kandamatope
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 589
- 628
Ukitaka kujua kama membe ni boya tu,,
Amefukuzwa ccm AWEZI kupata hata watu 10 wa kumuunga mkono alipo tupo kutoka ccm, kama alivyosubutu lowasaa
Au ZITO, MAALIM SEIF, LIPUMBA,
Leo hii lema akitoka Chadema anatoka yeye na mkewe tu kama membe pale ccm
Leo hii january makamba akitoka ccm anatoka yeye na mkewe tu
PALE Chadema manyika pamoja na ukatibu wake aliopewa akitoka pale Chadema anatoka yeye na mkewe tu.
Ila nakamwambia watu wenye mvuto
Magu akihama ccm anatoka na kijiji
Mbowe akihama Chadema anatoka na kijiji
Maalim seif akitoka tena ACT hata akienda ccm atakwenda na kijiji chake
Bashir Ally pamoja na ukatibu wake pale ccm akihama ccm anatoka yeye na mkewe
Kifupi membe pale ccm hana mvuto wowote wa kuishangaza ccm
Na hata akienda upinzani ndio itakuwa mwisho waje wa kujiuzuru siasa kama sylivester marsha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amefukuzwa ccm AWEZI kupata hata watu 10 wa kumuunga mkono alipo tupo kutoka ccm, kama alivyosubutu lowasaa
Au ZITO, MAALIM SEIF, LIPUMBA,
Leo hii lema akitoka Chadema anatoka yeye na mkewe tu kama membe pale ccm
Leo hii january makamba akitoka ccm anatoka yeye na mkewe tu
PALE Chadema manyika pamoja na ukatibu wake aliopewa akitoka pale Chadema anatoka yeye na mkewe tu.
Ila nakamwambia watu wenye mvuto
Magu akihama ccm anatoka na kijiji
Mbowe akihama Chadema anatoka na kijiji
Maalim seif akitoka tena ACT hata akienda ccm atakwenda na kijiji chake
Bashir Ally pamoja na ukatibu wake pale ccm akihama ccm anatoka yeye na mkewe
Kifupi membe pale ccm hana mvuto wowote wa kuishangaza ccm
Na hata akienda upinzani ndio itakuwa mwisho waje wa kujiuzuru siasa kama sylivester marsha.
Sent using Jamii Forums mobile app