Kuona mtu mwingine ana roho mbaya na ukatili ni mtazamo wa mtu binafsi.
Unamfahamu Mfalme Leopold wa Pili wa Ubelgiji?Sio kweli, wapo watu wanojulikana wana roho mbaya na makatili. Watu wakisema Hitler alikuwa na roho mbaya kwa kuua mamilioni ya wayahudi raia wa Ujerumani ni mtazamo binafsi?
Watu wanaoua wenzio makusudi wakiitwa wana roho mbaya ni mtazamo binafsi?
Watu wanaoharibu kazi au biashara za wengine na kuziacha familia za watu hao zikiteseka kisa tu hawawapendi watu hao wakiitwa ni makatili ni mtazamo binafsi ?
Raisi angeweza kukaa naye chini na kumpa nafasi tena. Hakuna asiye na makando kando katika hii dunia.Yaani unajua huyu mtu ni mwizi alafu umpe nafasi? Jaribu kupitia comments za watu utagundua JPM alikuwa sahihi kumuwekea kauzibe huyo mswahili.
Hata kama ukijaribu huwezi kumridhisha kila mtu. Kiongozi ni kama mzazi, kwa baadhi ya watoto atakuwa kama mkali, kwa wengi mpole, kwa wengine kama adui na kwa wengine kama rafiki. Hata ufanye nini huwezi kumridhisha kila mtu. Kwa sababu mtazamo wake juu yako hauhusiani kwa vyovyote na wewe. Ni maamuzi yake binafsi.
Kitu ambacho kwako ni baraka huenda ni laana kwa mtu mwingine.Sio kweli, wapo watu wanojulikana wana roho mbaya na makatili. Watu wakisema Hitler alikuwa na roho mbaya kwa kuua mamilioni ya wayahudi raia wa Ujerumani ni mtazamo binafsi?
Watu wanaoua wenzio makusudi wakiitwa wana roho mbaya ni mtazamo binafsi?
Watu wanaoharibu kazi au biashara za wengine na kuziacha familia za watu hao zikiteseka kisa tu hawawapendi watu hao wakiitwa ni makatili ni mtazamo binafsi ?
Wapi alikataa kuwa hakosei? Mara ngapi alielezea hilo? Kama kila mtu ana mabaya yake what our culture says about marehemu? Hata natural justice hamtoi kwa nafsi yake then you come.pretending mnajua justice ninyi? Wabaya ni watu aina yenu ku amplify mabaya badala ya mazuri knowingly hakupata nafasi ya kuwa nje ya uwanja na kuji evaluate kama Nyerere alivyopata? Nyerere aliandika kitabu hicho alipokufa? Je alikiandika alipokuwa madarakani? Do you hear yourself? Leo Nayerere huyu huyu amekuwa mzuri as if hakuwa akiwa labled dictator soon after his regime ended? Alisemwa kwa miaka mingapi huyo? Acheni uswahili, hausaidii, do what you ought to and let the soul of our dear hayati rest where it deserves...Mungu amhukumu kwa haki yake na si wanadamu sisi!
"The greatest acts of love are the hardest to commit."Kuna tofauti kubwa ya kutomridhisha mtu na kufanyia watu ukatili.
Unamfahamu Mfalme Leopold wa Pili wa Ubelgiji?
Kitu ambacho kwako ni baraka huenda ni laana kwa mtu mwingine.
Tunarudi pale pale. Ni mtazamo binafsi.
Ukatili wa Hitler haukaribii hata kidogo kwa Leopold II. Lakini Hitler kila mtu anamsema, nilichotaka kukujuza hapa ni kwamba, ukatili wa mtu pia huchangiwa na maneno ya watu. Watu wanaweza kukuza vitu mpaka ukahisi anaezungumziwa alikuwa Shetani mwenyewe. Lakini sio kweli, achana na habari za "Inasemekana", "Anashutumiwa", "Inasadikika" na mengine kama hayo.Namfahamu, alikuwa mkoloni mtawala katili wa koloni la Congo aliyetoa amri ya kukatwa viganja vya mikono kwa watu walioshindwa kukusanya kiasi cha mpira walichopangiwa.
"The greatest acts of love are the hardest to commit."
-Solace 2
Kuthibitishwa. Na kuua sio wakati wote ni ukatili.Kama kila kitu kwako ni mtazamo binafsi kwa nini wauaji wanafungiwa magerezani na kwa nini mahakama zipo?
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe kwa uelewa wako finyu unafikiri usipompenda mtu au usipomridhisha tayari umemfanyia ukatili. Ukatili, roho mbaya na dhuluma ni tofauti sana na ulivyokariri.
Huyu wa sasa vipi ana roho gani?Tulikuwa na raisi mshamba na mwenye roho ya kishetani
Ni kweli, mfano mzuri sabaya, uwezi faidika nae uone uovu wake, ingawa mazuri yapo!Binafsi bado naamini magu kaacha chembechembe zake kwenye mfumo tena zakutosha.
Mkuu ni kweli una hoja. Lakini, hivi Kinana ndiye aliyekuwa saizi ama mtu aliyekuwa ana'mmudu' JPM(R.I.P)? Au Kenyatta alitaka kuonyesha dharau, nikitumia dhana yako ya marais kuingilia kati masuala ya nchi nyingine?...hii ni mfano wa mambo yanavoenda hata sasa,wewe ukiwa Rais wa nchi nyingine na huna uhusiano wa karibu na Rais fulani unamtumia kiongozi aliyekuwa karibu naye
Dhambi ni dhambi haina mtazamo binafsiKitu ambacho kwako ni baraka huenda ni laana kwa mtu mwingine.
Tunarudi pale pale. Ni mtazamo binafsi.
Mkuu ni kweli una hoja. Lakini, hivi Kinana ndiye aliyekuwa saizi ama mtu aliyekuwa ana'mmudu' JPM(R.I.P)? Au Kenyatta alitaka kuonyesha dharau, nikitumia dhana yako ya marais kuingilia kati masuala ya nchi nyingine?
Kamwe hatuwezi kuacha kushirikiana au kusaidia jirani zetu au Binadamu yeyote mwnye shida eti kwa sababu Soviet!! alishindwa never!! kwani yeye ni nani mpaka tujifunze toka kwake? sisi ni sisi tunaweza tena kuliko yeyey mbali.....Soviet ilianguka kwa kujifanya mlinzi na mlezi wa kila nchi ya kijamaa!!
====
Ni kweli mkuu lazima uwe na mahusiano mazuri na wateja ili uweze kuuza.Mfano ni namna majirani walivyokataa mahindi yetu wakidai yana sumu kuvu baada ya trip moja ya mother kwa jirani mahindi yakaisha sumu kuvu ghafla.