D2050
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 1,919
- 1,094
membe mweupe tu huyo hana jipya anajifurahisha tu.jiwe halipendagi ushindani
Anaweza kuwekwa kizuizini huyu
alishindwa2015 mbele ya mkwere sembuse leo serikali yote ya MAGUWewe ndio wala si yeye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
membe mweupe tu huyo hana jipya anajifurahisha tu.jiwe halipendagi ushindani
Anaweza kuwekwa kizuizini huyu
alishindwa2015 mbele ya mkwere sembuse leo serikali yote ya MAGUWewe ndio wala si yeye.
hivi unaijua CCM wewe? achana kabisa na hili kitu...Membe si mbumbumbu kama wana Lumumba walio wengi..anaijua CCM nje ndani.Kwanza anatakiwa kuchukuliwa hatua na Chama chake baadae ile sauti yake iliyodukuliwa kusambaa. Hii ya kugombea anasema ili wakimfukuza apate agenda ya kisiasa eti baada ya kuonesha nia ya kugombea urais 2020 ndo amefukuzwa chamani.
Membe anatakiwa kufukuzwa fasta CCM ili akastaafie siasa akiwa opposition.
Sawa. Hata EL anaijua Chadema na CCM nje ndani.hivi unaijua CCM wewe? achana kabisa na hili kitu...Membe si mbumbumbu kama wana Lumumba walio wengi..anaijua CCM nje ndani.
Brainwashed dude. Keep day dreaming.Pole sana.
Kwako wewe Theories za Bwana Green unaziona Supreme & Ultimatum?
[emoji23][emoji23] saw kabisaUnataka waziri wa mambo ya nje aonyeshe barabara au majengo ya zahanati.
Umenena vyema Sana mkuuNi haki yake kikatiba kuna tatizo gani akiitumia? Maadam JPM anafanya kazi natumai kazi zake zitakuwa kigezo cha yeye kuchaguliwa tena ndani ya chama hivyo natamani kuona uchaguzi huru na haki ndani ya chama atakayeshinda ashinde!
Pia utarajie watanzania wenzako kadha wakadha watakao kuwa upande wa Membe watapoteza maisha, Magu anamiliki wasio julikana!.
we ulitaka akuonyeshe kip ndo umkubaliAmekuwa waziri miaka 8. Atuonyeshe kitu kimoja (kimoja tu) alichofanya..namaanisha kimoja tu!
"Anataka mpaka ampige mimba mke wake" by UVCCMwe ulitaka akuonyeshe kip ndo umkubali
Siku wewe au ndugu yako akiangukia mikononi mwa wasio julikana ndo utaelewa rais wako ana rangi gani.Usimhusishe Rais na mambo mabaya tafadhali.
Kuna la ajabu hapo mpaka usiamini, huoni juzi kakiri kuwa sauti iliyodukuliwa ni ya kwake? Kama ameweza kukiri yale atashindwa kuzungumza hayo? Ukweli ni kuwa kuna wanaccm wengi hawaridhishwi na namna Magufuli anavyoongoza chama chao na nchi kwa pamoja kwani kajigeuza kuwa mkubwa kuliko chama na nchi. Sasa huyo Membe anachofanya ni kumuonyesha kwamba yeye sio mkubwa kuliko chama au nchi, hivyo yuko tayari kupambana naye ili kumuonyesha hana madaraka zaidi ya hayo anayopaswa kuwa nayo.
Mimi ninaamini Membe hawezi kuwa rais mzuri, lakini huyu wa sasa sio mzuri pia. Na pia tulishatoka kwenye kuongozwa kwa vitisho na kusujudia viongozi. Sasa hivi tunataka kiongozi anayeheshimu wananchi sio anayeogopwa na wananchi kisa anapandikiza hofu. Kama ni maendeleo tungeweza kuyapata hata chini ya wakoloni, lakini uhuru wetu ulikuwa na maana kuliko maendeleo ya wakoloni.
Kwanza anatakiwa kuchukuliwa hatua na Chama chake baadae ile sauti yake iliyodukuliwa kusambaa. Hii ya kugombea anasema ili wakimfukuza apate agenda ya kisiasa eti baada ya kuonesha nia ya kugombea urais 2020 ndo amefukuzwa chamani.
Membe anatakiwa kufukuzwa fasta CCM ili akastaafie siasa akiwa opposition.