Uchaguzi 2020 Membe anajinasibu kuwa na wenzake sita ndani ya CCM

Uchaguzi 2020 Membe anajinasibu kuwa na wenzake sita ndani ya CCM

huyu mtu anajiona yeye ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa kuwa Rais hapa Tanzania. nahis 2015 angepitishwa basi asingetoka madarakan..na anaonekana kuwa ni mtu mwenye dharau na kiburi sana..
Hakuna kitu pale, acha ale pesa zake, ila kisiasa ni RIP...
 
Membe anajifurahisha tu
Kama yeye mwamba agombee kupitia chadema,lakin kwa kuwa anajua kilichomtokea Lowassa,ameamua tu kutoa mipasho
Hakuna mtu aliejiandaa kwa urais kwa njia zote zile kuliko Lowassa,nini Membe unatishia kujamba wakati unaharisha
 
Membe anajifurahisha tu
Kama yeye mwamba agombee kupitia chadema,lakin kwa kuwa anajua kilichomtokea Lowassa,ameamua tu kutoa mipasho
Hakuna mtu aliejiandaa kwa urais kwa njia zote zile kuliko Lowassa,nini Membe unatishia kujamba wakati unaharisha
Yani Membe hata kama asipogombea urais, akibaki kuijambisha jambisha CCM kwa maneno yake mpaka wakati wa uchaguzi, atakuwa kaisaidia sana nchi kuona kwamba si kila mtu anamkubali Magufuli. Hata kwa watu ambao hawapo kwenye upinzani.

Halafu hizi habari za kusema watu wanaotaka kugombea nafasi za uongozi, kwa kutymia haki zao za kikatiba, wana tamaa, ni habari za kijinga.

Kwa sababu, ikiwa kweli anayegombea uongozi ana tamaa, basi viongozi wetu wote tangu uhuru mpaka leo wana tamaa.

Nyerere alikuwa na tamaa, Mwinyi alikuwa na tamaa, Mkapa alikuwa na tamaa, Kikwete alikuwa na tamaa, Magufuli ana tamaa, wote waliowahi kuwa wabunge walikuwa au wana tamaa.

Basi tamaa ni sehemu ya uongozi.

Usipokuwa na tamaa hata kugombea uongozi huwezi.

Utasema mimi sina tamaa ya uongozi ubaki uraiani kama Kiranga asiye na tamaa ya uongozi.
 
Screenshot_20200625-004159.png
IMG_20200625_011320.jpg


Kwa wakristo watanielewa kirahisi sana...

Bibblia Takatifu katika kitabu cha Nabii Isaya (ISAYA 29:13) inasema, nanakuu;

".....Bwana akanena, KWA KUWA WATU HAWA HUNIKARIBIA NA KUNIHESHIMU KWA VINYWA VYAO, BALI MIOYO YAO WAMEFARAKANA NAMI , na kicho chao walicho nacho ni maagizo ya wanadamu waliyofundishwa....."

Hili ni andiko/mstari wa Neno la Mungu (Biblia) ni wa onyo na tahadhari kwa watu ama mtu yeyote "mnafiki" ambaye kimwili na kwa maneno ya kichwa chake anakubali kuwa mko pamoja katika misheni ama mipango fulani, lakini deep inside, NAFSI na MOYO wake viko kinyume na mbali kabisa na wewe....

Mara zote hali na mahusiano ya namna hii ya kinafiki, huwa haidumu sana na kamwe haizai matunda mema.....

Na siku kilichomo ndani ya mioyo ya watu hawa kikija kudhihirika wazi, mara zote hali huwa tete sana. Huwa pana kuwa na patashika nguo kuchanika kila mmoja akimkamata uchawi mwenzake bila kujua kuwa wao wote ni wachawi kwa tofauti ya viwango tu...!!

CCM ya sasa kwa kiwango kikubwa imebeba watu wa namna hii akiwemo mpaka M/kiti wao taifa ndugu John Pombe Magufuli...

Roho ya "unafiki" aliyonayo ndiyo inayoanbukiza na kuathiri wafuasi wake, wanachama wenzake na viongozi wenzake ndani ya chama hadi serikalini na inaathiri taifa zima hata wasiohusika..

Ndugu Bernard K. Membe ni mtu jasiri wa hali ya juu. Hamwogopi binadamu. Ameamua kuukataa unafiki. Kaamua kusimama upande ukweli. Mungu muumba yeye ndiye kweli. Kaamua kukiweka wazi kilichomo moyoni mwake kwa kinywa chake....

Tatizo moja kubwa la binadamu ni hili. Wengi tuna asili ya kuikataa NURU na kukumbatia GIZA kwa mikono yetu yote miwili bila hofu. Mtu yeyote asiye mkweli toka ndani ya NAFSI yake huyo ni wa GIZANI. Giza na Nuru kamwe havipatani....

Bernard K. Membe kwa ukweli wake, wana wa GIZANI wanamshambulia kwelikweli. Lakini hakika nawaambia, kwa Mungu huyu ndiye anayehesabiwa haki maana kinachotoka kupitia kinywa chake, ndicho kilichomo moyoni mwake. Maana yake anamkaribia Mungu kwa dhati na kwa vyote kama alivyo...!!
 
Ngoja kesho usikie Membe anamuomba msamaha Magufuli ndio utajua hujui yaani.

Kwani Kinana si tulimsifia hivi hivi? Kiko wapi.
 
View attachment 1488133View attachment 1488134

Kwa wakristo watanielewa kirahisi sana...

Bibblia Takatifu katika kitabu cha Nabii Isaya (ISAYA 29:13) inasema, nanakuu;

".....Bwana akanena, KWA KUWA WATU HAWA HUNIKARIBIA NA KUNIHESHIMU KWA VINYWA VYAO, BALI MIOYO YAO WAMEFARAKANA NAMI , na kicho chao walicho nacho ni maagizo ya wanadamu waliyofundishwa....."

Hili ni andiko/mstari wa Neno la Mungu (Biblia) ni wa onyo na tahadhari kwa watu ama mtu yeyote "mnafiki" ambaye kimwili na kwa maneno ya kichwa chake anakubali kuwa mko pamoja katika misheni ama mipango fulani, lakini deep inside, NAFSI na MOYO wake viko kinyume na mbali kabisa na wewe....

Mara zote hali na mahusiano ya namna hii ya kinafiki, huwa haidumu sana na kamwe haizai matunda mema.....

Na siku kilichomo ndani ya mioyo ya watu hawa kikija kudhihirika wazi, mara zote hali huwa tete sana. Huwa pana kuwa na patashika nguo kuchanika kila mmoja akimkamata uchawi mwenzake bila kujua kuwa wao wote ni wachawi kwa tofauti ya viwango tu...!!

CCM ya sasa kwa kiwango kikubwa imebeba watu wa namna hii akiwemo mpaka M/kiti wao taifa ndugu John Pombe Magufuli...

Roho ya "unafiki" aliyonayo ndiyo inayoanbukiza na kuathiri wafuasi wake, wanachama wenzake na viongozi wenzake ndani ya chama hadi serikalini na inaathiri taifa zima hata wasiohusika..

Ndugu Bernard K. Membe ni mtu jasiri wa hali ya juu. Hamwogopi binadamu. Ameamua kuukataa unafiki. Kaamua kusimama upande ukweli. Mungu muumba yeye ndiye kweli. Kaamua kukiweka wazi kilichomo moyoni mwake kwa kinywa chake....

Tatizo moja kubwa la binadamu ni hili. Wengi tuna asili ya kuikataa NURU na kukumbatia GIZA kwa mikono yetu yote miwili bila hofu. Mtu yeyote asiye mkweli toka ndani ya NAFSI yake huyo ni wa GIZANI. Giza na Nuru kamwe havipatani....

Bernard K. Membe kwa ukweli wake, wana wa GIZANI wanamshambulia kwelikweli. Lakini hakika nawaambia, kwa Mungu huyu ndiye anayehesabiwa haki maana kinachotoka kupitia kinywa chake, ndicho kilichomo moyoni mwake. Maana yake anamkaribia Mungu kwa dhati na kwa vyote kama alivyo...!!
Inaelekea utabiri wa Mwalimu Nyerere kuwa upinzani wa dhati nchini utatoka ndani ya CCM unaanza kutimia.......

Hivi ni nani angetarajia kwa mtu kama Membe, kuwa "critic" mkubwa wa Magufuli wa kiwango hiki?
 
View attachment 1488133View attachment 1488134

Kwa wakristo watanielewa kirahisi sana...

Bibblia Takatifu katika kitabu cha Nabii Isaya (ISAYA 29:13) inasema, nanakuu;

".....Bwana akanena, KWA KUWA WATU HAWA HUNIKARIBIA NA KUNIHESHIMU KWA VINYWA VYAO, BALI MIOYO YAO WAMEFARAKANA NAMI , na kicho chao walicho nacho ni maagizo ya wanadamu waliyofundishwa....."



Na siku kilichomo ndani ya mioyo ya watu hawa kikija kudhihirika wazi, mara zote hali huwa tete sana. Huwa pana kuwa na patashika nguo kuchanika kila mmoja akimkamata uchawi mwenzake bila kujua kuwa wao wote ni wachawi kwa tofauti ya viwango tu...!!

CCM ya sasa kwa kiwango kikubwa imebeba watu wa namna hii akiwemo mpaka M/kiti wao taifa ndugu John Pombe Magufuli...

Roho ya "unafiki" aliyonayo ndiyo inayoanbukiza na kuathiri wafuasi wake, wanachama wenzake na viongozi wenzake ndani ya chama hadi serikalini na inaathiri taifa zima hata wasiohusika..

Kila mtu ana haki na uhuru wa mawazo ila unapovitumia kudhihaki au kumfikiria vibaya binadamu mwenzako, hakika unathibitisha jinsi ulivyoandika kwamba una Roho ya "unafiki" .

Hivi, Magufuli kakukosea nini? Membe anawakilisha nini?
 
View attachment 1488133View attachment 1488134

Kwa wakristo watanielewa kirahisi sana...

Bibblia Takatifu katika kitabu cha Nabii Isaya (ISAYA 29:13) inasema, nanakuu;

".....Bwana akanena, KWA KUWA WATU HAWA HUNIKARIBIA NA KUNIHESHIMU KWA VINYWA VYAO, BALI MIOYO YAO WAMEFARAKANA NAMI , na kicho chao walicho nacho ni maagizo ya wanadamu waliyofundishwa....."

Hili ni andiko/mstari wa Neno la Mungu (Biblia) ni wa onyo na tahadhari kwa watu ama mtu yeyote "mnafiki" ambaye kimwili na kwa maneno ya kichwa chake anakubali kuwa mko pamoja katika misheni ama mipango fulani, lakini deep inside, NAFSI na MOYO wake viko kinyume na mbali kabisa na wewe....

Mara zote hali na mahusiano ya namna hii ya kinafiki, huwa haidumu sana na kamwe haizai matunda mema.....

Na siku kilichomo ndani ya mioyo ya watu hawa kikija kudhihirika wazi, mara zote hali huwa tete sana. Huwa pana kuwa na patashika nguo kuchanika kila mmoja akimkamata uchawi mwenzake bila kujua kuwa wao wote ni wachawi kwa tofauti ya viwango tu...!!

CCM ya sasa kwa kiwango kikubwa imebeba watu wa namna hii akiwemo mpaka M/kiti wao taifa ndugu John Pombe Magufuli...

Roho ya "unafiki" aliyonayo ndiyo inayoanbukiza na kuathiri wafuasi wake, wanachama wenzake na viongozi wenzake ndani ya chama hadi serikalini na inaathiri taifa zima hata wasiohusika..

Ndugu Bernard K. Membe ni mtu jasiri wa hali ya juu. Hamwogopi binadamu. Ameamua kuukataa unafiki. Kaamua kusimama upande ukweli. Mungu muumba yeye ndiye kweli. Kaamua kukiweka wazi kilichomo moyoni mwake kwa kinywa chake....

Tatizo moja kubwa la binadamu ni hili. Wengi tuna asili ya kuikataa NURU na kukumbatia GIZA kwa mikono yetu yote miwili bila hofu. Mtu yeyote asiye mkweli toka ndani ya NAFSI yake huyo ni wa GIZANI. Giza na Nuru kamwe havipatani....

Bernard K. Membe kwa ukweli wake, wana wa GIZANI wanamshambulia kwelikweli. Lakini hakika nawaambia, kwa Mungu huyu ndiye anayehesabiwa haki maana kinachotoka kupitia kinywa chake, ndicho kilichomo moyoni mwake. Maana yake anamkaribia Mungu kwa dhati na kwa vyote kama alivyo...!!
Umeisha sema kamati kuu haina uwezo wa kukufukuza, sasa hiyo kauli ya kusema watafukuzwa au mpo katika kipindi cha kufukuzana inatoka wapi ??

Na pia ukumbuke kauli yako ya 2015 kwamba una maadui zako 9 ambao watakimbilia kenya baada ya uchaguzi 2015??
 
6 mara 12 ni sawa sawa na 72
72 mara 10 ni sawa sawa na 720
mkuu ukiona mtu anatoa siri hadharani ujue hamna mtu humu anabaki kuwa binadamu kuelekea mwanadamu, si tuliambiwa mfa maji haishi kutapatapa?? anachokifanya membe kinalingana na mfa mawater.....
 
Back
Top Bottom