Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
- Thread starter
- #121
Mkulungwa eee kwani SAFARI YA KUBADILIKA MAISHA INAANZA MTU AKIWA NA MTAJI WA MILIONI 10 YEYE PEKEE?!!!!
Sasa km mtu unataka kufanya BIASHARA ya MTAJI wa just KIDOGO zaidi ya hzo ztolewazo na halmashauri hapana Shaka UTAKUWA KUTOKA FEMILI ZENYE KUJIWEZA,wajomba watakukopesha nyingi utakazo.
Ha ha ha ha Obama alisema LIFE BEGINS AT FORTY...tafakari!!!
Sasa km mtu unataka kufanya BIASHARA ya MTAJI wa just KIDOGO zaidi ya hzo ztolewazo na halmashauri hapana Shaka UTAKUWA KUTOKA FEMILI ZENYE KUJIWEZA,wajomba watakukopesha nyingi utakazo.
Ha ha ha ha Obama alisema LIFE BEGINS AT FORTY...tafakari!!!
Muende watu 20 mkafuate 2m, kisha mtarajie kubadilika kimaisha?!