Membe: Sikushangazwa kufukuzwa. Niliendelea kusimamia nia yangu kugombea Urais 2020. Mwenyekiti na Katibu wameratibu mimi kufukuzwa

Kama bado ana ndoto..... Aanzishe movement ambayo akina Mbowe na Zitto imewashinda.
 
Hivi kweli Membe anaamini alikuwa tishio kwa JPM ndani ya CCM?

He can’t be serious.
Hilo pia linaweza angaliwa upande wa pili, je wamemuogopa wakimuacha humo ndani au au kufukuzwa kwake kutasaidia kulinda utamaduni uliowekwa maana impact ya kumuacha achallenge awamu ya pili ya JPM kutawaibua hata wenye mvuto zaidi Kama itakavyokua 2025. Binafsi naona kuna sababu 2;

° kumlinda mteule
° Kulinda utamaduni wa chama.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
List ni ndefu.... Binti Makecela, Byarandu, January...... Naona wamebaki Kingwangalla na yule Mkulima tu. At least kwa sasa.
 
Kitu CCM mnajivika upofu ni kutojua tu..
Jinsi gani Watanzania wanahitaji mbadala wa hiyo dikteta uchwara..

Yani Membe akicheua tu... Tunalala nae.
Angecheua akiwa CCM hapo sawa. Ila nje ya CCM ni sawa na Nyoka bila Venom.
 
Tatizo watu wanajua siasa ni maneno ya jukwaani na mitandaoni ukiwa mwanasiasa mwenye nguvu lazima polosoo uwe nayo ya kutosha
Mfano lowasa polosoo ndo ilimfikisha hapo alipo na kuwa alikua ndani ya sistim kwenye chama na serikalini ilimfanya wengi wamfuate.Na Membe kama polosoo ya kutafunwa ipo sawa utapata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akagombee urais kupitia Chadema, akatimize hiyo ndoto yake. Makamanda tayari wameshajitayarisha kumpigia deki barabara.
Atagomea kupitia CCM imani,na siyo CCM maslahi waliomfukuza eti kwakuwa tu kasema atagombea urais.
 
Wewe ndio kichwa! Ndio yale ya Chadema na EL huku kampeni meneja ni retired Spy Master! Inabidi uwe kichaa kidogo kusimama na wapinzani wetu! Bora hao CCM watawale hadi tutapokuwa tayari kufanya mabadiliko lakini si kizazi chetu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kwani kuna ubaya gani?

Wanaosema kuna ubaya si nyie?

Membe na hata hao wengine wote mnaowadhalilisha, hata marais wastaafu, wakiwamo hata kina Sumaye, Lowassa, wote wanaojitambua na watakaojitambua wakati wowote wanakaribishwa katika jitihada za kuwaadabisha.

Makelele mnayopiga si kwa sababu ya buku 7.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…