Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Darasa La Nne B Anaweza Kujua Yote HayoNia ni kuipoteza maboya CHADEMA...
Hili nalo linahitaji degree kung'amua??
Yupo kazini huyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Darasa La Nne B Anaweza Kujua Yote HayoNia ni kuipoteza maboya CHADEMA...
Hili nalo linahitaji degree kung'amua??
Yupo kazini huyo.
Wewe zaidi sana unatafuta ruzuku tu! Huna jipya!kwamba sisi hatuna akili za kujifunza ya nyuma ? Muwe na subira na Pia mtambue Kuwa Kuna Watu wana akilitimamu
Na ndio kazi yake na analipwa.Naona kitu kama hicho Kwa hiyo Zitto anatumika kudidimiza upiznani
Huyu membe mnamkuza sana utadhani ana la maana na mtu muhimu sana tanzania hii, kumbe hana lolote ni mwepesi sana sana sana.TAARIFA KWA UMMA.
Kesho tarehe 16 Julai 2020, Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Mwanasiasa na Mwanadiplomasia mbobezi Ndugu Benard Membe atazungumza na Wanachama wa ACT Wazalendo.
Ukumbi: Mlimani City
Muda: Saa 4.00 Asubuhi.
Waandishi wote mnakaribishwa.
Janeth Rithe, Naibu Katibu, Idara ya Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma, ACT Wazalendo.
Simu: 0745899913
15 Julai 2020.View attachment 1507601
Huyu ni mtu sahihi kabisa na amekuja kwa wakati sahihi upande wa upinzani. Ni ukweli usiopingika huyu ni bonge la 'asset" ambaye upinzani unamuhitaji sana zaidi ya yeye anavyowahitaji wapinzani.TAARIFA KWA UMMA.
Kesho tarehe 16 Julai 2020, Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Mwanasiasa na Mwanadiplomasia mbobezi Ndugu Benard Membe atazungumza na Wanachama wa ACT Wazalendo.
Ukumbi: Mlimani City
Muda: Saa 4.00 Asubuhi.
Waandishi wote mnakaribishwa.
Janeth Rithe, Naibu Katibu, Idara ya Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma, ACT Wazalendo.
Simu: 0745899913
15 Julai 2020.View attachment 1507601
Hatari au ndio kugawana kura na kuufanya uchaguzi mkuu ujao uwe mwepesiiii kwa CCM
Hili collabo la Membe na Lissu litakuwa hatari sana kwa CCM
Upinzani Tanzania ni shida aisee.. Yaani wanamrahisishia Magufuli kurudi ikulu mapema kabisaYale yale ya 2015!
Ukweli ndio huo!Chama Dola
Chama Ni Kimoja
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji28][emoji1][emoji2][emoji1787][emoji871][emoji206][emoji230][emoji230]
Karibu mhe.Membe upinzani lkn ujiandae kuwa meneja kampeni was mhe.Lissu....acha waseme huna madhara au nyoko nyoko lkn October 25 ndo tutajua Nani kamu win mwenzake...kwa sasa acha wachonge ngenga
Hata Lowasa mlisema hana madhara,ameitia makoovu CCMHana madhara
Ndiyoivi mfano membe akashinda uraisi, je upianzani watakua wameshinda dhamira yao ya kuwatoa ccm madarakani?
Umesema kweli, huyu jamaa nasikia pia ni kachero, sasa hapa sindiyo Yale Yale. Utasikia mwakani huyo anarudi kwao, alikotoka. Ngoja tuone.Yale yale ya 2015!
Membe zilipendwa huyooooo.TAARIFA KWA UMMA.
Kesho tarehe 16 Julai 2020, Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Mwanasiasa na Mwanadiplomasia mbobezi Ndugu Benard Membe atazungumza na Wanachama wa ACT Wazalendo.
Ukumbi: Mlimani City
Muda: Saa 4.00 Asubuhi.
Waandishi wote mnakaribishwa.
Janeth Rithe, Naibu Katibu, Idara ya Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma, ACT Wazalendo.
Simu: 0745899913
15 Julai 2020.View attachment 1507601
Surekwamba sisi hatuna akili za kujifunza ya nyuma ? Muwe na subira na Pia mtambue Kuwa Kuna Watu wana akilitimamu