Tetesi: Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba

Namuombea kila baya Musiba.
Ahenyeshwe na ikibidi hata yeye mwenyewe apigwe mnada
 
Lakini ni vyema Musiba asitake kuuzunguka mbuyu, atoke hadharani tu na kumuomba msamaha Membe na wengine wote aliowakosea, tena kwa namna ile aliyoifanya kupitia vyombo vyake vya habari.
Naunga mkono hoja.
 


Unajitisha , wauze Mpaka Kuku wake iwe fundisho kwa wengine
 
Yaani wewe akili yako bana... yaani TISS wamsaidie Musiba halaf wamtelekeze mwenzao Membe?!
 
Sasa Jasusi mkubwa analilia malipo kutoka kwa kapuku Musiba!
 
Hahaaa..... wapambe mmeshindwa kumchangua shujaa wenu msiba?

Yuko mwingine alisingizia watu madawa ya kulevya.

Kesi zake zitafunguliwa hata baada ya miak 30 mbele. Ajiandae tu.
Yule DAB ni zaidi ya sheitwan yupo kitaa anatingisha msambwanda
 
Kuna watu wanalalamika wana maisha magumu na hawana raha kwa vitu vya kipumbavu, pata picha upo kwenye kiatu cha Musiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…