Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Vipi Mbowe hafai?Iwe jua iwe mvua membe anachukua nchi October,nchi zote za magharibi wako nyuma ya membe....membe anasubiri kuapishwa Tu maana kila kitu kipo OK
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi Mbowe hafai?Iwe jua iwe mvua membe anachukua nchi October,nchi zote za magharibi wako nyuma ya membe....membe anasubiri kuapishwa Tu maana kila kitu kipo OK
Komredi huyo zwazwa anajua kuwa MH.JPM ANAPAMBANA NA MABEBERU NA MAKUWADI WAO NDANI NA NJE YA NCHI...You should be ashamed of yourself, kwahiyo mataifa ya magharibi ndo yanatuchagulia rais?
.... kwa hiyo ndio utaratibu? Kuhusu Republicans msome Kiranga hapo juu; yes, wapo waliojitokeza kushindana na Trump.acha uzwazwa, nenda hata marekani kwa wazee wa demokrasia kawaulize Republican kws nini Trump hana mpinzani ndani ya chama chake wakati huu?
Membe ndo Ana haki ya kuwa rais?Kwa nin tunamtkana Membe? Mtu anadai haki yake! Ama ni dhambi Tanzania kudai haki yako?
Kwa kwa kwakwakwa we mtu aliyekacha kulipa Kodi ya pango miaka 20 pale Bills leo awe rais ha ha ha Serena ZITAGEUZWA IKULU....Vipi Mbowe hafai?
... zwazwa tang'ana soma hiyo na uache pumba zako. Mpeni Membe fomu acheni ujinga.Marekani kuna Republicans wameshindana na Trump mwaka huu.
Kuna Bill Weld, Joe Walsh na Roque de la Fuente.
Kabla ya kukimbilia kuandika kuhusu Marekani, jaribu hata ku Google kwanza.
Marekani wanaweka habari zote muhimu kama hizi mitandaoni.
Ndiko aliko Lissu, chadema wote wanawaza kitumwa tuu.You should be ashamed of yourself, kwahiyo mataifa ya magharibi ndo yanatuchagulia rais?
Alikuja mh.lowassa CCM IKAWAKAFINI KWA KIMBUNGA JUU YA YALE MAFURIKO YENU KOKO ha ha ha msalimie rafk yngu mtunduizi Yericko Nyerere kwi kwi kwi kwiAje chadema tunamtaka
Kwa nin tunamtkana Membe? Mtu anadai haki yake! Ama ni dhambi Tanzania kudai haki yako?
acha uzwazwa, nenda hata marekani kwa wazee wa demokrasia kawaulize Republican kws nini Trump hana mpinzani ndani ya chama chake wakati huu?
Hakuna mlevi kama jiwe hujui tu.Nyie chadema leteni huyo mnayeona ni presidential material. Asiwe mlevi chakari au mbwatukaji.
Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza
Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.
Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko
Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao
Kati yako mleta uzi na Membe nani anatapatapa?kama anatapatapa kwanini uhangaike kupanda jukwaani,tena kwa bando ya kukopa.Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza
Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.
Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko
Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao
Yaani iko hiviHuu ni mpambano ktk ya CCM Asili vs CCM Wakuja kwa huku Bara, wakati kule Zanzibar ni CCM Chaguo la Kisiwandui vs CCM Chaguo la Dodoma a.k.a la Mwenyekiti. Hapa kazi ipo,
Membe ndo atapeperusha bendera ya ccm ngazi urais mwezi October jiwe nafsi hiyo ni pana imempwaya wanaccm turufu yetu ipo kwa membe
Wewe kweli mtoto...yaani ktka falsafa za CCM hakuna WAITWAO MEBEBERU NA MAKUWADI...VISOME VITABU VYA MWALIMU NYERERE mfano "TUJISAHIHISHE"Mabeberu na makuwadi ndio watu gani mbona mimi sielewii, nakumbuka tukiwa kwenye vikao rasmi sikuwahi kusikia majina kama Mebeberu. TZ aisee safi sana.
Hahaha yule bwana kiburi mjivuni na mdharau watu kutoka mtama eti anaWASALITI WENZAKE SITA NDANI YA CCM...
Kweli nyinyi CCM 6 mgombea wenu huyo mjivuni was mtama...
Wewe kweli mtoto...yaani ktka falsafa za CCM hakuna WAITWAO MEBEBERU NA MAKUWADI...VISOME VITABU VYA MWALIMU NYERERE mfano "TUJISAHIHISHE"
MFANO WA MABEBERU NI WALE WALIOKETI BUNGENI UJERUMANI WAKAPINGA UANZWISHAJI WA MRADI WA KUFUA UMEME WA MWALIMU NYERERE...
MAKUWADI WA MABEBERU NI wale waliohanikiza na kushadadia sauti za mabwana wait hao mfano mmoja wapo ni mh Tundu Lissu na mh.Zitto zuberi Kabwe...
Naskia mh.Tundu Lissu anaishi Mjini Bonn Karibu na makao makuu ya REDIO YA DW ILIYOMHOJI MZEE wetu Membe mchana huu...
Life giver,mungu wa miungu bwana wa mabwana alfa na omega nani kama yeye!I kanti blisi...
Sweetie yaani huu ni mwaka wa 5 madarakani hujamzoea mh.magufuli anapenda kuchombeza utani ktka zle nondo ashushazo...yaani huyu bwana huchoki kusikiliza hotuba zake yaani mwalimu nyerere mtupuuuu