Uchaguzi 2020 Membe au Lissu msisahau kuusema uozo wa "undugunaization", tribalism na nepotism wakati wa Kampeni

Uchaguzi 2020 Membe au Lissu msisahau kuusema uozo wa "undugunaization", tribalism na nepotism wakati wa Kampeni

Wakiliongelea hilo tu wategemee kutoambulia kura usukumani ambako ndio kunawapiga kura wengi,Wasukuma watapiga kura kikabila zaidi na mshindi atakuwa ameshajulikana tayari,huu mchezo hauhitaji hasira mjomba
Unafikiri wasukuma wote hawana akili. Nchi hii wenye akili wengi sana siku hizi ambao hata kama ujinga unawa favor hawawezi kuukubali
 
Na Wa kwanza mnaongoza ni nyie mana kwanza mlitakiwa muwe Kenya ndo mnafanana naona ki tabia. Tuliichukua kilimakyasharo tukawapa ndugu zako bandari ya Mombasa mana hawakuwagana nayo na ndio mkajikuta mko tz so msihofu ni nature yenu
Na haya yakiendelea hv tuombe uzima tutakuja kubaguana sna kwa maeneo na kanda tulizotoka
 
Wanahamisha watoto/ndg zao kwa vimemo kwny vitengo vya maana halafu wakitoka hapo wanawaambia watoto wa masikini serikali haiwezi kuajiri watu wote nyie nendeni mkajiajiri,maana kuna vitambulisho vya wamachinga.

Kipenzi cha wanyonge bana.
Mkuu, hiyo sentensi ya unyanyasaji watoto wa wanyonge, inanitia kichefuchefu na kunipa kiungulia...

Vijana wajiajiri...
Wao wanawaajiri watoto wao..

Everyday is Saturday........................... 😎
 
Hapo kaka umemaliza jamaa walipendeleana na walifanya wasiyopenda kufanyiwa ila saivi yanawatokea wanaumiaje. Ni kama anayechepuka na wake za watu siku Wa kwake akipigwa anaumia kinyama mpaka anataka kuua MTU.
Na Hayo hao wanaoleta maada za ukabila yani binafsi jamaa naona hawana Sera. Wao wanashindana kikabila kuwa wao kabila lao ni bora sana.
Wana tribalism mentality pamoja kuwa wamesoma. Wanabaki kujifariji kuwa ni wapiganaji wapo Zambia ,Malawi n.k eti kama wahindi ama waarabu hawajikubali mpaka watumie reference ya mhindi. Kwani yeye anajua ni wahindi wote wanaopigana. Nenda Mumbai ukajionee masikini na omba omba walivyojazana mitaani
Kimtokacho mtu ndicho kiujazavyo moyo wake. Mtu analeta post ya ukabila kwa sababu wao ndio wakabila. Sasa watanzania wameshawashitukia wachagga. Hata akimaliza muda wake mkulu atakayekuja atawabana tu maana mlishawanyanyasa sana watanzania.
 
Kimtokacho mtu ndicho kiujazavyo moyo wake. Mtu analeta post ya ukabila kwa sababu wao ndio wakabila. Sasa watanzania wameshawashitukia wachagga. Hata akimaliza muda wake mkulu atakayekuja atawabana tu maana mlishawanyanyasa sana watanzania.
Kwanza hujui kuwa mi mwenyewe Msukuma na natokea Idukilo, Kishapu, Shinyanga. Acha kuwasingizia WaChaga wewe!
 
Kwanza hujui kuwa mi mwenyewe Msukuma na natokea Idukilo, Kishapu, Shinyanga. Acha kuwasingizia WaChaga wewe!
Wachaga ni wakabila sana. Nishawahi enda kuomba dili shirika flani la serikali wakakataa kunipa dili. Ila nikarudi kwenye shirika ilo kwa namna nyingine hapo ndo nilipo baini madudu ya wachaga na kuwaona kwamba ni wabinafsi. Kuna uchafu wa Hali ya juu sana Mana walikuwepo mpaka watu ambao hawana taaluma ya ishu wanayoifanyia kazi.
 
Wakiliongelea hilo tu wategemee kutoambulia kura usukumani ambako ndio kunawapiga kura wengi,Wasukuma watapiga kura kikabila zaidi na mshindi atakuwa ameshajulikana tayari,huu mchezo hauhitaji hasira mjomba
Kumbe wasukuma na nyie ni wakabila kiasi hiki? Bora nchi igawanywe kila mtu mtawala wa jadi apewe nchi yake
 
Wachaga ni wakabila sana. Nishawahi enda kuomba dili shirika flani la serikali wakakataa kunipa dili. Ila nikarudi kwenye shirika ilo kwa namna nyingine hapo ndo nilipo baini madudu ya wachaga na kuwaona kwamba ni wabinafsi. Kuna uchafu wa Hali ya juu sana Mana walikuwepo mpaka watu ambao hawana taaluma ya ishu wanayoifanyia kazi.
Kumbe wasukuma na nyie ni wakabila kiasi hiki? Bora nchi igawanywe kila mtu mtawala wa jadi apewe nchi yake
Wakabila sana hao kiongozi! Na hatari yao ndiyo inaanza kujulikana sasa. Unaona walivyoipania Dar - Makonda, Gwajima, Mashinji, Furaha Dominic, n.k
 
Wachaga ni wakabila sana. Nishawahi enda kuomba dili shirika flani la serikali wakakataa kunipa dili. Ila nikarudi kwenye shirika ilo kwa namna nyingine hapo ndo nilipo baini madudu ya wachaga na kuwaona kwamba ni wabinafsi. Kuna uchafu wa Hali ya juu sana Mana walikuwepo mpaka watu ambao hawana taaluma ya ishu wanayoifanyia kazi.
Kuna kazi unaweza tu kuzifanya hata kama hukusomea. Mbona wanadai Jesca Magu ni Mwalimu lakini sasa kawa HR?
 
Juma hili hili mtoto wa JPM - Jesca Magu amehamishiwa REA kwenye mishahara mizuri wakati juzi JPM mwenyewe alimsifia Daktari mmoja wa Falsafa aliyekuwa akifanya CCM kuwa alikuwa anapata mshahara wa shilingi laki 5 cha ajabu Magu mwenyewe bila kufuata taratibu amemhamishia mwanae sehemu yenye neema bila kufuata taratibu. Kwa ujumla kipindi hiki JPM na Serikali yake imeajiri na kuhamisha hamisha wafanyakazi kwa kinyemela sana na bila kufuata taratibu. Wafanyakazi ndugu wa wakubwa wamewekwa sehemu nzuri nzuri tu. Wanakula mishahara mizuri na ndiyo maana Magu kagoma kata kata kupandisha mishahara. Wanae na wapwa wake kama akina Doto James hawafeel pinch yeyote ya hali ngumu waliyonayo wafanyakazi wengine.

Tafadhali Membe na Lissu mkianza kampeni hebu hojini kuhusu namna taratibu zilivyofuatwa na hawa wakubwa wakati wa kuajiri haw watato. Mnaweza kuanza na huyu Jesca Magu ni sababu gani zimeletekeza ahamishiwe REA? Je, alikuwa na vigezo? REA pia ina watoto wa wakubwa wengi akiwemo mtoto wa Majaliwa mwenyewe? Je, ni kweli waliajiriwa kwa taratibu na vigezo stahili?

Inavyoonekana Sekretarieti ya Ajira kwa sasa inatumika tu kama pambo kwamba inaendesha michakato ya ajira Serikalini. Kwa sasa hamna kabisa ushindani kwenye ajira za Serikali kwa sehemu zile nyeti. Wakubwa wanapeleka tu watu wao. Hata Benki Kuu ambayo ni Taasisi iliyopaswa kuwa huru kadri iwezekanavyo kwa sasa imeingiliwa - watu hawana hata competency ya kueleweka wanapelekwa pale. Tena wengine wanasiasa kabisaa - bora hata wangepelekwa watu wa Usalama wa Taifa lakini wanapelekwa wanasiasa

Kuna hili la ukabila ambao limeonekana kabisa kwa uwazi. Dar-es-Salaam pamoja na kuwa ni kama haina ukabila lakini inaonekana WaSukuma wengi wameandaliwa kugombea Dar. Jaribuni kuangalia majimbo yote ya Dar yalikuwa na wagombea WaSukuma na watu wa Kanda hiyo ambao mpango ni kuwapitisha wote wagombee isipokuwa Ubungo tu. Huu mpango upo na baada ya muda kidogo mtaamini ninachoandika hapa

Ili kurekebisha hali hii Memba au/na Lissu tafadhalini mliseme sana hili wakati mkiomba kura zetu. Viongozi hawa warudi kwenye misingi ya ushindani sahihi uliowekwa na Mkapa na Kikwete. Nafasi za kazi za vyeo hata Taasisi nzuri kama REA, SSRA, EWURA, TCRA, TIRA, PSPF, PSSF, TBS, TPA, TRA, BOT, TIC n.k zote zilikuwa zinatangazwa. Kwa sasa huoni Taasisi hizo zikitangaza nafasi za kuanzia Mameneja wala Wakurugenzi. Wanapelekwa tu wale wanaohusiana kindugu, kimahaba, kikabila, kirafiki n.k.

Ili kuongea hayo kwa evidence mnaweza kuanza na Taasisi hizo kuangalia wafanyakazi wote wenye vinafasi walioingia kuanzia Mwaka 2018 Machi, mtakuta uozo sana sana. Na taarifa hizo mtazipata tu kwani mwenyewe nimefanya utafiti na nitawaletea ukweli wote kwa namana ninayoijua mimi!.
Hayo ni mamabo yako tu, nanai alikwambia rea kuna mishahara mizuri kuliko idara zingine?
Tuonyeshe idara zote na tofauti ya mishahara yao.

Pia ukumbuke kila siku watu wanabadilishwa kutoka nafasi moja kwenda nyingine, kwa hiyo hao wote ni watoto wa magufuri?
Au mtoto wa magufuti hana haki ya kubadilishwa kitengo kwa kuwa baba yake ni Raisi?
Kuna watu kasema amewateuwa wote wanatoka sijui ireje au katavi sikumbuki hivi, je wote mi ndugu wa Magufuli?
Tumieni akiri kabla ya kuleta hapa tabia zenu mlizonazo miyoni mwenu.
 
Hayo ni mamabo yako tu, nanai alikwambia rea kuna mishahara mizuri kuliko idara zingine?
Tuonyeshe idara zote na tofauti ya mishahara yao.

Pia ukumbuke kila siku watu wanabadilishwa kutoka nafasi moja kwenda nyingine, kwa hiyo hao wote ni watoto wa magufuri?
Au mtoto wa magufuti hana haki ya kubadilishwa kitengo kwa kuwa baba yake ni Raisi?
Kuna watu kasema amewateuwa wote wanatoka sijui ireje au katavi sikumbuki hivi, je wote mi ndugu wa Magufuli?
Tumieni akiri kabla ya kuleta hapa tabia zenu mlizonazo miyoni mwenu.
Wenzangu hivi mkiona mtu anaweka "r" badala ya "l" huwa mnamchukuliaje?
 
Juma hili hili mtoto wa JPM - Jesca Magu amehamishiwa REA kwenye mishahara mizuri wakati juzi JPM mwenyewe alimsifia Daktari mmoja wa Falsafa aliyekuwa akifanya CCM kuwa alikuwa anapata mshahara wa shilingi laki 5 cha ajabu Magu mwenyewe bila kufuata taratibu amemhamishia mwanae sehemu yenye neema bila kufuata taratibu. Kwa ujumla kipindi hiki JPM na Serikali yake imeajiri na kuhamisha hamisha wafanyakazi kwa kinyemela sana na bila kufuata taratibu. Wafanyakazi ndugu wa wakubwa wamewekwa sehemu nzuri nzuri tu. Wanakula mishahara mizuri na ndiyo maana Magu kagoma kata kata kupandisha mishahara. Wanae na wapwa wake kama akina Doto James hawafeel pinch yeyote ya hali ngumu waliyonayo wafanyakazi wengine.

Tafadhali Membe na Lissu mkianza kampeni hebu hojini kuhusu namna taratibu zilivyofuatwa na hawa wakubwa wakati wa kuajiri haw watato. Mnaweza kuanza na huyu Jesca Magu ni sababu gani zimeletekeza ahamishiwe REA? Je, alikuwa na vigezo? REA pia ina watoto wa wakubwa wengi akiwemo mtoto wa Majaliwa mwenyewe? Je, ni kweli waliajiriwa kwa taratibu na vigezo stahili?

Inavyoonekana Sekretarieti ya Ajira kwa sasa inatumika tu kama pambo kwamba inaendesha michakato ya ajira Serikalini. Kwa sasa hamna kabisa ushindani kwenye ajira za Serikali kwa sehemu zile nyeti. Wakubwa wanapeleka tu watu wao. Hata Benki Kuu ambayo ni Taasisi iliyopaswa kuwa huru kadri iwezekanavyo kwa sasa imeingiliwa - watu hawana hata competency ya kueleweka wanapelekwa pale. Tena wengine wanasiasa kabisaa - bora hata wangepelekwa watu wa Usalama wa Taifa lakini wanapelekwa wanasiasa

Kuna hili la ukabila ambao limeonekana kabisa kwa uwazi. Dar-es-Salaam pamoja na kuwa ni kama haina ukabila lakini inaonekana WaSukuma wengi wameandaliwa kugombea Dar. Jaribuni kuangalia majimbo yote ya Dar yalikuwa na wagombea WaSukuma na watu wa Kanda hiyo ambao mpango ni kuwapitisha wote wagombee isipokuwa Ubungo tu. Huu mpango upo na baada ya muda kidogo mtaamini ninachoandika hapa

Ili kurekebisha hali hii Memba au/na Lissu tafadhalini mliseme sana hili wakati mkiomba kura zetu. Viongozi hawa warudi kwenye misingi ya ushindani sahihi uliowekwa na Mkapa na Kikwete. Nafasi za kazi za vyeo hata Taasisi nzuri kama REA, SSRA, EWURA, TCRA, TIRA, PSPF, PSSF, TBS, TPA, TRA, BOT, TIC n.k zote zilikuwa zinatangazwa. Kwa sasa huoni Taasisi hizo zikitangaza nafasi za kuanzia Mameneja wala Wakurugenzi. Wanapelekwa tu wale wanaohusiana kindugu, kimahaba, kikabila, kirafiki n.k.

Ili kuongea hayo kwa evidence mnaweza kuanza na Taasisi hizo kuangalia wafanyakazi wote wenye vinafasi walioingia kuanzia Mwaka 2018 Machi, mtakuta uozo sana sana. Na taarifa hizo mtazipata tu kwani mwenyewe nimefanya utafiti na nitawaletea ukweli wote kwa namana ninayoijua mimi!.
Mtatapatapa sana mwaka huu lakini imani ya watz kwa Magu siyo ya kuyumbishwa na siasa maji taka! Uliona Magu kabeba faili la Mwanae na kulihamishia huko unakosema! Au hukusikia alivyomkea brigedia jana kwa kutaka kujenga ofisi Chato...na kumchana palepale kuwa ni kujipendekeza?
Wanaojipendekeza wapo wengi, ila msimamo wa Magu hauyumbishwi, akigundua anachomoa fuzi papo kwa papo. Kama huelewi, nenda kawaulize ndugu zake wa karibu...sio unabwabwaja tu kama teja!
Hata hivyo, huyo Jesca kama kweli alihamishwa, alihamishwa kama mtz, mbona wanaohamishwa vitengo wapo wengi tu? Au kwa kuwa na nasaba na rais hicho ni kigezo cha kutohamishwa kwenda kitengo kingine...hizi akili mbona ni matope saana!?
 
Mtatapatapa sana mwaka huu lakini imani ya watz kwa Magu siyo ya kuyumbishwa na siasa maji taka! Uliona Magu kabeba faili la Mwanae na kulihamishia huko unakosema! Au hukusikia alivyomkea brigedia jana kwa kutaka kujenga ofisi Chato...na kumchana palepale kuwa ni kujipendekeza?
Wanaojipendekeza wapo wengi, ila msimamo wa Magu hauyumbishi, akigundua anachomoa fuzi papo kwa papo. Kama huelewi, nenda kawaulize ndugu zake wa karibu...sio unabwabwaja tu kama jeja!
Umenena vema yamkini na mwanae Jesca kama kapelekwa huko REA na wanaojipendekeza yamkini atamng'oa soon!
 
Wachaga ni wakabila sana. Nishawahi enda kuomba dili shirika flani la serikali wakakataa kunipa dili. Ila nikarudi kwenye shirika ilo kwa namna nyingine hapo ndo nilipo baini madudu ya wachaga na kuwaona kwamba ni wabinafsi. Kuna uchafu wa Hali ya juu sana Mana walikuwepo mpaka watu ambao hawana taaluma ya ishu wanayoifanyia kazi.
Hawamfikii Magufuli na Wasukuma kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom