Uchaguzi 2020 Membe kuunguruma Alhamisi 16 Juni 2020

kwamba sisi hatuna akili za kujifunza ya nyuma ? Muwe na subira na Pia mtambue Kuwa Kuna Watu wana akilitimamu
Wewe zaidi sana unatafuta ruzuku tu! Huna jipya!
 
Huyu membe mnamkuza sana utadhani ana la maana na mtu muhimu sana tanzania hii, kumbe hana lolote ni mwepesi sana sana sana.
 
Huyu ni mtu sahihi kabisa na amekuja kwa wakati sahihi upande wa upinzani. Ni ukweli usiopingika huyu ni bonge la 'asset" ambaye upinzani unamuhitaji sana zaidi ya yeye anavyowahitaji wapinzani.
 
Chichiemu mavi yanagonga chupi mweeee!!
Ni mfuano tu. Ngoja tuone
 
ivi mfano membe akashinda uraisi, je upianzani watakua wameshinda dhamira yao ya kuwatoa ccm madarakani?
 
Membe amejitoa kuwa mwanakondoo wa sadaka

ni jasiri.
 
Anaaenda kutafuta Urais akikosa hana sababu inayomfanya aendelee kuwa sehemu ya Upinzani!
 
Membe zilipendwa huyooooo.

Hana tena jipya, akae nyumbani aleee wajukuu.


Magufuli oyeeeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…