Uchaguzi 2020 Membe: Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala, nitajitosa na nitashinda

UVCCM mbona mpo kimya kuhusu waraka wa kina Kinana? si kawaida yenu.
 
hivi unaijua CCM wewe? achana kabisa na hili kitu...Membe si mbumbumbu kama wana Lumumba walio wengi..anaijua CCM nje ndani.
 
hivi unaijua CCM wewe? achana kabisa na hili kitu...Membe si mbumbumbu kama wana Lumumba walio wengi..anaijua CCM nje ndani.
Sawa. Hata EL anaijua Chadema na CCM nje ndani.
 
Ni haki yake kikatiba kuna tatizo gani akiitumia? Maadam JPM anafanya kazi natumai kazi zake zitakuwa kigezo cha yeye kuchaguliwa tena ndani ya chama hivyo natamani kuona uchaguzi huru na haki ndani ya chama atakayeshinda ashinde!
Umenena vyema Sana mkuu
 
Kumbuka kuwa kama usemavyo kuwa pengine anatumia kanuni unazoziita za Colin Powell basi kama ni kweli Membe asisahau kuwa na EXIT strategy!!
 

“Kama ni maendeleo tungeweza kuyapata hata chini ya wakoloni, lakini uhuru wetu ulikuwa na maana kuliko maendeleo ya wakoloni”[emoji419]
 

[emoji706][emoji706][emoji706]
 
Braza Membe, Ulipoapa kula kiapo cha Ujasusi tangu ukiwa kijana mbichi kabisa uliapa kuilinda, kuitetea na kuihifadhi Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Ulikula Kiapo cha kutoogopa mtu yoyote bali Taifa kwanza. Kwa sasa Tanzania inakuita ukainusuru isiendelee kuserereka kuelekea shimoni, shimo ambalo tukishagota chini itakuwa ni gharama kubwa sana kuweza kutoka!. Na sioni namna nyingine ya wewe kuipigania nchi yako zaidi ya Kuchukua fomu, kugombea na uwe raisi ili ukarekebishe makosa makubwa makubwa ambayo yamefanyika kwenye miaka hii minne.

Sina wasiwasi kuwa kama ni SGR utajenga, tena utaiongezea urefu hadi mikoa mingine
Sina wasiwasi kama ni Flyover utajenga, tena nzuri na nyingi zaidi
Sina wasiwasi kama ni umeme utaleta tena wa gesi ulio clean na wa maji pia
Kama ni barabara utajenga tena imara kufika hadi kila kata.
Kama ni elimu bure, utatoa hadi form six

ILA AMBACHO NI MUHIMU ZAIDI,SINA WASIWASI KABISA KWAMBA UTALINDA NA KUITETEA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA HAKI ZA RAIA NA KWAMBA KWENYE KUTIMIZA MAJUKUMU YAKO HUTAONEA WALA KUPENDELEA MTU KWA MUJIBU WA UDINI, UKABILA, UKANDA AU CHUKI ZA KISIASA!

Chukua Fomu Jemedari, Tuko nyuma yako!
 
Be the first to reply..........listen! Pick up I'm calling u brother Membe. Here we go..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…