Membe: Musiba na Mchange anayewatuma kunichafua kwanini hamnipeleki mahakamani? Kama mnaweza kunirekodi mmeshindwa nini kutoa huo ushahidi


Naona unasadiki na kuunga unga tu.
 
Mashangazi wa Ruangwa noma sana, kumbe walikuwa wanamlia timing.
 
Sasa mkuu kama kweli au niuwongo Kwanini usikae kimya tu upate chai huko rondo au ndio maficho?
 
Baba ongeza sauti yule boya akusikie!
 
mkewe anajua yuko wapi?
ungekuwa nyumba ndogo yake ungejua yuko wapi.
 
Membe arudishe tu mabilion ya Watanzania aliyopora kutoka libya

Jamhuri ikiamua kumshitaki atafilisika


Pia sio vizuri kuwatumia vijana kubweka mtandaoni kuisema serkali

Tuendelee kumuunga mkono mh Rais Kwa uchapa kazi
Wameshindwa wenzio wangeshamfungulia ,yule ni born town akuja mjini mkubwa kwa gari za ng'ombe yuko mbele kifikra kuliko nyie mliokuja wakubwa mjini hawezi nasa mtegoni
 
mkuu uko serious ikulu ijibu kila tuhuma ama tetesi ...
 
Yule si amezaliwa huko Lindi vijijini,huo u-born town kaupatia wapi?
Wameshindwa wenzio wangeshamfungulia ,yule ni born town akuja mjini mkubwa kwa gari za ng'ombe yuko mbele kifikra kuliko nyie mliokuja wakubwa mjini hawezi nasa mtegoni
 
Meimbe atulize mshono, huku kijijini kwake ndo alikochezea zile fitina? Asijifanye mjuaji, hayo mambo yake hatafanikiwa, atafute nchi ya kutawala! Siyo kwa uhuni huo
 
Huyu Msiba ana shida ya akili,sijawahi kushudia mjita wa hivyo kama huyu jamaa,Leo umekuwa mpwani?.
Wajita hawako hivo,si watu wa kuzunguka.Yote kwa yote,kama wewe ni mwanamme mpeleke huyo Membe mahakamani ili ukweli uthibitike,siyo Kila siku Membe kafanya hili,hili na hili.
Mpeleke mahakamani udhihirishe uanamme wako,nusige otelera lwa linyabhutelele.
 
Wanaomzushia Rais wana matope
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…