Kama Lowasa hakuweza kukalia kiti cha mpingo pale Ikulu, Membe hawezi kamweMungu alishaamua kuwa nchi hii ataiongoza Bernard Membe. Mtaweweseka lakini hamtaweza kubadili chochote. Membe is there na atawanyoosha atakaposhika hatamu.
Hata ukiwa maliwato unaiwaza CDM!Akagombee urais kupitia Chadema, akatimize hiyo ndoto yake. Makamanda tayari wameshajitayarisha kumpigia deki barabara.
Suala ninaloongelea si kutosha au kutotosha.
Suala ninaloongelea ni mtu kupata haki yake ya msingi ya kikatiba.
Kuna mahojiano fulani Nyerere alifanya mwaka 1959 na Mama Eleanor Roosevelt New York, akaulizwa, hivi nyie Watanzania mnadai uhuru, mko tayari kujiongoza wenyewe mkipewa uhuru?
Nyerere akajibu, akalishangaa lile swali.
Akasema sisi tulikuwa tunajitawala kabla wazungu hamjaja, tutashindwaje kujitawala?
Na hata tukishindwa, tuachieni tushindwe wenyewe.
Umenikuta mtu nina jacket langu mwenyewe, umelichukua, nalidai, unaniambia hili jacket halikutoshi, kama linanitosha au halinitoshi hiyo si hoja.
Hoja ni kwamba hili ni jacket langu, niachie mwenyewe.
Kama watu wataweza kushinda au hawawezi hiyo si hoja.Hoja ni kwamba watu wana haki ya kikatiba ya kuwa na ugombea binafsi, na wananyimwa haki hiyo ya kikatiba.
Kipindi kilirekodiwa na kipo Youtube
Media zinampa huyu mtu airtime asiyostahili.
Membe tuliza akili kwanza,Mungu yu pamoja nawe.Usikurupuke kufanya maamuzi ukaja kuaibika kama kina Nywele nyeupe na MR ZERO!Wewe ni mkomavu,na jasiri.Naamini utapata muda wa kutueleza bayana mengi maovu yaliyoko ndani ya hiyi migwanda ya kijani na njano.Lengo lao wakudhoofishe Kisiasa.Naamini kama siyo JESHI LA POLISI KUTUMIWA KAMA JUMUIYA YA CCM, ww ukichuana na MJOMBA kupitia chama chochote kile,unamgaragaza kwa aibu asubuhi sana.Sheria kandamizi zinazowekwa na kupitishwa na Wabunge wengi wa CCM ndo zinazidi kutuchelewesha kutoka kwenye ukandamizwaji mkubwa tunaopitia.KAZA BUTI,SONGA MBELE, IPO SIKU HAKI ITASHINDA DHULUMA
Sent using Jamii Forums mobile app
Membe kamwe hawezi kuwa Rais wa nchi hii,mchezo walomfanyia Lowassa na yeye kafanyiwa. Yeye kakatwa jina kwa kufukuzwa kwenye chama. Magufuli ndo CCM kwa sasa.
Matako ya jiwe yalikua yanalia mbataHiyo inajulikana iko wazi hivyo, ila kwa wale mashabiki nyumbu wa Lumumba hawawezi elewa hilo
Hivi kweli Membe anaamini alikuwa tishio kwa JPM ndani ya CCM?
He can’t be serious.
U know nothing bro. Hao uliowataja ukijua visa vyao hata wewe ungekuwa Meko ungewatumbua vizuri tu... Huyo Mwandosys alikuwa akipita mitaani yeye ni kupond tu Rais hajamaliza hata miezi 6 ameanza kumchafua mitaaniHiyo ndiyo sababu pekee.
Watafute wote waliomsumbua 2015 akigombea, wale front runners wote kawafukuza kwa kashfa.
Prof.Mwandosya, Prof.Muhongo, Mwigulu, January, na sasa Membe. Sijui atafuata nani lakini wote waliokuwa top 10 na top five kagalagaza katupa.
Hahahaha Eti yeye ndiye msafi, wakati kashfa zake hataki ziguswe, Meli kawapa wanajeshi, Nyumba za serikali hataki kusikia.
NDOTO YA KULA PANYA!!! SALIM NA MALECHELA WAPO WAPI! ATAKUJA KUUZA TRENI NA NDEGE ZETU HATUFAIMwamba wa pande za Kusi, mwanadiplomasia nguli Bernard Membe ameunguruma baada ya kutoswa na CC ya CCM.
Ngoma bado mbichi kabisa hii.
Kwa undani zaidi, jipatie nakala yako ya "The Citizen" hapo kesho Jumamosi 29 February.
View attachment 1372047,
Hii kitu ni mhimu mno...! vyama ni upuuzi na utumwa kwakweli.Hapa ndipo utajua kwa nini CCM hawataki mgombea binafsi.
AKILI ZA OVYO KATIKA TAIFA LA STANZA.Mkia hauna ubavu wa kumtikisa Ng'ombe
Hata Nyerere analijua hilo, Azimio la Arusha tulianza kufungia vitumbua Nyerere akiwa hai na hakuna alichofanya zaid ya Makelele tu!
Kidumu chama cha Mapinduzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Media zinampa huyu mtu airtime asiyostahili.
Adabu ipi mtu kutoa maoni yake Tena ni kosa
Kama hili litawezekana itakuwa vizuri sana.CCM wamejizika wenyewe. Membe ni bingwa wa mikakati. Ipo siku atakuwa rais. Jiwe jiandae kudhalilishwa au kuwekwa kizuizini.