Membe: Sikushangazwa kufukuzwa. Niliendelea kusimamia nia yangu kugombea Urais 2020. Mwenyekiti na Katibu wameratibu mimi kufukuzwa

Yeye na washabiki wake wamejiaminisha kuwa eti anaogopwa.

Anaogopwa kwa lipi hasa?

Kujipa tu umuhimu ambao hana.
Anaogopwa kwa sababu Mwenyekit wako tangu aingie madarakani hajwahi kumsema hadhrani kama hao wengine km lugola,nape nk.hajwahi hata kumrushia vjembe kwenye hotuba zke zote toka awe rais mpka leo lakini hapo hapo huwa anamponda kikwete laivu sa unasemaje kuwa haogopwi??PATHETIC
 
Aende wapi wakati katika chama alipo anaruhusiwa kufanya hivyo.

Ama unataka aende TLS ana cwt? CCM ni chama chake na huko anahaki sawa na wanachama wengine akiwemo mwenyekiti.

Kama kukatwa trtb zitafanyika atakatwa,asipokubali ndiyo anaweza enda kwingine.

Lakini kumfukuza kisa tu anataka kuitekeleza haki yake ya kuomba uongozi hatendewi haki.

Lets put a fair ground to all members. Sie wapigaji kura tutaamua.
Halafu kama ana hamu sana ya kugombea urais si aende tu huko kwingine akagombee.

Huko jina lake hawatolikata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa anaonekana anamsimamo mkali kuliko sisihemu yote maana yeye hapindishi kama wazee wetu waliyoomba msamaha na wengine kupewa adhabu,kama katiba ya chama inaruhusu kwa nini utamaduni\desturi iwe na nguvu hivyo kiasi cha kufukuzana kabisa.......haya mambo ya kutofuata katiba ndiyo yanakuja kusumbua mpaka sirikalini.

~KAZI NA KUKU 🐒🐊
 
Bernad Membe atawalaza wenye CCM yao kwa "VALIUM" usiku huu, bila hivo hawatalala leo.

CCM imekua kampuni binafsi sasa hivi, sio chama tena, bado kusajiliwa tu katika "DAR ES SALAAM STOCK EXCHANGE MARKET (Kama TCC, Tanzanian Breweries, Vodacom, CRDB), ili kila anaetaka kununua hisa afanye miamala yake. Halafu mwisho wa mwaka kila mwenye hisa apokee gawio la faida kwa Cheque.
 
Mzee wa kazi na bata. Uliwahi kusema "Niguse Ninuke"
Mkuu ndo umeshaanza kunukia kwa M/M/Kiti au bado kuna harufu nyingine zaidi tusubirie?
 
Mwenyekiti wao nafasi haimtoshi, pamojana mbeleko nyingine zimechanika lkn hovyo utadhani ni bashite maamzi yatokayo kwake. Mpaka kwasasa kampiya haya Amini dada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa itakuwaje? Atagombea kupitia chama kipi? ccm B inazaliwa karibuni kuna mtu atajikuta amebaki na bashite hapa gondwe kigwangalla jokate ummy na mazagazaga
Naomba nikutoe shaka,,,,CCM ni imara kuliko unavyofikiria.
 
Ccm hatari sijui polepole walimtoa wapi, hayuko kwenye kundi la vijana wala wazee. Kuna kipindi anaonekana kazee. Hapohapo kama mculana, yaani namuona wa ainayake. Sasa hicho cheo walichompa, ndo ccm kwisheni, kinachosaidia ni kuwa na dola vinginevyo kingekuwa kama chama cha vikoba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha kujiuliza... kama CCM WANA UWEZO WA KUKATA JINA KAMA WALIVYOKATA LA LOWASA, NINI KINAWAPA HOFU?
Lazima uelewa mbinu za kumkabili Adui ni kuwa karibu naye Lowasa ilibidi waende naye hadi dkk za mwisho ndio wamkate.

Wangefanya mapema, mkia ungekua umeota, kwa "kachero mbobezi" dawa yake ilikuwa Maisha ya samaki ni kwenye maji nje ya maji hana maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…