Tetesi: Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba

Kwahiyo, wewe unaona Musiba aliibua kashfa gani? Au na wewe ni mwanamatusi mwingine?
 
Hapo bado Tibaijuka 🤪🤪🤪
 
Viongozi wadini acheni kumbelembele.. wakati Membe anatukanwa mlikuwa wapi msimkemee Musiba? Ila wote mliufyata na kujifanya hamsikii
 
Msamaha ulitakiwa iombwe kabla ya hukumu ya kesi husika.
 
Unafikiri membe ni fala kama wewe
 
Mbona Musiba mwenyewe aombi msamaha ,inamaana hajutii alichokifanya ndio maana Membe anashangaa watu wapembeni wanamwombea msamaha wakati yeye muhusika wala hajali.
 
Acha uzuzu wewe! Aliyetukana mwenyewe mnaemuombea msamaha, amegoma kuomba msamaha. Mnataka Membe amsamehe kwenye ground zipi?
 
Bado mabilioni ya Fatuma Karume.. Musiba mpaka awe mwehu mwaka huu. Na Fatuma ndo haingiliki na mashehe wala maaskofu
 
Membe ni failure anayetapatapa.

Aliwahadaa ACT wazalendo kwamba ataingia dakika ya 89 na kufunga goli alafu akaishia kufanya kampeni za urais kwenye kijiji cha Rondo
Yule Mzee ni msanii,ata hiyo hukumu imekaa kirushwa rushwa tu!
 
Tena Musiba akiwa analiburuza hilo li case na ma appeal pesa zita mwishia Membe
Na Musiba naye sijui vipi kwa nini hizo mali asiziandike kuwa ni za mtu mwingine?
Au kama inawezekana aende akaiombe Mahakama kuwa yeye anauwezo wa kumlipa Membe laki moja kila mwisho mwezi mpaka deni liishe.
 
Acha kutishia watu..maaskofu sio Mungu. Wao wenyewe Wana scandal zao kibao. Kila siku wanatimuana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…