olinkobole j
Senior Member
- Aug 24, 2019
- 121
- 65
Watz bana,"wanaaminishwa eti nguli wa UKACHERO mstaafu anaweza kwenda nje ya mstari" na wanaamini, Tz ina vihoja.
Ujinga wa mtu mweusi unawaza ubinafsi tu. Issue sio kuinjoy bali kuwa mwenye tija kwa taifa.Watu wabaya sana, wamemponza mzee wa watu.
Angekuwa anaenjoi pensheni yake bila presha, sasa ana kazi kubwa ya kurejesha heshima yake. Watu waone hivi hivi tu.
So ndio wamkatae kwa process za kichama.Ni kichaa anayeweza kulazimisha kugombea wakati CCM ndiyo inayokupitisha! CCM ikikataa atagombeaje?
Ni kichaa anayeweza kulazimisha kugombea wakati CCM ndiyo inayokupitisha! CCM ikikataa atagombeaje?
Ndio maana mnawatimua wanachama hovyo.utamaduni ndio mdudu gani? Kama suala ni utamaduni msiitishe mkutano wa kuteua mgombea wa uraisi.Kwani miaka yote utamaduni wa CCM umekuwa ni upi?
Ni kichaa anayeweza kulazimisha kugombea wakati CCM ndiyo inayokupitisha! CCM ikikataa atagombeaje?
Yeye na washabiki wake wamejiaminisha kuwa eti anaogopwa.
Anaogopwa kwa lipi hasa?
Kujipa tu umuhimu ambao hana.
'...Unaweza ukamtikisa Waziri Mkuu na bado Nchi ikabaki salama ,... huwezi kumtikisa Rais ukasema Nchi itabaki salama ..'JK Nyerere kwny Kitabu chake cha Uongozi na Hatma ya Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja tuwaulize wafuasi wake wa instagram!
Zitto alikuwa anatumika kuisambaratisha Chadema na ndiyo maana lile kundi lake lote na wenyewe wamemsaliti wapo CCM.
Yani Zitto aliwekwa mtu kati akiamini ana wafuasi kumbe na wenyewe ni mamluki part B. Huyu Membe anataka kuokoa hali ya nchi na wapo watu serious nyuma yake.
Sasa mbona wamemkata?
CCM wamejenga taswira kama wanamuogopa kwa kumkata uanachama, hata kama hawamuogopi.
Akisema kwamba nimefukuzwa uanachama kwa sababu hawataki nim challenge Magufuli, that is a plausible narrative.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uamuzi wa kumtosa membe ni wa kupima upepo!muda sio mrefu watamrejesha chamani!!