Uchaguzi 2020 Membe anajinasibu kuwa na wenzake sita ndani ya CCM

Uchaguzi 2020 Membe anajinasibu kuwa na wenzake sita ndani ya CCM

Magamba huwa mnashangaza sana hapo red; "asiyeridhika"; "kimbilia madaraka"; "tamaa ya madaraka"; and such stupid keywords! Ni nani asiye na tamaa ya madaraka? BTW ni kwanini fomu imetolewa moja tu huku wengine wakizuiwa? Demokrasia ya wapi hiyo?

Kwanini wenye sifa wananyimwa haki yao ya kikatiba kuomba kuchaguliwa katika nafasi ya uongozi wa nchi yetu? Katiba ya CCM inasema aliye madarakani hapingwi? Tunazo kumbukumbu Mh. Kikwete aliwahi kupingwa na John Madale Shibuda, tatizo liko wapi leo?
Wewe kweli HOBOBO,Membe si mwanachama TENA wa CCM ALISHAFUKUZWA...
NIWAKUMBUSHE NYINYI MANDWANYE KOKO hebu fuatilieni hapo nchini KENYA...Aden Duale aliyekuwa kiongozi wa kambi TAWALA BUNGENI amefukuzwa CHAMANI km alivyofanyiwa MH.MEMBE....YOTE NI KWENDA KINYUME NA KIONGOZI WAKE MKUU MH.UHURU KENYATTA.
 
Amekua dhahiri kwa misimamo yake. Yet yupo uraiani mpaka leo. Hii ni drama wanajua wanachofanya.
 
Ka
Membe ana haki kabisa kabisa kabisa ya kugombea Urais ndani ya CCM. Analindwa na Katiba na si utamaduni au huo utaratibu wenu fake, kwanini basi asiruhusiwe kuchukua fomu akajipime na Rais ili KUNOGESHA mchakato?
Kaka EEE fazaa eeee we wa wapi laaaa Membe SI mwanachama wa CCM anatapatapa huko mashamba ya ufuta mkoka sijui mtama...
 
Watu hamjajua nia ya membe. Nia ya membe sio kugombea uraisi mwaka huu km mnavyofikiri, nia yake ni kuendelea kuwa akilini na midomoni mwa watu kutajwatajwa ili 2025 awe bado yupo juu kwa ushawishi aweze kugombea coz mzee mzma atakuwa anaachia nafasi
Wewe ni nani, mke wake?
 
Magamba huwa mnashangaza sana hapo red; "asiyeridhika"; "kimbilia madaraka"; "tamaa ya madaraka"; and such stupid keywords! Ni nani asiye na tamaa ya madaraka? BTW ni kwanini fomu imetolewa moja tu huku wengine wakizuiwa? Demokrasia ya wapi hiyo?

Kwanini wenye sifa wananyimwa haki yao ya kikatiba kuomba kuchaguliwa katika nafasi ya uongozi wa nchi yetu? Katiba ya CCM inasema aliye madarakani hapingwi? Tunazo kumbukumbu Mh. Kikwete aliwahi kupingwa na John Madale Shibuda, tatizo liko wapi leo?
Hivi CCM Haina utaratibu wa kubadilishana watu wa DINI mbili kubwa hapa Tanzania?!!kwani hayo yako KATIBANI?!!!!

KINACHOITOFAUTISHA CCM NA VYAMA VINGINE BARANI AFRIKA NI KULE KUFINYANGIKA KUTOBADILIKA KUTOKA KULE KWENYE AKIDA NA TARATIBU ZAKE....

KWELI PROFESA LUMUMBA WA KENYA AMENENA KUWA TANZANIA CHAMA CHA SIASA KOMAVU NI CCM TU WENGINE WANAHARAKATI AINA YA HIZI NGO kwi kwi kwi kwi in Maalim Seif ABBALHASSAN VOICE...msalimie Zitto Kabwe na nguli wa fitina mkulungwa sana maalim seif Sharrif hamad
 
Duh... Nikafikiri huo muda mngeutumia kuchochea madai ya tume huru au hata kumchochea Lisu afahamike zaidi.

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app

Madai ya tume huru ya uchaguzi hayajawahi kukoma, au kudai tume huru ya uchaguzi kunazuiwa na watu kumuongelea Membe?
 
Lakini anadai hakuna chochote alichofanya mpaka hivi sasa, Hayupo sirias hata kidogo ijapokua kuwa umma wa watu unafuatilia kwa karibu taarifa kuhusu yeye!
 
Mnaogopa nini chapisheni FOMU........ Ukifanya mazuri kwa watu yakawapendeza lazima watakuchagua tu iwe jua iwe mvua.... Acheni longolongo toeni FOMU, zingine zote porojo
 
M
Kati yako mleta uzi na Membe nani anatapatapa?kama anatapatapa kwanini uhangaike kupanda jukwaani,tena kwa bando ya kukopa.
Mdudu eeee mi Wala sihangaiki hapa Niko ufukweni Sadnakunywa maji ya madafu pembeni na chombo changu mipaja nje laini ZAIDI ya socialite Winnie mapumzikoni kwa wiki
mimi nilijua wananchi wa Tanzania tuko nyuma yake,kumbe ni mataifa ya magharibi?
Popote ulipo mtunduizi Said Sambala mpe salamu za heri Maalim Seif Abalhassan mwambieni Niko hapa kwao mbuga ya Saadan utalii wa ndani kwa wiki Sasa ninakula matunda ya kufanya kazi km mtumwa na kuishi km mfalme mwambieni nilipitia mkwaja pembeabwe kipumbwi na ntatokea bweni kwa Kaka yake mh.Juma Awesso,Kakaaaa saadan kuzuri masaa yote nareply TU hapa Jamvini kutoka ufukweni NI mm mtunduizi wako wa siku zote arbaaaab Dr jumbe brown
 
Ze
Mnaogopa nini chapisheni FOMU........ Ukifanya mazuri kwa watu yakawapendeza lazima watakuchagua tu iwe jua iwe mvua.... Acheni longolongo toeni FOMU, zingine zote porojo
Zesh eeee we tangu lini baniani akatawadha aswali swala ya dhuhri?!!!Membe SI mwanachama TENA wa CCM....
HALAFU ni ADA waliyojiwekea WENYEWE ndani ya CHAMA chao kuwa ANAACHWA ALIYEPO KWA MIAKA 10 PANAPO UHAI....
MBONA WAGUMU KUELEWA?!!!
 
Madai ya tume huru ya uchaguzi hayajawahi kukoma, au kudai tume huru ya uchaguzi kunazuiwa na watu kumuongelea Membe?
Nlifikiri hicho ndio kipaumbele chenu na mtadai kwa nguvu zote badala ya ilivyo sasa kila mtu anamjadili Membe ambae ni ccm

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom