Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Membe hajafukuzwa uanachamaSifa ya kupewa fomu tu ya kuomba ridhaa ndani ya chama ni kuwa Mwanachama sifa ambayo Membe alishaipoteza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Membe hajafukuzwa uanachamaSifa ya kupewa fomu tu ya kuomba ridhaa ndani ya chama ni kuwa Mwanachama sifa ambayo Membe alishaipoteza.
Hakuna siku yoyote membe aliwahi kuwakubali Hawa walevi. Chadema wanatapata tu.Kawakataa Chadema mchana kweupee.
Mkuu natamani hii statement yako iwe ndo ukweli, naamini jiwe litageuka maji ghafla coz jamaa halali kisa Camiroooo!!!Pohamba!waliazimia kumfukuza membe bado hajafukuzwa !!hadi apewe barua rasmi!kitu ambacho kamati haijafanya na haitofanya!!
Ccm inavyojua kucheza na akili za wapinzani sasa!Membe hajafukuzwa uanachama
sioni kosa la Membe.Watanzania wenzangu. Mimi sijaandika barua ya kuomba kujiunga na Chadema au chama kingine chochote lakini nitaendelea kuviheshimu vyama vya upinzani kwa sababu vinafanya kazi nzuri ya kuikosoa Serikali. Kukosoa ni kitendo cha maendeleo mpinduka na kamwe si kitendo cha uadui!- Bernard Membe.
Chanzo: HabariLeo Mtandao
Ukishaona tu Mwanasiasa haeleweki, Mjeuri, ana Kiburi Kingi, Mnafiki ( Ndumilakuwili ) jua ana Matatizo na hafai hata kuwa Rais wenu atawasaliti.
sioni kosa la Membe.
ameamua kubaki ndani ya chama chetu kupigania haki yake. what's wrong with that?
Natamani iwe hivi wallahkumbe bado hujajua kuwa oktoba membe ndo anawania urais kwa tiket ya CCM
membe ndio raisiMembe anajua hawezi kupata hata kura milion moja mbele ya Jpm
Labda watanzania wa huko kwenuMagu hata asipopiga kampeni ushindi ni 98% Watanzania wanamkubali sana
Naona musiba unajitahidi sana leo na haka ka statement kakoWatanzania wenzangu. Mimi sijaandika barua ya kuomba kujiunga na Chadema au chama kingine chochote lakini nitaendelea kuviheshimu vyama vya upinzani kwa sababu vinafanya kazi nzuri ya kuikosoa Serikali. Kukosoa ni kitendo cha maendeleo mpinduka na kamwe si kitendo cha uadui!- Bernard Membe.
Chanzo: HabariLeo Mtandao
Ukishaona tu Mwanasiasa haeleweki, Mjeuri, ana Kiburi Kingi, Mnafiki ( Ndumilakuwili ) jua ana Matatizo na hafai hata kuwa Rais wenu atawasaliti.
Master plan, condusing them even more..Sijajuwa matamko ya Membe yanamaanisha nini mpaka sasa
kumbe bado hujajua kuwa oktoba membe ndo anawania urais kwa tiket ya CCM
wekeni mpira mezani sasa uko CCMMembe anajua hawezi kupata hata kura milion moja mbele ya Jpm
unatumia akili ya darasa la ngapi mkuu?Magu hata asipopiga kampeni ushindi ni 98% Watanzania wanamkubali sana
Siwalisema anaenda ACT? Wakaungane na maarim seif sharif hamad?kumbe bado hujajua kuwa oktoba membe ndo anawania urais kwa tiket ya CCM