stella1975
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 870
- 1,249
Ukwaju, Mnajitekenya mnacheka wenyewe, achana na habari ya kutisha tisha watu Kwa kigezo cha kuwa na bundukk, mtaondoka mtaziacha hizo bunduki, huwezi kutawala Kwa amani Kama unatawala Kwa kutumia bunduki, angalia msiba yuko wapi?
Ameishaaga ameenda kulaala ni baada ya kugusa wababe wenzao, mtaishi Kwa hofu hadi lini? Huwezi jua kesho itakuchaje, unaweza kujikuta hali inabadilika mnaahangaika huku na kule hata huyo magufuli anajua kuwa alipata urais Kwa Bahati? Nani alijua kuwa magufuli atakuwa rais?
Hata membe laweza kutokea akawa rais chunga midomo yenu, msifikiri kuwa bunduki inaweza kila kitu, mnaweza kujiona kuwa mnawaweza wa Tz akatokea gafla mbabe zaid yenu mkapigwa mweleka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameishaaga ameenda kulaala ni baada ya kugusa wababe wenzao, mtaishi Kwa hofu hadi lini? Huwezi jua kesho itakuchaje, unaweza kujikuta hali inabadilika mnaahangaika huku na kule hata huyo magufuli anajua kuwa alipata urais Kwa Bahati? Nani alijua kuwa magufuli atakuwa rais?
Hata membe laweza kutokea akawa rais chunga midomo yenu, msifikiri kuwa bunduki inaweza kila kitu, mnaweza kujiona kuwa mnawaweza wa Tz akatokea gafla mbabe zaid yenu mkapigwa mweleka
Sent using Jamii Forums mobile app