Uchaguzi 2020 Membe anajinasibu kuwa na wenzake sita ndani ya CCM

Uchaguzi 2020 Membe anajinasibu kuwa na wenzake sita ndani ya CCM

6 mara 12 ni sawa sawa na 72
72 mara 10 ni sawa sawa na 720
 
Hili beberu jeusi likimalizana na upinzani ni linageukia CCM rasmi
1592575.jpg
 
Membe ndo atapeperusha bendera ya ccm ngazi urais mwezi October jiwe nafsi hiyo ni pana imempwaya wanaccm turufu yetu ipo kwa membe
 
huyu mtu anajiona yeye ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa kuwa Rais hapa Tanzania. nahis 2015 angepitishwa basi asingetoka madarakan..na anaonekana kuwa ni mtu mwenye dharau na kiburi sana..
Kuonyesha nia ya kutaka Urais ndio kua na dharau na kiburi?
 
Kwa nin tunamtkana Membe? Mtu anadai haki yake! Ama ni dhambi Tanzania kudai haki yako?
Sisi VIJANA wa CCM tunayoijua vema MISINGI ADHIMU ya ITIKADI ya CCM inayoweka mizania ya UTU kamwe hatumtukani Membe tunamkumbusha tu KUWA CCM INA ADA YA KUMWACHA ALIYEPO AMALIZE...NI KAWAIDA YA CCM TU...NDIVYO ILIVYO.
 
ITATEGEMEA NIMEAMKA JE?

HATA UKICHAGULIA NITAKUKATA NICHUKUE HATA WA TATU
 
Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza

Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.

Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko

Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao
Benard Membe hana uwoga na anajiamini, ana haki kabisa kabisa kabisa ya kugombea Urais ndani ya CCM. Analindwa na Katiba na si utamaduni au huo utaratibu wako.
 
ITATEGEMEA NIMEAMKA JE?

HATA UKICHAGULIA NITAKUKATA NICHUKUE HATA WA TATU
Sweetie yaani huu ni mwaka wa 5 madarakani hujamzoea mh.magufuli anapenda kuchombeza utani ktka zle nondo ashushazo...yaani huyu bwana huchoki kusikiliza hotuba zake yaani mwalimu nyerere mtupuuuu
 
Benard Membe hana uwoga na anajiamini, ana haki kabisa kabisa kabisa ya kugombea Urais ndani ya CCM. Analindwa na Katiba na si utamaduni au huo utaratibu wako.
1.'Hana Woga'...NI kweliiii huyu bwana hamjali na kumuogopa yeyote Ana kiburi Cha asili...waulzeni watu aliofanya nao kazi foreign affairs...NI MDHARAU KILA MTU NA KUJIONA MR.THE BEST...
 
Mnaacha kumchagua mtu ambaye ni really presidential material mnakwenda kumchagua mkagua madaraja kweli ccm mmepotoka.
Nyie chadema leteni huyo mnayeona ni presidential material. Asiwe mlevi chakari au mbwatukaji.
 
Wana mtandao nao wameamua kuunganisha nguvu zao tena, kwa kupitia miaka mitano iliyopita wamejifunza ya kwamba kila mmoja wao alikuwa msaliti kwa mwingine, na pia kila mmoja wao anamuhitaji mwingine.

Aidha, kupitia magomvi yao kumesababisha wajikute waathirika wakubwa wa maslahi yao kama kundi na binafsi pia. Kwa hiyo kauli ya Membe ni "revitalisation & reorganization" rasmi ya kundi hili ambalo kila mtu aliaamini limekufa.
 
Back
Top Bottom