Uchaguzi 2020 Membe anajinasibu kuwa na wenzake sita ndani ya CCM

Uchaguzi 2020 Membe anajinasibu kuwa na wenzake sita ndani ya CCM

Sweetie yaani huu ni mwaka wa 5 madarakani hujamzoea mh.magufuli anapenda kuchombeza utani ktka zle nondo ashushazo...yaani huyu bwana huchoki kusikiliza hotuba zake yaani mwalimu nyerere mtupuuuu
Umemvunjia heshima sana Baba wa Taifa
 
Kww
Kila mtu akidai haki mnatudanganya sisi hohehahe eti ni mabeberu wanamshawishi! Mabeberu ni hawa polisi wanaokamata wadai haki badala ya wahalifu!
Kweli wewe mgonjwa wa LUTINDI km yule mbunge kijana ANAYEPAYUKA NA KUROMOKWA akisahau kumeza ANTIPSYCHOTICS zake....yule mbunge wa Jimbo moja dar es salaam ALIYEFUKUZWA UDSM KIPINDI KILEEE....

POLISI HUWA WANAKAMATA WAHALIFU...wako baadhi ya ASKARI POLISI wasiofuata taratibu walizofundishwa pale CCP MOSHI wakayafanya ya hovyo km Yale ya VIJANA watukutu wa bavicha....
Msalimie mh.Mnyika...kwi kwi kwi kwi
 
1.'Hana Woga'...NI kweliiii huyu bwana hamjali na kumuogopa yeyote Ana kiburi Cha asili...waulzeni watu aliofanya nao kazi foreign affairs...NI MDHARAU KILA MTU NA KUJIONA MR.THE BEST...
Membe ana haki kabisa kabisa kabisa ya kugombea Urais ndani ya CCM. Analindwa na Katiba na si utamaduni au huo utaratibu wenu fake, kwanini basi asiruhusiwe kuchukua fomu akajipime na Rais ili KUNOGESHA mchakato?
 
Ifuatayo ni miradi mikubwa iliyojengwa na wakoloni:-

1. Ujenzi wa Bandari ya DSM
2. Ujenzi wa Bandari ya Tanga
3. Ujenzi wa Bandari ya Mtwara
4. Ujenzi wa uwanja wa ndege wa DSM
5. Ujenzi wa uwanja wa Bandari ya Pemba
6. Ujenzi wa Ikulu ya DSM
7. Ujenzi wa Dsm College (Baadae ikaboreshwa na kuwa UDSM baada ya uhuru)
8. Ujenzi wa Bandari ya Zanzibar
9. Ujenzi wa reli ya kati, Dar-Tabora-Mwanza, Tabora -Kigoma
10. Ujenzi wa mji wa Tanga + Master Plan
11. Ujenzi wa Jiji la DSM + master plan yake
12. Ujenzi wa Bandari ya Mwanza
13. Ujenzi wa bandari ya Bukoba na Musoma
14. Ujenzi wa Bandari ya Mbamba Bay
15. Ujenzi wa Bandari ya Ujiji Kigoma
16. Uundaji wa meli ya MV. Liemba (Ziwa Tanganyika)
17. Uunzi wa meli ya MV. Victoria (Ziwa Victoria)

18. Ujenzi wa shule za Sekondari za kale, mfano Mzumbe, Ilboru, Tanga Tech, Moshi Tech, Mazengo, Mtwara Tech, Tabora Boys+Girls, Pugu, Kibaha, Minaki, Bwiru boys & Girls, Msalato, Ifunda, Iyunga, Mkwawa, Nganza, Tosamaganga, Kilakara, nk

19. Ujenzi wa Ikulu ya Z'bar
20. Ujenzi wa majengo mengi ya Wizara za serikali, vituo vya polisi, magereza na Mahakama.
21. Ujenzi wa shule za msingi za serikali na za Seminari
22. Ujenzi wa makanisa, mf. St. Joseph na Azania Front (Posta Dar) na Misikiti kwa upande wa Z'bar
23. Ujenzi wa hospitali kubwa, mf. Muhimbili
24. Ujenzi wa mabwawa ya kuzalisha umeme mf. Hale + Nyumba ya Mungu.
25. Ujenzi wa vyuo vikuu vya kati, mfano Dar Tech, Arusha Tech, vyuo vya Ualimu, Kilimo, nk
26. Ujenzi wa reli ya Tanga
27. Ujenzi wa gridi ya kwanza ya Taifa ya umeme
28. Uanzishaji wa mashirika ya umma mfano Posta na simu pamoja na Benki yake
29. Ujenzi wa Uwanja wa Taifa, jijini Dar (Leo Shamba la Bibi)
30. Ujenzi wa vivuko, mfano Kigamboni na Posta jijini Dar
31. Na kadhalika na kadhalika.

Lakini pamoja na yoooote hayo, miradi hiyo yooote, Bado wazee wetu wakiongozwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, walisimama mbele ya kadamnasi na kuwaambia wananchi kuwa hao watu (wakoloni) hawafai, waondoke watupishe. Na kweli wakapisha rasmi Desemba mwaka 1961.

Sasa mwaka huu 2020, mimi ni nani hata nisimpinge ccm kwenye uchaguzi huu, pale anapotumia miradi ya maendeleo kadhaa iliyojengwa na serikali anayoiongoza, kama kigezo cha yeye kutaka kuchaguliwa tena na kubakia madarakani?

Tafakari...!!!.
 
Watu hamjajua nia ya membe. Nia ya membe sio kugombea uraisi mwaka huu km mnavyofikiri, nia yake ni kuendelea kuwa akilini na midomoni mwa watu kutajwatajwa ili 2025 awe bado yupo juu kwa ushawishi aweze kugombea coz mzee mzma atakuwa anaachia nafasi
 
acha uzwazwa, nenda hata marekani kwa wazee wa demokrasia kawaulize Republican kws nini Trump hana mpinzani ndani ya chama chake wakati huu?
Alikuwa na wapinzani wawili amewashinda
 
Ccm sio Magufuli, japo Magufuli amefanikiwa kuwahadaa baadhi ya wanaccm maslahi kuwa yeye ndio ccm. Uzuri Membe hili analifahamu vyema, ndio maana anataka ccm ibaki kama taasisi, na sio iwe genge la Magufuli.
Kwa akili yako Membe ndio atakuja kuwa rais bora?
 
1.'Hana Woga'...NI kweliiii huyu bwana hamjali na kumuogopa yeyote Ana kiburi Cha asili...waulzeni watu aliofanya nao kazi foreign affairs...NI MDHARAU KILA MTU NA KUJIONA MR.THE BEST...
Hawa ndio tunawataka wapambane na JIWE
 
Ifuatayo ni miradi mikubwa iliyojengwa na wakoloni:-

1. Ujenzi wa Bandari ya DSM
2. Ujenzi wa Bandari ya Tanga
3. Ujenzi wa Bandari ya Mtwara
4. Ujenzi wa uwanja wa ndege wa DSM
5. Ujenzi wa uwanja wa Bandari ya Pemba
6. Ujenzi wa Ikulu ya DSM
7. Ujenzi wa Dsm College (Baadae ikaboreshwa na kuwa UDSM baada ya uhuru)
8. Ujenzi wa Bandari ya Zanzibar
9. Ujenzi wa reli ya kati, Dar-Tabora-Mwanza, Tabora -Kigoma
10. Ujenzi wa mji wa Tanga + Master Plan
11. Ujenzi wa Jiji la DSM + master plan yake
12. Ujenzi wa Bandari ya Mwanza
13. Ujenzi wa bandari ya Bukoba na Musoma
14. Ujenzi wa Bandari ya Mbamba Bay
15. Ujenzi wa Bandari ya Ujiji Kigoma
16. Uundaji wa meli ya MV. Liemba (Ziwa Tanganyika)
17. Uunzi wa meli ya MV. Victoria (Ziwa Victoria)

18. Ujenzi wa shule za Sekondari za kale, mfano Mzumbe, Ilboru, Tanga Tech, Moshi Tech, Mazengo, Mtwara Tech, Tabora Boys+Girls, Pugu, Kibaha, Minaki, Bwiru boys & Girls, Msalato, Ifunda, Iyunga, Mkwawa, Nganza, Tosamaganga, Kilakara, nk

19. Ujenzi wa Ikulu ya Z'bar
20. Ujenzi wa majengo mengi ya Wizara za serikali, vituo vya polisi, magereza na Mahakama.
21. Ujenzi wa shule za msingi za serikali na za Seminari
22. Ujenzi wa makanisa, mf. St. Joseph na Azania Front (Posta Dar) na Misikiti kwa upande wa Z'bar
23. Ujenzi wa hospitali kubwa, mf. Muhimbili
24. Ujenzi wa mabwawa ya kuzalisha umeme mf. Hale + Nyumba ya Mungu.
25. Ujenzi wa vyuo vikuu vya kati, mfano Dar Tech, Arusha Tech, vyuo vya Ualimu, Kilimo, nk
26. Ujenzi wa reli ya Tanga
27. Ujenzi wa gridi ya kwanza ya Taifa ya umeme
28. Uanzishaji wa mashirika ya umma mfano Posta na simu pamoja na Benki yake
29. Ujenzi wa Uwanja wa Taifa, jijini Dar (Leo Shamba la Bibi)
30. Ujenzi wa vivuko, mfano Kigamboni na Posta jijini Dar
31. Na kadhalika na kadhalika.

Lakini pamoja na yoooote hayo, miradi hiyo yooote, Bado wazee wetu wakiongozwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, walisimama mbele ya kadamnasi na kuwaambia wananchi kuwa hao watu (wakoloni) hawafai, waondoke watupishe. Na kweli wakapisha rasmi Desemba mwaka 1961.

Sasa mwaka huu 2020, mimi ni nani hata nisimpinge ccm kwenye uchaguzi huu, pale anapotumia miradi ya maendeleo kadhaa iliyojengwa na serikali anayoiongoza, kama kigezo cha yeye kutaka kuchaguliwa tena na kubakia madarakani?

Tafakari...!!!.
Nawe tafakari hivi NI kwanini MH.magufuli anaeleweka na kuaminika sana na SISI WALALAHOI WA TANZANIA?!!!!
MKOLONI HAKUJENGA HOSPITALI NA ZAHANATI KILA WILAYA NA KILA KATA...
MKOLONI HAKUWAACHIA VIJANA WA TANZANIA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU....

MKOLONI HAKUUNGANISHA MIKOA NA MIJI NA BARABARA ZA LAMI UKIACHA ILE YA TANGA MPAKA MOSHI NA MOROGORO.....

MKOLONI HAKUAJIRI WATUMISHI WA UMMA MAOFISINI HALAFU AWAWAEKEE KIINUA MGONGO BAADA YA KUSTAAFU....

MKOLONI ALITOA ELIMU KWA UBAGUZI WA RANGI KIPATO NA DINI....

MKOLONI HAKUWATUA NDOO KINA MAMA.....

MKOLONI HAKUTAKA WATU WALIME KILIMO CHA BIASHARA ZAIDI YA KILIMO CHA MANAMBA KWA FAIDA YAO NA KILE KIDOGO CHA KUJIKIMU KWA CHAKULA....

MKOLONI ALIJENGA DARAJA LA SALENDA kimkakati km ramani ya kuwatenganisha wazawa wa dar es salaam na weupe wachache,kamwe HAKUJENGA mfano wa lile la SEAVIEW liendalo KICHANGA CHUI(oyster Bay wanakokaa watu wa RANGI zote kwa Sasa)...

MKOLONI ALIKUWA ANAWANYONGA BABU ZETU HADHARANI KWA MAKOSA YA KUCHEKESHA.....

MKOLONI HAKUJENGA BUNGE LA WANANCHI DODOMA....

MKOLONI HAKUIACHA IKULU DODOMA.....

MKOLONI HAKUTHAMINI MALIASILI NA TEMBO WETU ZAIDI YA KUWAWINDA NA KUWALA KWA FAIDA ZAO TOFAUTI NA SASA MH.KIGWANGALA AFANYAYO....

MKOLONI HAKUJENGA VIWANJA VYA NDEGE KWA AJILI YA WAZAWA....
MKOLONI HAKUNUNUA NDEGE KWA AJILI YA KUONGEZA KODI KWA HAZINA YA WANANCHI......

MKOLONI ALIACHA TAWALA ZENYE KUFIKIRI KATIKA MUKTADHA WA AFIKIRIAVYO MH.MSOMI SANA MMAGHARIBI KIINGEREZA KINGI BENARD CAMILLIUS MEMBE.....

MKOLONI HAKUWAPENDA AINA YA WATU WAFIKIRIAO NJE YA MFUMO WA KASUMBA YAKE YA KIZUNGU NA SUPREMACIST KM AFIKIRIAVYO MZELENDO WA KWELI MH.John Pombe MAGUFULI...

KALAGHABAHO
TUMEAMKA SASA....

TAFAKARI CHUKUA HATUA WAKATAE MAKUWADI WATUMWA WA UBEBERU NA MABWANA ZAO.
 
Florida Politics – Campaigns & Elections. Lobbying & Government.Florida Politics – Campaigns & Elections. Lobbying & Government.
GOP-Primary.png

Donald Trump, Bill Weld, Joe Walsh, Rocky De La Fuente2020
Bill Weld, Joe Walsh, Rocky De La Fuente to challenge Donald Trump in Florida Republican primaryThe candidates qualified, but party leaders predict a rout for incumbent.
c251b2c2210093620c96dbd06b8454bf

By
Jacob Ogles
on
December 3, 2019




Three candidates will compete against President Donald Trump in Florida’s Republican presidential preference primary.

The Republican Party of Florida on Nov. 26 submitted a list of four candidates who will appear on the March 17 presidential primary ballot. Former Massachusetts Gov. Bill Weld, former.....

Read more : Source : Bill Weld, Joe Walsh, Rocky De La Fuente to challenge Donald Trump in Florida Republican primary
 
Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza

Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.

Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko

Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao
Mbona hueleweki andika vizuri
 
Back
Top Bottom