Uchaguzi 2020 Membe anajinasibu kuwa na wenzake sita ndani ya CCM

Uchaguzi 2020 Membe anajinasibu kuwa na wenzake sita ndani ya CCM

Jumbe Brown

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2020
Posts
12,077
Reaction score
12,786
Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza

Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.

Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko

Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao
 
Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza
...
Magamba huwa mnashangaza sana hapo red; "asiyeridhika"; "kimbilia madaraka"; "tamaa ya madaraka"; and such stupid keywords! Ni nani asiye na tamaa ya madaraka? BTW ni kwanini fomu imetolewa moja tu huku wengine wakizuiwa? Demokrasia ya wapi hiyo?

Kwanini wenye sifa wananyimwa haki yao ya kikatiba kuomba kuchaguliwa katika nafasi ya uongozi wa nchi yetu? Katiba ya CCM inasema aliye madarakani hapingwi? Tunazo kumbukumbu Mh. Kikwete aliwahi kupingwa na John Madale Shibuda, tatizo liko wapi leo?
 
Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza

Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.

Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko

Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao
Mnaacha kumchagua mtu ambaye ni really presidential material mnakwenda kumchagua mkagua madaraja kweli ccm mmepotoka.
 
Mwambieni Jiwe awaonee huruma wastaafu. Amedhulumu fedha zao toka kwenye mifuko ya jamii kisha kuwaachia mateso na maumivu makubwa wazee wetu.
Kwa wastaafu, Jiwe sio shujaa bali ni dhalimu kama madhalimu wengine.
 
Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza

Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.

Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko

Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao
Membe akiongea pimbi wote vigololi lazima viwashuke dadeq.
 
Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza

Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.

Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko

Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao
bora beberu kuliko mkoloni mweusi ambaye akiamuka asubuhi maamuzi yanayotuhusu wananchi eti yanategemea aliamkia kalio au tumbo!
 
Magamba huwa mnashangaza sana hapo red; "asiyeridhika"; "kimbilia madaraka"; "tamaa ya madaraka"; and such stupid keywords! Ni nani asiye na tamaa ya madaraka? BTW ni kwanini fomu imetolewa moja tu huku wengine wakizuiwa? Demokrasia ya wapi hiyo?

Kwanini wenye sifa wananyimwa haki yao ya kikatiba kuomba kuchaguliwa katika nafasi ya uongozi wa nchi yetu? Katiba ya CCM inasema aliye madarakani hapingwi? Tunazo kumbukumbu Mh. Kikwete aliwahi kupingwa na John Madale Shibuda, tatizo liko wapi leo?
acha uzwazwa, nenda hata marekani kwa wazee wa demokrasia kawaulize Republican kws nini Trump hana mpinzani ndani ya chama chake wakati huu?
 
acha uzwazwa, nenda hata marekani kwa wazee wa demokrasia kawaulize Republican kws nini Trump hana mpinzani ndani ya chama chake wakati huu?
Marekani kuna Republicans wameshindana na Trump mwaka huu.

Kuna Bill Weld, Joe Walsh na Roque de la Fuente.

Kabla ya kukimbilia kuandika kuhusu Marekani, jaribu hata ku Google kwanza.

Marekani wanaweka habari zote muhimu kama hizi mitandaoni.
 
Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza

Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.

Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko

Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao
Sasa unalia nini ?
 
Ukitaka kushindana na beberu, lazima na wewe uwe beberu haswaa..
 
Back
Top Bottom