberu mbele ya Rais wa nchi, lazima ukutane na hayo. Ni muhimu na ni lazima kiongozi mkuu wa nchi aheshimiwe hata kama hukubaliani naye.
Tulia, muda wake ukiisha ataondoka. Na hatuwezi wote kuwa viongozi wakuu, haijalishi tuko bora au smart kiasi gani.
 
Kwenye siasa HAKUNA adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu!!

Kinachopingwa kwenye siasa ni VISASI...

Ingawaje Lowassa na Membe walikuwa mahasimu kwenye siasa, am certain kama Lowassa angekuwa Rais, asingembania Membe kuwa Katibu Mkuu wa Commonwealth.

Lowassa, kwa kariba yake wala haonekani kama ni mtu wa visasi!!
 
Hivi umesoma hiyo habari?!

Kama ndiyo, ni ubeberu upi Membe aliufanya wakati gani wakati mchakato wa kumpata Katibu Mkuu ulikuwa November 2015?!

Ukweli ni kwamba, Magu alikuwa ni mtu wa chuki na visasi!
 
Baadhi ya Psychiatrists na Psychologists wanaona ni tatizo la afya ya akili "mental disorder" ambapo sehemu ya ubongo wa sadist huwa inachangamshwa "aroused" kutokana na hali maumivu anayoonyesha kiumbe mwingine. Baadhi ya wataalamu wanaona sadism inatokana na malezi baadhi watu wanayopitia kama kuwa kuteswa sana, kubaguliwa, kudharauliwa n.k pia kuwa katika mazingira ya karibu sana na sadist kama wazazi au ndugu.
Hivi hii inatokana na nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…