Uchaguzi 2020 Membe: Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala, nitajitosa na nitashinda

Ninachokiona ni Membe kupewa sifa ambazo hana. Hata hivyo sishangai kwa sababu wapinzani wa Rais Magufuli wana ombwe la mtu ambaye atapambana naye katika kiti cha Urais.

Kinachofanyika kwa sasa ni kumshabikia mtu yeyote anayesema au kuonekana atapambana na Rais Magufuli hata kama hana sifa ili tu kujaza ombwe.
 
Ni ajabu sana kuwa Wanaopiga kelele kusifia kuwa awamu ya tano haina mfano kwa jinsi inavyo Fanya vizuri katika uongozi ndio haohao wenye hofu kubwa ya uchaguzi kwa nini?
Kama umeongoza vyema una haja gani kuwa na wasiwasi na kutumia hila kutaka ubaki madarakani?
Mbona ulipaswa kukaa kimya kisha matendo yako ndio yakakubeba?
Na hofu kubwa mbona iko kwenye uteuzi ambao wapigakura ndani ya chama ni wastani wa 3,000 tuu na huku kwenye wapiga kura zaidi ya 15M hawaogopi sana?
Au kwa vile ndani ya Chama hawawezi kuiba kura kuliko uchaguzi mkuu?
 
Kamfukuze...
 
Mnaogopa nini hadi kufukuza wanaotaka kugombea? Katiba yenu haina kugombea?
 


Kumbuka 2015 waligombea wangapi kwa tiketi ya CCM?
 
Kwa nini hamtaki Magufuli "mtu maarufu sana" apambanishwe na asiye maarufu?
 
Napendekeza Jiwe akabadili katiba haraka bungeni aweke kipengele kuwa mtu haruhusiwi kuwania urais kama siyo Rais wa nchi.. Jiwe fanya chap chap jembe langu maana nakuaminia kwa kupendekeza sheria za matango pori.
Na itapita kwa kishindo cha Ndiyooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…