Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
🤣🤣🤣 acha membe awavuruge hawa mbwa ili wakose direction kabisa, sisi hatuwezi kumpa nchi mtu mwenye Uraia wa ubelgiji na Marekani huko bhan 😂😂😂Membe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla?
Membe amejibu kwa kuwa yeye anaongoza kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali anaona ingekuwa busara kwa upinzani kama wangeweka nguvu pamoja na kumsupport yeye, pia amedai anaufahamu vizuri uwezo wa Lissu kisheria na hivyo kumhakikishia kazi katika serikali yake mpya kadri ya katiba itakavyoruhusu.
Wakuu yapi maoni yenu?
Radio Tehran? Kweli mmepania kumchafua Membe.Membe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla?
Membe amejibu kwa kuwa yeye anaongoza kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali anaona ingekuwa busara kwa upinzani kama wangeweka nguvu pamoja na kumsupport yeye, pia amedai anaufahamu vizuri uwezo wa Lissu kisheria na hivyo kumhakikishia kazi katika serikali yake mpya kadri ya katiba itakavyoruhusu.
Wakuu yapi maoni yenu?
mwaka huu tutaona mngiiiiiiMembe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla?
Membe amejibu kwa kuwa yeye anaongoza kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali anaona ingekuwa busara kwa upinzani kama wangeweka nguvu pamoja na kumsupport yeye, pia amedai anaufahamu vizuri uwezo wa Lissu kisheria na hivyo kumhakikishia kazi katika serikali yake mpya kadri ya katiba itakavyoruhusu.
Wakuu yapi maoni yenu?
Watu Wazima tena ambao 'Kutwa' mkiwa hapa 'JF' mnajiita 'Great Thinkers' kupoteza muda wenu 'Kumjadili' Membe ni kuonyesha 'Utahaira' Wenu.Membe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla?
Membe amejibu kwa kuwa yeye anaongoza kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali anaona ingekuwa busara kwa upinzani kama wangeweka nguvu pamoja na kumsupport yeye, pia amedai anaufahamu vizuri uwezo wa Lissu kisheria na hivyo kumhakikishia kazi katika serikali yake mpya kadri ya katiba itakavyoruhusu.
Wakuu yapi maoni yenu?
Hii ndio Dk 89 tunawapiga bao mawakala wa mabeberu! Lissu kwisha habari yake, Maalimu naye Kule Zenji Chali umoja wa wabunge tunampeleka mahakamani!
Bwanawe
Huyu ataivuruga ACT! Wamfukuze mapema kabla hajazoeleka ndani ACT kuwa na wafuasi. Zito atajuta huko mbele!Membe ameamua kuwa joker 🃏
Labda serikali ya jimbo la Mtama!
Nae ni mgonbea,na pia no mgombea makini sana,hivyo sioni tatizo na zaidi amewaomba msiwe na haraka.Kwani mambo mazuri hayahitaji haraka.Membe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla?
Membe amejibu kwa kuwa yeye anaongoza kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali anaona ingekuwa busara kwa upinzani kama wangeweka nguvu pamoja na kumsupport yeye, pia amedai anaufahamu vizuri uwezo wa Lissu kisheria na hivyo kumhakikishia kazi katika serikali yake mpya kadri ya katiba itakavyoruhusu.
Wakuu yapi maoni yenu?
Zitto kamuweza kabisa huyu jamaa, ccm walidhani anauzika ili wamtumilieZitto ndio wa kulaumiwa. Kwa nini walimkaribisha huyu Membe kwenye chama chao ?
Sio comedian alikuja upinzani kwa kazi maalum sasa lengo halijatimia na anatakiwa arudishe hesabu ndio kama unavyoonaHuyu jamaa ni comedian au kuna nati imelegea?[emoji23][emoji23]
Kama ni kweli amesema haya basi kuna uwezekano mkubwa ni case ya bipolar na atahitaji kuonana na wataalamu wa gonjwa la akili.Membe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla?
Membe amejibu kwa kuwa yeye anaongoza kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali anaona ingekuwa busara kwa upinzani kama wangeweka nguvu pamoja na kumsupport yeye, pia amedai anaufahamu vizuri uwezo wa Lissu kisheria na hivyo kumhakikishia kazi katika serikali yake mpya kadri ya katiba itakavyoruhusu.
Wakuu yapi maoni yenu?
Zitto alikuwa na ndoto kubwa za kukuza chama chake ili kuipunguza nguvu Chadema ndio maana akawa anaokotaokota tuZitto ndio wa kulaumiwa. Kwa nini walimkaribisha huyu Membe kwenye chama chao ?
na zitto ni wa kulaumiwa kusimamisha kichaa agombeeZitto ndio wa kulaumiwa. Kwa nini walimkaribisha huyu Membe kwenye chama chao ?