Uchaguzi 2020 Membe au Lissu msisahau kuusema uozo wa "undugunaization", tribalism na nepotism wakati wa Kampeni

Uchaguzi 2020 Membe au Lissu msisahau kuusema uozo wa "undugunaization", tribalism na nepotism wakati wa Kampeni

Juma hili hili mtoto wa JPM - Jesca Magu amehamishiwa REA kwenye mishahara mizuri wakati juzi JPM mwenyewe alimsifia Daktari mmoja wa Falsafa aliyekuwa akifanya CCM kuwa alikuwa anapata mshahara wa shilingi laki 5 cha ajabu Magu mwenyewe bila kufuata taratibu amemhamishia mwanae sehemu yenye neema bila kufuata taratibu. Kwa ujumla kipindi hiki JPM na Serikali yake imeajiri na kuhamisha hamisha wafanyakazi kwa kinyemela sana na bila kufuata taratibu. Wafanyakazi ndugu wa wakubwa wamewekwa sehemu nzuri nzuri tu. Wanakula mishahara mizuri.

Tafadhali Membe na Lissu mkianza kampeni hebu hojini kuhusu namna taratibu zilivyofuatwa na hawa wakubwa wakati wa kuajiri haw watato. Mnaweza kuanza na huyu Jesca Magu ni sababu gani zimeletekeza ahamishiwe REA? Je, alikuwa na vigezo? REA pia ina watoto wa wakubwa wengi akiwemo mtoto wa Majaliwa mwenyewe? Je, ni kweli waliajiriwa kwa taratibu na vigezo stahili?

Inavyoonekana Sekretarieti ya Ajira kwa sasa inatumika tu kama pambo kwamba inaendesha michakato ya ajira Serikalini. Kwa sasa hamna kabisa ushindani kwenye ajira za Serikali kwa sehemu zile nyeti. Wakubwa wanapeleka tu watu wao. Hata Benki Kuu ambayo ni Taasisi iliyopaswa kuwa huru kadri iwezekanavyo kwa sasa imeingiliwa - watu hawana hata competency ya kueleweka wanapelekwa pale. Tena wengine wanasiasa kabisaa - bora hata wangepelekwa watu wa Usalama wa Taifa lakini wanapelekwa wanasiasa

Kuna hili la ukabila ambao limeonekana kabisa kwa uwazi. Dar-es-Salaam pamoja na kuwa ni kama haina ukabila lakini inaonekana WaSukuma wengi wameandaliwa kugombea Dar. Jaribuni kuangalia majimbo yote ya Dar yalikuwa na wagombea WaSukuma na watu wa Kanda hiyo ambao mpango ni kuwapitisha wote wagombee isipokuwa Ubungo tu. Huu mpango upo na baada ya muda kidogo mtaamini ninachoandika hapa

Ili kurekebisha hali hii Memba au/na Lissu tafadhalini mliseme sana hili wakati mkiomba kura zetu. Viongozi hawa warudi kwenye misingi ya ushindani sahihi uliowekwa na Mkapa na Kikwete. Nafasi za kazi za vyeo hata Taasisi nzuri kama REA, SSRA, EWURA, TCRA, TIRA, PSPF, PSSF, TBS, TPA, TRA, BOT, TIC n.k zote zilikuwa zinatangazwa. Kwa sasa huoni Taasisi hizo zikitangaza nafasi za kuanzia Mameneja wala Wakurugenzi. Wanapelekwa tu wale wanaohusiana kindugu, kimahaba, kikabila, kirafiki n.k.

Ili kuongea hayo kwa evidence mnaweza kuanza na Taasisi hizo kuangalia wafanyakazi wote wenye vinafasi walioingia kuanzia Mwaka 2018 Machi, mtakuta uozo sana sana. Na taarifa hizo mtazipata tu kwani mwenyewe nimefanya utafiti na nitawaletea ukweli wote kwa namana ninayoijua mimi!.
Uko vizuri sana
 
Juma hili hili mtoto wa JPM - Jesca Magu amehamishiwa REA kwenye mishahara mizuri wakati juzi JPM mwenyewe alimsifia Daktari mmoja wa Falsafa aliyekuwa akifanya CCM kuwa alikuwa anapata mshahara wa shilingi laki 5 cha ajabu Magu mwenyewe bila kufuata taratibu amemhamishia mwanae sehemu yenye neema bila kufuata taratibu. Kwa ujumla kipindi hiki JPM na Serikali yake imeajiri na kuhamisha hamisha wafanyakazi kwa kinyemela sana na bila kufuata taratibu. Wafanyakazi ndugu wa wakubwa wamewekwa sehemu nzuri nzuri tu. Wanakula mishahara mizuri.

Tafadhali Membe na Lissu mkianza kampeni hebu hojini kuhusu namna taratibu zilivyofuatwa na hawa wakubwa wakati wa kuajiri haw watato. Mnaweza kuanza na huyu Jesca Magu ni sababu gani zimeletekeza ahamishiwe REA? Je, alikuwa na vigezo? REA pia ina watoto wa wakubwa wengi akiwemo mtoto wa Majaliwa mwenyewe? Je, ni kweli waliajiriwa kwa taratibu na vigezo stahili?

Inavyoonekana Sekretarieti ya Ajira kwa sasa inatumika tu kama pambo kwamba inaendesha michakato ya ajira Serikalini. Kwa sasa hamna kabisa ushindani kwenye ajira za Serikali kwa sehemu zile nyeti. Wakubwa wanapeleka tu watu wao. Hata Benki Kuu ambayo ni Taasisi iliyopaswa kuwa huru kadri iwezekanavyo kwa sasa imeingiliwa - watu hawana hata competency ya kueleweka wanapelekwa pale. Tena wengine wanasiasa kabisaa - bora hata wangepelekwa watu wa Usalama wa Taifa lakini wanapelekwa wanasiasa

Kuna hili la ukabila ambao limeonekana kabisa kwa uwazi. Dar-es-Salaam pamoja na kuwa ni kama haina ukabila lakini inaonekana WaSukuma wengi wameandaliwa kugombea Dar. Jaribuni kuangalia majimbo yote ya Dar yalikuwa na wagombea WaSukuma na watu wa Kanda hiyo ambao mpango ni kuwapitisha wote wagombee isipokuwa Ubungo tu. Huu mpango upo na baada ya muda kidogo mtaamini ninachoandika hapa

Ili kurekebisha hali hii Memba au/na Lissu tafadhalini mliseme sana hili wakati mkiomba kura zetu. Viongozi hawa warudi kwenye misingi ya ushindani sahihi uliowekwa na Mkapa na Kikwete. Nafasi za kazi za vyeo hata Taasisi nzuri kama REA, SSRA, EWURA, TCRA, TIRA, PSPF, PSSF, TBS, TPA, TRA, BOT, TIC n.k zote zilikuwa zinatangazwa. Kwa sasa huoni Taasisi hizo zikitangaza nafasi za kuanzia Mameneja wala Wakurugenzi. Wanapelekwa tu wale wanaohusiana kindugu, kimahaba, kikabila, kirafiki n.k.

Ili kuongea hayo kwa evidence mnaweza kuanza na Taasisi hizo kuangalia wafanyakazi wote wenye vinafasi walioingia kuanzia Mwaka 2018 Machi, mtakuta uozo sana sana. Na taarifa hizo mtazipata tu kwani mwenyewe nimefanya utafiti na nitawaletea ukweli wote kwa namana ninayoijua mimi!.
Uliandikaga huu Uzi muda ule wale walivyojazanaga TRA kisa tu wao ndio waliosoma tu Tanzania ama ni kwa zama hizi tu umeamua kuandika ama kuliona hili. Shida ni nini ama hawana sifa kama elimu ama ni nini unachoumia nacho kwani. Ukipewa mkate ule utawapa wanao mle nao ama utawaacha wafe njaa afu uwaite Wa jirani yako kisa hakuna undugu ama?
 
Hizo kanda ambazo zimetupwa na zilizopewa muda Wa kanda zilizopewa na ambazo zimepewa saivi zilipewa enzi hizo.

Hii ni nchi na sio kabila mbili kama Rwanda pumbafu. Kwani Hao sio watanzania waliopewa hizo nafasi. Kwani j jpm hastahili kuwa rea jamani.
Ila awamu hii imekuwa too much, kuna kanda au makabila yametupwa kabisa ktk teuzi.
[/QUOTE
 
Kwa sasa kila sekta utakuww mkubwa ni msuu... malizia na ...**** liko waz kabisa ushahidi wa kutosha angalia mashirika yote ya serikali saivi...kagua yote
Mbona una waza kikabila sana jamani. Wewe muangalie huyo aliyepo hapo hapafomu ama hana vigezo ama yeye sio mtanzania jamani. Hatutoi nafasi za kazi kwa kubalance makabila aikambe.

Twende chadema enzi hizo viti maalumu mademu walikuwa kama 16 sijui afu 13 walikuwa ni aika Mae. Na je crdb Ikoje mpaka saivi. Nyani haoni kundule.
 
Kusema ukweli nchi imeharibiwa kishenzi na huyu jama na wala hanaga aibu kabisa. Ni kweli alivyosema tukiendelea hivi tutafika pabaya sana kwanza sasa hivi akili za watu zimekuwa za kujipendekeza na kufanya mambo kibabe sana, huyu jamaa ameharibu utu wa watanzania. Natumaini mwisho wake hautakuwa mzuri.
Ila awamu hii imekuwa too much, kuna kanda au makabila yametupwa kabisa ktk teuzi.
Mangi mleta mada naona unatamani enzi zile zirudi ambako kila kona lugha ya mangi ilikuwa lugha ya taifa kwenye kila

kila ofisi aikambe aikambe ha ha ha .Sahau nyakati hizo zinapita kasi na usitegemee zirudi tena kwa heri ya kuonana jipange tu kisaikolojia
HAKUNA MGOMBEA WA CHAMA CHOCHOTE ALIYEMSAFI WA KUKEMEA HILI!

OTHERWISE UKEMEAJI UANZIE NDANI YA VYAMA!

KAMA WANAWABEBA WAKIWA WENYEVITI WATASHINDWAJE WAKISHIKA DOLA?

MAUMIVU NI KWA SABABU YANATOKEA UPANDE WA PILI
Jibu hoja mkuu acha matusi.
Kuna kipindi wazuri Mramba aliulozwa bungeni kwamba "kwann wachaga wamejazana BoT, TRA Bandarini na nyingine zenye fedha"? Akajibu kwa nyodo kwamba ndiyo wenye sifa.

Sasa kitesa kwa zamu. Acha wagosha nao watese ndiyo muda wao.
Anzia kwa mwenyekiti wa Chadex kwanza ukiweza kumpa vipande akaachia kijiti na kuruhusu demokrasia itawale chamani ndio uje kwa wana Chichiem!

Swala la Nepotism nalipinga ila ikiwa waliosogezwa kwenye system kwa mbeleko ya Mwenyekiti wana sifa zote sioni kama kuna shida. Pambana na hali yako tu mzee. Huenda wewe ulianzia shinani sasa umefikia tindini unalia lia.

Kila zama na kitabu chake, hata jamaa alianzia tindini sasahivi yuko kwenye shina la muwa anainjoy glucose ya kutosha na wakwake.
Mimi siyo mmoja wao, lakini akina mangi wako flexible na wana spirit ya juu, ona biashara zao zilivyotapakaa kila kona. Wengine waliokuwa na biashara kariakoo wamehamia Zambia, Malawi, DRC n.k. Hawa jamaa nawavulia kofia kwa uchakarikaji wao, wako kama wahindi na waarabu, hawako serikalini wala mashirika ya umma lakini mziki wa biashara zao wote tunauona.
Hili kweli kabisa Mana sitasahau tulivyo Fanya interview za REA. Tukaingia mpaka oral Ila waliokuja kuitwa aisee lo inauma sana. Psrs ni madudu tu. Watu wananeemeka wengine tunahausle. Tunajua kunawatu waliitwa kindugu na majina hayakuwa publish online kukwepa aibu ya ulasimu.

Yani pamoja na kufukuza watu wenye vyeti feki lakini hamna kitu kabisa.
 
Mimi siyo mmoja wao, lakini akina mangi wako flexible na wana spirit ya juu, ona biashara zao zilivyotapakaa kila kona. Wengine waliokuwa na biashara kariakoo wamehamia Zambia, Malawi, DRC n.k. Hawa jamaa nawavulia kofia kwa uchakarikaji wao, wako kama wahindi na waarabu, hawako serikalini wala mashirika ya umma lakini mziki wa biashara zao wote tunauona.
Sasa mbona unajiliza Liza kuwa ukabila kuteua kufuata kanda. Komaa na biashara sasa. Hayo unaowaongelea nawajua nje ndani. Hakuna sehemu unayoenda hapa Tanzania watu wanapenda wakujue mwenyeji Wa wapi kama huko kwao.

Yani aika mae / ambe kitu cha kwanza ama salamu yao ya kwanza ni aisee wewe ni Wa wapi anataka kujua kabila. Fungua duka moshi uone kama kuna mchaga atakuja kwako ama hata ukiwa dar hakuna MCHAGAa atanunua kwako kama jirani Ji mchaga Wao
 
Uliandikaga huu Uzi muda ule wale walivyojazanaga TRA kisa tu wao ndio waliosoma tu Tanzania ama ni kwa zama hizi tu umeamua kuandika ama kuliona hili. Shida ni nini ama hawana sifa kama elimu ama ni nini unachoumia nacho kwani. Ukipewa mkate ule utawapa wanao mle nao ama utawaacha wafe njaa afu uwaite Wa jirani yako kisa hakuna undugu ama?
Mnufaika!
 
Hakuna binadamu asiye mkabila, au mbinafsi, hayupo na wala hatatokea, wapo wasiowapa nduvu lakini huwapa mahawala au watoto na ndugu wa mahawala na hata majirani. Ubinafsi ni (necha) ya mwanadamu, ingawa kelele husaidia kumfanya mwanasiasa apunguze roho ya ubinafsi.
[SUB]Asilimia kubwa ya wapinga ukabila ni wakabila kwa asili[/SUB]. Mimi siwezi kuwa raisi wa nchi, nalitumikia taifa alafu namuacha mtoto wangu nyumbani hana kazi. Ebu kabla hujamuhukumu mwingine mtazame mtoto wako alafu tafakari jinsi unavyompigania. Angali usizushe mambo pia ni dhambi.

Hapo kaka umemaliza jamaa walipendeleana na walifanya wasiyopenda kufanyiwa ila saivi yanawatokea wanaumiaje. Ni kama anayechepuka na wake za watu siku Wa kwake akipigwa anaumia kinyama mpaka anataka kuua MTU.

Na Hayo hao wanaoleta maada za ukabila yani binafsi jamaa naona hawana Sera. Wao wanashindana kikabila kuwa wao kabila lao ni bora sana.

Wana tribalism mentality pamoja kuwa wamesoma. Wanabaki kujifariji kuwa ni wapiganaji wapo Zambia ,Malawi n.k eti kama wahindi ama waarabu hawajikubali mpaka watumie reference ya mhindi.

Kwani yeye anajua ni wahindi wote wanaopigana. Nenda Mumbai ukajionee masikini na omba omba walivyojazana mitaani
 
Mleta mada umekuja na mada nzuri ya kukemea ukabila katika ajira, lakini pia huwa nawashangaa wana JF wengi pindi watu wakilalamika udini katika ajira huwa wa kwanza kumtetea Jiwe, Ila linapokuja suala la Ukabila katika teuzi na ajira huwa wa kwanza kukekemea kwa nguvu zote au hii ni kwa sababu wengi wao ni dini moja naye lakini kabila tofauti kwa hiyo wanajihisi jukumu la kumtetea mwenzao kwa misingi ya imani?

Kuna unafiki mkubwa sana katika suala hili!
 
Hapo kaka umemaliza jamaa walipendeleana na walifanya wasiyopenda kufanyiwa ila saivi yanawatokea wanaumiaje. Ni kama anayechepuka na wake za watu siku Wa kwake akipigwa anaumia kinyama mpaka anataka kuua MTU.
Na Hayo hao wanaoleta maada za ukabila yani binafsi jamaa naona hawana Sera. Wao wanashindana kikabila kuwa wao kabila lao ni bora sana.
Wana tribalism mentality pamoja kuwa wamesoma. Wanabaki kujifariji kuwa ni wapiganaji wapo Zambia ,Malawi n.k eti kama wahindi ama waarabu hawajikubali mpaka watumie reference ya mhindi. Kwani yeye anajua ni wahindi wote wanaopigana. Nenda Mumbai ukajionee masikini na omba omba walivyojazana mitaani
Kwa hiyo wewe mke wako unapigiwa tu!
 
Ntakujibu kama mwakyembe alivyojibu akapigwa chini. Yani nimeongea maneno mingi ila wewe unachomoa maneno miwili na kuyaleta kama hoja aisee Muraaa
Tuambie Mura inawezekana mwenzetu ukipigiwa unaona poa tu kwa sababu hupigi wake za wenzio!
 
Na haya yakiendelea hv tuombe uzima tutakuja kubaguana sna kwa maeneo na kanda tulizotoka
 
Mimi siyo mmoja wao, lakini akina mangi wako flexible na wana spirit ya juu, ona biashara zao zilivyotapakaa kila kona. Wengine waliokuwa na biashara kariakoo wamehamia Zambia, Malawi, DRC n.k. Hawa jamaa nawavulia kofia kwa uchakarikaji wao, wako kama wahindi na waarabu, hawako serikalini wala mashirika ya umma lakini mziki wa biashara zao wote tunauona.
Sio huko tu hadi Kanada wapo wanauza mavi ilimradi wapate Hela. Si Unamjua kule Hela mbele hata kwa kutoa kafara baba
 

Attachments

  • Screenshot_2020-07-22-16-47-40.png
    Screenshot_2020-07-22-16-47-40.png
    214.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_2020-07-22-16-54-06.png
    Screenshot_2020-07-22-16-54-06.png
    170.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_2020-07-22-16-47-49.png
    Screenshot_2020-07-22-16-47-49.png
    246.2 KB · Views: 2
  • Screenshot_2020-07-22-16-45-43.png
    Screenshot_2020-07-22-16-45-43.png
    181.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_2020-07-22-16-42-44.png
    Screenshot_2020-07-22-16-42-44.png
    306 KB · Views: 2
  • Screenshot_2020-07-22-16-38-26.png
    Screenshot_2020-07-22-16-38-26.png
    223.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_2020-07-22-16-37-56.png
    Screenshot_2020-07-22-16-37-56.png
    163.5 KB · Views: 1
Pitia huyu mshkaji anavyopigana huko ng'ambo na kutuma kanadiani dolari ,Fiber,cable,aussie,kiwi,yen na bucks or coco Kilimanjaro huku wewe ukituma za madafu mkuu🤩😘😂😍 .
Jamaa mmoja kuwa aliyesema kuwa wapo Zambia,Malawi ,DRC Dubai,Yemen, hata sayari ya mars wapo kuwa ni waisrael weusi pia hawana asili ya kitanzaniA.

Unaitwa masander nimeshindwa Ku tag jina mana MIE sijasoma
Screenshot_2020-07-22-16-54-06.png
Screenshot_2020-07-22-16-54-06.png
Screenshot_2020-07-22-16-54-06.png
Screenshot_2020-07-22-16-54-06.png
Screenshot_2020-07-22-16-47-49.png
Screenshot_2020-07-22-16-47-40.png
Screenshot_2020-07-22-16-45-43.png
Screenshot_2020-07-22-16-45-28.png
Screenshot_2020-07-22-16-42-44.png
Screenshot_2020-07-22-16-38-26.png
Screenshot_2020-07-22-16-37-56.png
Screenshot_2020-07-22-16-54-06.png
Screenshot_2020-07-22-16-47-49.png
Screenshot_2020-07-22-16-54-06.png
Screenshot_2020-07-22-16-47-49.png
Screenshot_2020-07-22-16-47-40.png
Screenshot_2020-07-22-16-45-43.png
Screenshot_2020-07-22-16-45-28.png
Screenshot_2020-07-22-16-42-44.png
Screenshot_2020-07-22-16-38-26.png
Screenshot_2020-07-22-16-37-56.png
Screenshot_2020-07-22-16-54-06.png
Screenshot_2020-07-22-16-37-56.png
Screenshot_2020-07-22-16-54-06.png
Screenshot_2020-07-22-16-47-49.png
Screenshot_2020-07-22-16-47-40.png
Screenshot_2020-07-22-16-45-43.png
Screenshot_2020-07-22-16-45-28.png
Screenshot_2020-07-22-16-42-44.png
Screenshot_2020-07-22-16-38-26.png
Screenshot_2020-07-22-16-37-56.png
Screenshot_2020-07-22-16-54-06.png
Screenshot_2020-07-22-16-47-49.png
Screenshot_2020-07-22-16-47-40.png
Screenshot_2020-07-22-16-45-43.png
Screenshot_2020-07-22-16-45-28.png
Screenshot_2020-07-22-16-42-44.png
Screenshot_2020-07-22-16-38-26.png
Screenshot_2020-07-22-16-37-56.png
Screenshot_2020-07-22-16-54-06.png
Screenshot_2020-07-22-16-37-56.png
Screenshot_2020-07-22-16-38-26.png
Screenshot_2020-07-22-16-47-40.png
 
Wakiliongelea hilo tu wategemee kutoambulia kura usukumani ambako ndio kunawapiga kura wengi,Wasukuma watapiga kura kikabila zaidi na mshindi atakuwa ameshajulikana tayari,huu mchezo hauhitaji hasira mjomba
 
Back
Top Bottom