Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 17,251
- 22,929
Hivi Membe anachohangaikia ni nini hasa,si achane na siasa aendelee na shuhuli zake.Hamuoni Pinda alivyotulia? It's safer and comfortable that way na ataheshimika zaidi kwenye jamii kuliko kuendeleza malumbano na Serikali na Chama, ambayo hayatakuwa na matokeo mazuri kwake binafsi na familia yake.
Membe ni lazima sasa atambue kwamba kwa jinsi alivyokivuruga Chama na Serikali, hawezi tena kuwa sehemu ya siasa za Tanzania. He has simply messed himself so much.
By the way,did Membe really believe CCM would allow him to run in the next presidential elections under the present circumstances?Very naive indeed.
Membe ni lazima sasa atambue kwamba kwa jinsi alivyokivuruga Chama na Serikali, hawezi tena kuwa sehemu ya siasa za Tanzania. He has simply messed himself so much.
By the way,did Membe really believe CCM would allow him to run in the next presidential elections under the present circumstances?Very naive indeed.