Nimewaza san...ila mwisho niwe mkwel tu,mi nahisi bernad ndiye akiyehusika kwenye sakata lakumwekea sumu magu dodoma kipindi kile
Hilo pia linaweza angaliwa upande wa pili, je wamemuogopa wakimuacha humo ndani au au kufukuzwa kwake kutasaidia kulinda utamaduni uliowekwa maana impact ya kumuacha achallenge awamu ya pili ya JPM kutawaibua hata wenye mvuto zaidi Kama itakavyokua 2025. Binafsi naona kuna sababu 2;Hivi kweli Membe anaamini alikuwa tishio kwa JPM ndani ya CCM?
He can’t be serious.
List ni ndefu.... Binti Makecela, Byarandu, January...... Naona wamebaki Kingwangalla na yule Mkulima tu. At least kwa sasa.Hiyo ndiyo sababu pekee.
Watafute wote waliomsumbua 2015 akigombea, wale front runners wote kawafukuza kwa kashfa.
Prof.Mwandosya, Prof.Muhongo, Mwigulu, January, na sasa Membe. Sijui atafuata nani lakini wote waliokuwa top 10 na top five kagalagaza katupa.
Hahahaha Eti yeye ndiye msafi, wakati kashfa zake hataki ziguswe, Meli kawapa wanajeshi, Nyumba za serikali hataki kusikia.
Ni kweli tumeumia na tumekubali matokeo, hivyo tumeanza na kumshauri mtu wetu atulieBrother Mayala naona mmepata pigo kubwa sana jana lakini kubalini matokeo ndivyo ilivyo, hakuna tamu isiyo na chungu ndani yake.
Do I care ?Anijue ama asinijue?.Nikijijua mimi inatosha.Sawa mama Cyprian bahati nzuri membe hakujui na hawezi kukujua mpka unakufa na uke wako unaliwa mchwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Angecheua akiwa CCM hapo sawa. Ila nje ya CCM ni sawa na Nyoka bila Venom.Kitu CCM mnajivika upofu ni kutojua tu..
Jinsi gani Watanzania wanahitaji mbadala wa hiyo dikteta uchwara..
Yani Membe akicheua tu... Tunalala nae.
Tatizo watu wanajua siasa ni maneno ya jukwaani na mitandaoni ukiwa mwanasiasa mwenye nguvu lazima polosoo uwe nayo ya kutoshaNinaowakumbuka na walioumbuka kwa kuiasi CCM TOKA VYAMA VINGI VIANZE
1. KIGHOMA ALLY MALIMA (rip)
2. AUGUSTINO LYATONGA MREMA
3. EDWARD LOWASA
4. FREDRICK SUMAYE
5. KINGUNGE NGOMBALE MWIRU
Hawa wote walikuwa na nguvu kubwa kiuchumi na kisiasa kuliko Ben Membe waliondoka wakatukana CCM kwa nguvu zote lakini mpaka leo CCM ndiyo inayotawala Tanzania. Binafsi siioni kabisa impact ya huyu waziri wa zamani ni kama tone la maji baharini.
Atagomea kupitia CCM imani,na siyo CCM maslahi waliomfukuza eti kwakuwa tu kasema atagombea urais.Akagombee urais kupitia Chadema, akatimize hiyo ndoto yake. Makamanda tayari wameshajitayarisha kumpigia deki barabara.
Wewe ndio kichwa! Ndio yale ya Chadema na EL huku kampeni meneja ni retired Spy Master! Inabidi uwe kichaa kidogo kusimama na wapinzani wetu! Bora hao CCM watawale hadi tutapokuwa tayari kufanya mabadiliko lakini si kizazi chetu!Sioni tofauti ya Membe kuachia jimbo la Mtama, Emmanuel Nchimbi kuachia jimbo na Regina Lowassa baada ya uchaguzi CDM walipompa ubunge wa viti maalum alipowaambia hiyo nafasi anastahili mtu mwingine sio yeye. Kuna watu washashiba.
Kama ni uraisi huyo Lowassa wakati kama huu 2015 alishaanza na ziara rasmi za kuonyesha nia, alikuwa ni rich backers na wapambe kibao wa wazi kama Nchimbi wenye jukumu ku-mobilise support ya ndani tena hapo nafasi ilikuwa inaenda kuwa wazi maana raisi alikuwa anamaliza muda wake.
Sasa how on earth Membe ambae mpaka sasa udhani kama kuna jitihada zozote za kushawishi humo ndani angeweza msumbua Magu.
Kama ni mkakakati wa mtu mmoja basi ni sawa na upuuzi tu na kama ni mkakati wa wengi wako wapi watu wake na sidhani kama leo angekuwa anatimuliwa pekee.
Kuna watu washashiba Membe mwenyewe baada ya kustaafu anazungukia vogue toleo jipya kufukuzwa CCM ambayo aimlipi pension ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu tu.
The only motive behind this ni kwamba CCM is cooking something I don’t know what.
Kuna vitu vingi sana vitamuandama kama vitisho na kesi mbalimbaliSasa aendelee kuvumilia nn wakt washamfukuz
Twende na Membe2020 kamanda.
😂😂😂 joka la kibisa!Membe nje ya CCM ni sawa na Nyoka bila venom.
Sasa kwani kuna ubaya gani?Tunakwenda na membe....
Kama hakuwa tishio mbona mmemwogopa na bado ametoka mnamwogopaHivi kweli Membe anaamini alikuwa tishio kwa JPM ndani ya CCM?
He can’t be serious.
Sasa kwani kuna ubaya gani?