Uchaguzi 2020 Membe anajinasibu kuwa na wenzake sita ndani ya CCM

Uchaguzi 2020 Membe anajinasibu kuwa na wenzake sita ndani ya CCM

Halafu hawa mnaowaita mabeberu ndio mnawaomba mikopo na misaada mingine
Awali ya yote,hi dhana ya kuomba mikopo nayo NI dhana mfu ya kikoloni mamboleo tunayotaka iendelee kujihanikiza ndani ya mishipa ya vizazi vyetu....
Hapo mwanzo walikuwa hao wa nje waliotuingiza humo nasi tukakubali kuingia TUKIHOFIA TUTASHINDWA KUZIKABILI CHANGAMOTO ZETU ZA MIRADI YA MAENDELEO....
1.WALISET STANDARD YA TOFAUTI KUBWA YA NGAZI ZA MISHAHARA KWA WATUMISHI WA SERIKALI NA MASHIRIKA YA UMMA,huku wachache wakipata MISHAHARA maradufu ya wale walio wengi.
2.Wakatuimbisha nyimbo kuwa viongozi wa MASHIRIKA ya UMMA wapewe nyumba ZENYE anasa kubwa lakini pia watembelee migari mikubwa ya thamani ili wasichoke kwa Maana wanazalisha sana ha ha ha hebu angalia mfano pale ATCL MISHAHARA minono ilikuwa inaleta tija gani ilihali ndege hazikuwepo.
3.Makuwadi walichukua standards za ughali wa maisha ya kibeberu kutumung'unyia sisi waafrika tusioendana nao kwa mengi.

It then became a status Quo ambayo hatukuamini km wangetokea watu wa kutushika mkono na kuturudisha KATIKA malengo yaliyoasisi taifa letu.

Zali la mentali likaja,the zealout son of Tanzania,HIS EXCELLENCY MAGUFULI ASCENDED TO THE THRONE with new ideas on revitalisation of our mama Tanzania.
Magufuli akatukumbusha TUACHE MAZOEA HATUNA WAJOMBA WAKUTUSAIDIA KUTOKA UGHAIBUNI aliko ndugu yetu Evarist Chahali na Tundu Lissu.

Magufuli akawa SURGEON MBOBEZI pale theatre Magogoni,tumbuatumbua ikaanza,mahakama ya MIFISADI IKAANZISHWA shughuli ikaanza....

Magufuli akatuambia kuwa zile fedha za ESCROW NI za UMMA,hebu kumbuka hapo mwanzo tuliambiwa SI ZA UMMA......

Magufuli akatukumbusha thamani ya wanyama pori wetu...kumbuka MIPAPA YA CCM ilikuwa inasafirisha twiga wetu wakiwa wamepiga MAGOTI KATIKA ndege ndogo kuelekea UGHAIBUNI.

Magufuli akaingizana pale BOT,BANDARI,KIWANJA CHA NDEGE,WATUMISHI HEWA,MIKOPO HEWA PALE HESLB.Upigaji MSD,janjajanja TRA,mifuko ya hifadhi ya jamii,TANAPA,TANROADS,rufaa feki za matibabu pale wizara ya afya,dili za wauza ngada,MISHAHARA MIKUBWA ISIYO NA TIJA,madili pale TPDC etc.
Magufuli akaiingia VITA KUBWA NA NGUMU YA KURUDISHA NIDHAMU KATIKA OFISI ZA UMMA kwani alikuta UKOSEFU WA UWAJIBIKAJI,WATEULE HAWAHESHIMIANI SI MA DAS,MA RAS,MA DC,MA RC,WAKURUGENZI NA WENGINEO.

YAANI STRUCTURAL REFORMING YOTE HII HALAFU MIMI KIJANA WA KIMASKINI NIWE ZWAZWA,HOBOBO,NDWANYE,FULAFULA nimkatae JEMBE JPM nimchague MZUNGU MVAA SUTI ELITIST BENARD CAMILLIUS MEMBE AMA YULE MNYWA FARU DUME?!!!!
NIKAMATENI MNIFUNGE KAMBA MNISAFIRISHE NA AMBULANCE NIKAPOKEWE PALE WARD NO.14 ACUTE HOSPITALI ya mirembe nikachomwe INJECTIONS MODICATE NA KUNYWESHWA HALOPERIDOL ANAZOTUMIA yule nanihii na nanihii wa CHAMA Cha...........

Think thrice in Comrade Said Sambala's Voice kwi kwi kwi kwi msalimieni Maalim Seif Abalhassan mbeba mikoba ya Mjanjamjanja Zitto Kabwe
 
Safi sana Membe, kwa watu wastaarabu na wapana wa mawazo wanaeliwe kuwa ni haki ya kikatiba kwa raia kupiga au kupigiwa kura , ila waoga na wasio fear huhisi kwamba kuna waungwana wenye haki ya kupigiwa kura na watwana wasio haki ya kupigiwa ila kupigia.
Hii ni dhambi hata kwa Muumba, kwani inaposemwa kuwa mamlaka hutoka kwa Mungu ina maana ni kweli kwamba maamuzi ya wengi ni sauti ya Mungu.
Ila uporaji na ubabe dhidi ya haki ta demokrasia ya wengi wape katika uchaguzi ni uporaji.
Ni dhihaka na jeuri kuu mporaji wa madaraka kujiita mteule wa Mungu.
Tuheshimiane na kuthaminiana katika kuupa utu haki sawa mbele za haki ya Mungu.
Mungu ibariki Tanzania huru!
 
membe 2015; nina maadui 11 nikiwa Rais wataihama nchi.

membe 2020 ; nina watu 6 ndani ya CCM sitawataja.

Maisha yanakwenda kwa kasi sana.
 
Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza

Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.

Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko

Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao
Una hoja nzito. Ingawa wengi hawezi kukuelewa. Mimi nakubaliana na wewe.


Mpe kuku mchele kama mtego ili umnase. Ndio mambo kama haki za binadamu, uhuru wa kujieleza, na upuuzi wa demokrasia.
 
Una hoja nzito. Ingawa wengi hawezi kukuelewa. Mimi nakubaliana na wewe.


Mpe kuku mchele kama mtego ili umnase. Ndio mambo kama haki za binadamu, uhuru wa kujieleza, na upuuzi wa demokrasia.
Mkulungwa umenena mazito hapo chini,hwenda kwa baraka ya kupungua CORONA Walomokwaji wakakuelewa komredi,aluuuta continue el commandante sempre sempre CCM
 
Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza

Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.

Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko

Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao
Ukigundua Wewe ni mjinga basi omba ushauri kabla ya kuanzisha thread. Bladibasketi boli!
 
Ukigundua Wewe ni mjinga basi omba ushauri kabla ya kuanzisha thread. Bladibasketi boli!
Kwi kwi kwi kwi mkulungwa chakaza hv ulikuwemo batalioni ya ngapi pale Kyaka na mutukula 1978?nakukumbuka ulivyokuwa unafakamia vile vitu vya mh.Mbowe tukiwa mstari wa mbele kwi kwi kwi in Evarist Chahali's voice
 
Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza

Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.

Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko

Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao
Kafie mbele CCM ikimpitis membe 80% tunahamia CCM huyo magufuli wenu akipita atauwa watu kama kawaida ila icc haitampita !
 
acha uzwazwa, nenda hata marekani kwa wazee wa demokrasia kawaulize Republican kws nini Trump hana mpinzani ndani ya chama chake wakati huu?
Ndio maana vibanda vya kopesha umiza kwa watumishi vinapigwa ban soon mbwa wewe.
 
Kafie mbele CCM ikimpitis membe 80% tunahamia CCM huyo magufuli wenu akipita atauwa watu kama kawaida ila icc haitampita !
Ha ha ha ha mkulungwa vp Italy hapo?Mana NI Karibu na Benghazi ya libya,ebwanaa EEE hv huko Italy wanaongelea ULE MPUNGA MREFU ALIOUTOA MAREHEMU GADHAFI akauchikichia NANIHINO?!!!
 
Ni
Ha ha ha ha mkulungwa vp Italy hapo?Mana NI Karibu na Benghazi ya libya,ebwanaa EEE hv huko Italy wanaongelea ULE MPUNGA MREFU ALIOUTOA MAREHEMU GADHAFI akauchikichia NANIHINO?!!!
Niko kiwira tukuyu mama yako bado kanenepa?
 
Awali ya yote,hi dhana ya kuomba mikopo nayo NI dhana mfu ya kikoloni mamboleo tunayotaka iendelee kujihanikiza ndani ya mishipa ya vizazi vyetu....
Hapo mwanzo walikuwa hao wa nje waliotuingiza humo nasi tukakubali kuingia TUKIHOFIA TUTASHINDWA KUZIKABILI CHANGAMOTO ZETU ZA MIRADI YA MAENDELEO....
1.WALISET STANDARD YA TOFAUTI KUBWA YA NGAZI ZA MISHAHARA KWA WATUMISHI WA SERIKALI NA MASHIRIKA YA UMMA,huku wachache wakipata MISHAHARA maradufu ya wale walio wengi.
2.Wakatuimbisha nyimbo kuwa viongozi wa MASHIRIKA ya UMMA wapewe nyumba ZENYE anasa kubwa lakini pia watembelee migari mikubwa ya thamani ili wasichoke kwa Maana wanazalisha sana ha ha ha hebu angalia mfano pale ATCL MISHAHARA minono ilikuwa inaleta tija gani ilihali ndege hazikuwepo.
3.Makuwadi walichukua standards za ughali wa maisha ya kibeberu kutumung'unyia sisi waafrika tusioendana nao kwa mengi.

It then became a status Quo ambayo hatukuamini km wangetokea watu wa kutushika mkono na kuturudisha KATIKA malengo yaliyoasisi taifa letu.

Zali la mentali likaja,the zealout son of Tanzania,HIS EXCELLENCY MAGUFULI ASCENDED TO THE THRONE with new ideas on revitalisation of our mama Tanzania.
Magufuli akatukumbusha TUACHE MAZOEA HATUNA WAJOMBA WAKUTUSAIDIA KUTOKA UGHAIBUNI aliko ndugu yetu Evarist Chahali na Tundu Lissu.

Magufuli akawa SURGEON MBOBEZI pale theatre Magogoni,tumbuatumbua ikaanza,mahakama ya MIFISADI IKAANZISHWA shughuli ikaanza....

Magufuli akatuambia kuwa zile fedha za ESCROW NI za UMMA,hebu kumbuka hapo mwanzo tuliambiwa SI ZA UMMA......

Magufuli akatukumbusha thamani ya wanyama pori wetu...kumbuka MIPAPA YA CCM ilikuwa inasafirisha twiga wetu wakiwa wamepiga MAGOTI KATIKA ndege ndogo kuelekea UGHAIBUNI.

Magufuli akaingizana pale BOT,BANDARI,KIWANJA CHA NDEGE,WATUMISHI HEWA,MIKOPO HEWA PALE HESLB.Upigaji MSD,janjajanja TRA,mifuko ya hifadhi ya jamii,TANAPA,TANROADS,rufaa feki za matibabu pale wizara ya afya,dili za wauza ngada,MISHAHARA MIKUBWA ISIYO NA TIJA,madili pale TPDC etc.
Magufuli akaiingia VITA KUBWA NA NGUMU YA KURUDISHA NIDHAMU KATIKA OFISI ZA UMMA kwani alikuta UKOSEFU WA UWAJIBIKAJI,WATEULE HAWAHESHIMIANI SI MA DAS,MA RAS,MA DC,MA RC,WAKURUGENZI NA WENGINEO.

YAANI STRUCTURAL REFORMING YOTE HII HALAFU MIMI KIJANA WA KIMASKINI NIWE ZWAZWA,HOBOBO,NDWANYE,FULAFULA nimkatae JEMBE JPM nimchague MZUNGU MVAA SUTI ELITIST BENARD CAMILLIUS MEMBE AMA YULE MNYWA FARU DUME?!!!!
NIKAMATENI MNIFUNGE KAMBA MNISAFIRISHE NA AMBULANCE NIKAPOKEWE PALE WARD NO.14 ACUTE HOSPITALI ya mirembe nikachomwe INJECTIONS MODICATE NA KUNYWESHWA HALOPERIDOL ANAZOTUMIA yule nanihii na nanihii wa CHAMA Cha...........

Think thrice in Comrade Said Sambala's Voice kwi kwi kwi kwi msalimieni Maalim Seif Abalhassan mbeba mikoba ya Mjanjamjanja Zitto Kabwe
Hakuna anaetaka kuishi kwa hofu tena miaka mitano ijayo
 
Hakuna anaetaka kuishi kwa hofu tena miaka mitano ijayo
Wewe mmanyafu unayeishi hapo mtoni kiwira chini ya DARAJA la mungu,magufuli aliahidi WALE WAPIGAJI NA MAFISADI ITAISHI KM MASHETANI kwi kwi kwi kwi hofu HAITOWATOKA MPAKA muuteme ule MTONYO MREFU WA MAREHEMU GADDAFI huuhuuuuuhuuuu!
 
Unaandika huku unajua kabisa moyoni kitakacho tokea[emoji23][emoji23][emoji23] CCM Baba lao
Nini Membe mh.lowassa Yale MAFURIKO na manabii wa KILA Kona mwishowe yakaisomba billcanas ya MBOWE kwi kwi kwi kwi in Membe's tone
 
Tunaichafua nchi yetu kwa Kuwaiti watu majina ya kibaguzi kama beberu nk.
Huu ni ubaguzi kama ule ubaguzi wa rangi na ubaguzi mwingine wowote.

Dunia ya sasa ubaguzi hauhitajiki
 
Back
Top Bottom