Uchaguzi 2020 Membe anajinasibu kuwa na wenzake sita ndani ya CCM

Uchaguzi 2020 Membe anajinasibu kuwa na wenzake sita ndani ya CCM

Comrade Said Sambala,BEATUS MAFURU mwambieni mh.Membe yeye SI kitu nje ya CCM...ALIKUWA mshamba mno kutoka uswekeni akasomeshwa akashonewa na kuvalishwa suti Sasa anawaka uso laini kwa mng'aro wa silver kwi kwi kwi in COMRADE HUMPHREYS POLEPOLE VOICE'S
Magamba huwa mnashangaza sana hapo red; "asiyeridhika"; "kimbilia madaraka"; "tamaa ya madaraka"; and such stupid keywords! Ni nani asiye na tamaa ya madaraka? BTW ni kwanini fomu imetolewa moja tu huku wengine wakizuiwa? Demokrasia ya wapi hiyo?

Kwanini wenye sifa wananyimwa haki yao ya kikatiba kuomba kuchaguliwa katika nafasi ya uongozi wa nchi yetu? Katiba ya CCM inasema aliye madarakani hapingwi? Tunazo kumbukumbu Mh. Kikwete aliwahi kupingwa na John Madale Shibuda, tatizo liko wapi leo?
 
Kakaaaa EEE kwani nyinyi CHADEMA ULIBERALI wa kutaka kuwapa wenzenu "mafuta" hamjaacha tu?!!! Kwi kwi kwi kwi in ESTHER BULAYA VOICE
Hapana kiongozi kunawatu wanajifanya wajuaji sn muda wote kunamdudu anawatekenya coz mm nmetoa maoni yangu navyowaza yeye kaibuka na matusi.
 
Kwa nin tunamtkana Membe? Mtu anadai haki yake! Ama ni dhambi Tanzania kudai haki yako?
Wanaodai haki NI LGBT NA RAINBOW FLAGGERS si mh.sana mtunduizi Membe kwi kwi kwi kaishiwa huyo akalime ufuta MKOKA...
 
Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza

Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.

Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko

Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao
Viburi
Dharau
Mauaji
Manyanyaso
Kuligawa taifa
Kusigina katiba na ufujaji wa hela havikubaliki.
 
Hapana kiongozi kunawatu wanajifanya wajuaji sn muda wote kunamdudu anawatekenya coz mm nmetoa maoni yangu navyowaza yeye kaibuka na matusi.
Kwi kwi kwi kwi huyo mdudu atakuwa anawatekenyea kichwani na si chini ya MGONGO kwi kwi kwi kwi
 
Ifuatayo ni miradi mikubwa iliyojengwa na wakoloni:-

1. Ujenzi wa Bandari ya DSM
2. Ujenzi wa Bandari ya Tanga
3. Ujenzi wa Bandari ya Mtwara
4. Ujenzi wa uwanja wa ndege wa DSM
5. Ujenzi wa uwanja wa Bandari ya Pemba
6. Ujenzi wa Ikulu ya DSM
7. Ujenzi wa Dsm College (Baadae ikaboreshwa na kuwa UDSM baada ya uhuru)
8. Ujenzi wa Bandari ya Zanzibar
9. Ujenzi wa reli ya kati, Dar-Tabora-Mwanza, Tabora -Kigoma
10. Ujenzi wa mji wa Tanga + Master Plan
11. Ujenzi wa Jiji la DSM + master plan yake
12. Ujenzi wa Bandari ya Mwanza
13. Ujenzi wa bandari ya Bukoba na Musoma
14. Ujenzi wa Bandari ya Mbamba Bay
15. Ujenzi wa Bandari ya Ujiji Kigoma
16. Uundaji wa meli ya MV. Liemba (Ziwa Tanganyika)
17. Uunzi wa meli ya MV. Victoria (Ziwa Victoria)

18. Ujenzi wa shule za Sekondari za kale, mfano Mzumbe, Ilboru, Tanga Tech, Moshi Tech, Mazengo, Mtwara Tech, Tabora Boys+Girls, Pugu, Kibaha, Minaki, Bwiru boys & Girls, Msalato, Ifunda, Iyunga, Mkwawa, Nganza, Tosamaganga, Kilakara, nk

19. Ujenzi wa Ikulu ya Z'bar
20. Ujenzi wa majengo mengi ya Wizara za serikali, vituo vya polisi, magereza na Mahakama.
21. Ujenzi wa shule za msingi za serikali na za Seminari
22. Ujenzi wa makanisa, mf. St. Joseph na Azania Front (Posta Dar) na Misikiti kwa upande wa Z'bar
23. Ujenzi wa hospitali kubwa, mf. Muhimbili
24. Ujenzi wa mabwawa ya kuzalisha umeme mf. Hale + Nyumba ya Mungu.
25. Ujenzi wa vyuo vikuu vya kati, mfano Dar Tech, Arusha Tech, vyuo vya Ualimu, Kilimo, nk
26. Ujenzi wa reli ya Tanga
27. Ujenzi wa gridi ya kwanza ya Taifa ya umeme
28. Uanzishaji wa mashirika ya umma mfano Posta na simu pamoja na Benki yake
29. Ujenzi wa Uwanja wa Taifa, jijini Dar (Leo Shamba la Bibi)
30. Ujenzi wa vivuko, mfano Kigamboni na Posta jijini Dar
31. Na kadhalika na kadhalika.

Lakini pamoja na yoooote hayo, miradi hiyo yooote, Bado wazee wetu wakiongozwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, walisimama mbele ya kadamnasi na kuwaambia wananchi kuwa hao watu (wakoloni) hawafai, waondoke watupishe. Na kweli wakapisha rasmi Desemba mwaka 1961.

Sasa mwaka huu 2020, mimi ni nani hata nisimpinge ccm kwenye uchaguzi huu, pale anapotumia miradi ya maendeleo kadhaa iliyojengwa na serikali anayoiongoza, kama kigezo cha yeye kutaka kuchaguliwa tena na kubakia madarakani?

Tafakari...!!!.

Sasa uyu ni raisi au waziri wa ujenzi
Sisi ayo madaraja na uwanja wa ndege havitusaidii chochote tunataka maendeleo ya mtu moja moja
 
Sasa uyu ni raisi au waziri wa ujenzi
Sisi ayo madaraja na uwanja wa ndege havitusaidii chochote tunataka maendeleo ya mtu moja moja
Wee Shilole serikali inatenga asilimia 4 ya mapato kwa mikopo ya miradi ya vikundi kwa VIJANA itakayowanufaisha mtu "mmojammoja"....nendeni halmashauri na kikundi Cha wenzako
 
Afuuu yaani madaraja hayawasaidiii?!!ama kweli we HUJATOKA FAMILIA ZA KILIMO VIJIJINI ukafahamu umuhimu wa haya madaraja ajengayo JPM haswa KIPINDI Cha mvua na MAFURIKO....
Wee Shilole serikali inatenga asilimia 4 ya mapato kwa mikopo ya miradi ya vikundi kwa VIJANA itakayowanufaisha mtu "mmojammoja"....nendeni halmashauri na kikundi Cha wenzako
 
Wee Shilole serikali inatenga asilimia 4 ya mapato kwa mikopo ya miradi ya vikundi kwa VIJANA itakayowanufaisha mtu "mmojammoja"....nendeni halmashauri na kikundi Cha wenzako

Hizo hela ni vichekesho kama vichekesho vingine. Kwenda huko halmashauri na kupewa 2m watu ishirini kwani ni kazi? Hizo hela za halmashauri ni za kuongezea umasikini kupitia vikundi.
 
huyu mtu anajiona yeye ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa kuwa Rais hapa Tanzania. nahis 2015 angepitishwa basi asingetoka madarakan..na anaonekana kuwa ni mtu mwenye dharau na kiburi sana..
kama Membe ana "dharau na kiburi sana", vipi yule aliyetuambia Watanzania kuwa uteuzi wa viongozi wa wananchi unategemea yeye kaamkaje - kwa kalio ama tumbo??!!
 
Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza

Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.

Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko

Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao
Kufanya uchaguzi huru na wa haki ni kuwapigia mabeberu magoti ?!

Na mabeberu ni akina nani ?!
Wazungu, wachina, wahindi , au wa Africa waliobadilika kuwa wakoloni ?!
 
Hizo hela ni vichekesho kama vichekesho vingine. Kwenda huko halmashauri na kupewa 2m watu ishirini kwani ni kazi? Hizo hela za halmashauri ni za kuongezea umasikini kupitia vikundi.
Kwi kwi kwi kwi hwenda wewe ukawa ni miongoni mwa wale WASIOAMINI KATIKA KUKITOLEA JASHO KIDOGO ILI BAADAE KUWE na multifier effect....
Mh.JPM amekuwa akisema kuwa KABLA YA KUMI ilipanda kutoka SIFURI....
 
Kwi kwi kwi kwi hwenda wewe ukawa ni miongoni mwa wale WASIOAMINI KATIKA KUKITOLEA JASHO KIDOGO ILI BAADAE KUWE na multifier effect....
Mh.JPM amekuwa akisema kuwa KABLA YA KUMI ilipanda kutoka SIFURI....

Muende watu 20 mkafuate 2m, kisha mtarajie kubadilika kimaisha?!
 
Kufanya uchaguzi huru na wa haki ni kuwapigia mabeberu magoti ?!

Na mabeberu ni akina nani ?!
Wazungu, wachina, wahindi , au wa Africa waliobadilika kuwa wakoloni ?!
Hali yako MZEE wa Bunda!
Uchaguzi huru anaouongelea Membe NI upi?!!!
Mana dokta slaa nae alidai uchaguzi uliomuingiza madarakani Mh.mzee Kikwete na ukampa uwaziri mh.Membe haukuwa wa huru na haki....yeye MEMBE ALIKAA KIMYA NA KURUDHIKA KUPANDA NDEGE KILA UCHAO...
KUKAJA ILIYOITWA RASIMU YA KATIBA YA WANANCHI,nikumbushe km nmesahau mh.membe ALIWAUNGA MKONO KINA LIPUMBA walipotoka nje ya BUNGE na kuliita ni la "kiintarahamwe"....
Kwake Membe tume huru NI ATAKAPOSHINDA NA kuwa rais yaleyale AILA ya Maalim Seif,chambilecho Shaaban Robert waso haya na mji wao...
 
Back
Top Bottom