Membe arejeshewa kadi yake ya CCM

Membe arejeshewa kadi yake ya CCM

Membe hana lolote. Debe tupu. Hii move ni ya kumfurahisha ndugu yake JK lakini hata wao wanajua huyu mtu ni liability
 
Je atachukua form ya kugombea urais kama alivyofanya kipindi cha JPM
 
Kuna wachambuzi wanadai ni kawaida duniani kote. Wanatolea mfano Kenya, DRC na USA,
Hao niwachambuzi wa mchongo ambao wengi wao hawana objective information. Si ajabu jpm ameshaondoka still anabebeshwa zigo la mavi, wengine ndio walitengeneza consipiracy nyingi zidi ya mjomba magu, sababu hakuna kwenye dynasty zao
 
Hao niwachambuzi wa mchongo ambao wengi wao hawana objective information. Si ajabu jpm ameshaondoka still anabebeshwa zigo la mavi, wengine ndio walitengeneza consipiracy nyingi zidi ya mjomba magu, sababu hakuna kwenye dynasty zao
Ok.. ...!
 
Huwezi kujua ubora wa Kitanda kwa kukiangalia

Umuhimu Membe sio kusimama Jukwaani na kuzungumza


zamani CCM tulikuwa na Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM kutokea Singida Mzee Mmoja mnene Mweusi anaevaa Bangili Mkononi Mbunge wa takriban 40 years Mgana Msindai watu walikuwa wanashangaa kila uchaguzi unarudi sasa wale Jamaa wa Singida walikuwa hawaelewi kwanini anarudishwa tu Bungeni

Chadema walipovaba wakampa Lowassa nafasi ya Kugombea Urais 2015 Chama kikamtuma tena Msindai akamsindikize Lowassa

sio kila Mwanasiasa ndani ya CCM kazi na uwezo wake ni kwny kuhutubia
Membe hana lolote. Debe tupu. Hii move ni ya kumfurahisha ndugu yake JK lakini hata wao wanajua huyu mtu ni liability
 
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe, leo amekabidhiwa kadi ya CCM na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho Shaka Hamdu Shaka, makabidhiano hayo yamefanyika Chiponda mkoani Lindi..

Awali Membe alifukuzwa uanachama na chama chake na kisha kujiunga na chama cha ACT Wazalendo na aligombea kiti cha Urais katika uchaguzi wa mwaka 2020. ambapo kupitia kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kupitia Mwenyekiti wake Samia Suluhu Hassan, mnamo Machi 31 mwaka huu kilitangaza kumsamehe na kumrudishia uanachama wake baada ya kuandika barua ya kuomba msamaha.

Membe amerejea Chama cha Mapinduzi (CCM) sambamba na wanachama wengine zaidi ya 1,000 wa vyama vya upinzani waliorejesha kadi katika mkutano huo.

Who cares? He’s a worthless politician!
 
"Nikishamwaga wino mwekundu pale kwenye uwanja wa taifa..jioni tutakua na tafija"[emoji28]

#MaendeleoHayanaChama
 
Jamaa ni Mtu wa mtu alietumika kumtisha Adui wa Mtu na mission ikafanikiwa
Jamaa ni mtu wa smile alietumika kumtisha stone na mission ikafanikiwa!KWA kuharibu uchaguzi na kupoteza uhalali wa kijasusi wa serikali hiyo!!!na stone akashughulikiwa!!!

Nimejitahidi ku decode sijui kama nimefanikiwa!!!
 
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe, leo amekabidhiwa kadi ya CCM na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho Shaka Hamdu Shaka, makabidhiano hayo yamefanyika Chiponda mkoani Lindi..

Awali Membe alifukuzwa uanachama na chama chake na kisha kujiunga na chama cha ACT Wazalendo na aligombea kiti cha Urais katika uchaguzi wa mwaka 2020. ambapo kupitia kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kupitia Mwenyekiti wake Samia Suluhu Hassan, mnamo Machi 31 mwaka huu kilitangaza kumsamehe na kumrudishia uanachama wake baada ya kuandika barua ya kuomba msamaha.

Membe amerejea Chama cha Mapinduzi (CCM) sambamba na wanachama wengine zaidi ya 1,000 wa vyama vya upinzani waliorejesha kadi katika mkutano huo.
View attachment 2243583
Kumbe ilikuwa ni function kbsa
 
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe, leo amekabidhiwa kadi ya CCM na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho Shaka Hamdu Shaka, makabidhiano hayo yamefanyika Chiponda mkoani Lindi..

Awali Membe alifukuzwa uanachama na chama chake na kisha kujiunga na chama cha ACT Wazalendo na aligombea kiti cha Urais katika uchaguzi wa mwaka 2020. ambapo kupitia kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kupitia Mwenyekiti wake Samia Suluhu Hassan, mnamo Machi 31 mwaka huu kilitangaza kumsamehe na kumrudishia uanachama wake baada ya kuandika barua ya kuomba msamaha.

Membe amerejea Chama cha Mapinduzi (CCM) sambamba na wanachama wengine zaidi ya 1,000 wa vyama vya upinzani waliorejesha kadi katika mkutano huo.
View attachment 2243583
Kumbe ilikuwa ni function kbsa
 
Back
Top Bottom