Uchaguzi 2020 Membe anajinasibu kuwa na wenzake sita ndani ya CCM

Uchaguzi 2020 Membe anajinasibu kuwa na wenzake sita ndani ya CCM

CCM inakwenda kupasuka vipande viwili kama suala hili tusipolitatua kwa wakati muafaka.
 
acha uzwazwa, nenda hata marekani kwa wazee wa demokrasia kawaulize Republican kws nini Trump hana mpinzani ndani ya chama chake wakati huu?
.... kwa hiyo ndio utaratibu? Kuhusu Republicans msome Kiranga hapo juu; yes, wapo waliojitokeza kushindana na Trump.
 
Marekani kuna Republicans wameshindana na Trump mwaka huu.

Kuna Bill Weld, Joe Walsh na Roque de la Fuente.

Kabla ya kukimbilia kuandika kuhusu Marekani, jaribu hata ku Google kwanza.

Marekani wanaweka habari zote muhimu kama hizi mitandaoni.
... zwazwa tang'ana soma hiyo na uache pumba zako. Mpeni Membe fomu acheni ujinga.
 
acha uzwazwa, nenda hata marekani kwa wazee wa demokrasia kawaulize Republican kws nini Trump hana mpinzani ndani ya chama chake wakati huu?


Unajamba mbele za watu kwa upuuzi wako. Usiongee mambo usiyoyajua
 
Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza

Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.

Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko

Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao

Hivi inawezekanaje kijana kama Polepole kuongea misemo na maneno ya kizee hivyo? Bado anaamini wananchi wanaamini sana mitazamo ya Nyerere, mpaka amtumie kama refence ya nini wananchi wanataka?
 
Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza

Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.

Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko

Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao
Kati yako mleta uzi na Membe nani anatapatapa?kama anatapatapa kwanini uhangaike kupanda jukwaani,tena kwa bando ya kukopa.
 
Huu ni mpambano ktk ya CCM Asili vs CCM Wakuja kwa huku Bara, wakati kule Zanzibar ni CCM Chaguo la Kisiwandui vs CCM Chaguo la Dodoma a.k.a la Mwenyekiti. Hapa kazi ipo,
Yaani iko hivi
1575198695167.jpg
IMG-20191216-WA0001.jpg
 
Kweli nyinyi CCM 6 mgombea wenu huyo mjivuni was mtama...
Membe ndo atapeperusha bendera ya ccm ngazi urais mwezi October jiwe nafsi hiyo ni pana imempwaya wanaccm turufu yetu ipo kwa membe
Mabeberu na makuwadi ndio watu gani mbona mimi sielewii, nakumbuka tukiwa kwenye vikao rasmi sikuwahi kusikia majina kama Mebeberu. TZ aisee safi sana.
Wewe kweli mtoto...yaani ktka falsafa za CCM hakuna WAITWAO MEBEBERU NA MAKUWADI...VISOME VITABU VYA MWALIMU NYERERE mfano "TUJISAHIHISHE"
MFANO WA MABEBERU NI WALE WALIOKETI BUNGENI UJERUMANI WAKAPINGA UANZWISHAJI WA MRADI WA KUFUA UMEME WA MWALIMU NYERERE...

MAKUWADI WA MABEBERU NI wale waliohanikiza na kushadadia sauti za mabwana wait hao mfano mmoja wapo ni mh Tundu Lissu na mh.Zitto zuberi Kabwe...
Naskia mh.Tundu Lissu anaishi Mjini Bonn Karibu na makao makuu ya REDIO YA DW ILIYOMHOJI MZEE wetu Membe mchana huu...
 
Hahaha yule bwana kiburi mjivuni na mdharau watu kutoka mtama eti anaWASALITI WENZAKE SITA NDANI YA CCM...

Ccm sio Magufuli, japo Magufuli amefanikiwa kuwahadaa baadhi ya wanaccm maslahi kuwa yeye ndio ccm. Uzuri Membe hili analifahamu vyema, ndio maana anataka ccm ibaki kama taasisi, na sio iwe genge la Magufuli.
 
Kweli nyinyi CCM 6 mgombea wenu huyo mjivuni was mtama...


Wewe kweli mtoto...yaani ktka falsafa za CCM hakuna WAITWAO MEBEBERU NA MAKUWADI...VISOME VITABU VYA MWALIMU NYERERE mfano "TUJISAHIHISHE"
MFANO WA MABEBERU NI WALE WALIOKETI BUNGENI UJERUMANI WAKAPINGA UANZWISHAJI WA MRADI WA KUFUA UMEME WA MWALIMU NYERERE...

MAKUWADI WA MABEBERU NI wale waliohanikiza na kushadadia sauti za mabwana wait hao mfano mmoja wapo ni mh Tundu Lissu na mh.Zitto zuberi Kabwe...
Naskia mh.Tundu Lissu anaishi Mjini Bonn Karibu na makao makuu ya REDIO YA DW ILIYOMHOJI MZEE wetu Membe mchana huu...

Karne hii unatuletea falsafa za Nyerere za karne iliyopita!
 
Sweetie yaani huu ni mwaka wa 5 madarakani hujamzoea mh.magufuli anapenda kuchombeza utani ktka zle nondo ashushazo...yaani huyu bwana huchoki kusikiliza hotuba zake yaani mwalimu nyerere mtupuuuu

Acha kumlinganisha mwalim na vitu vya ajabu ajabu aisee
 
Back
Top Bottom