Hiyo ndiyo sababu pekee.
Watafute wote waliomsumbua 2015 akigombea, wale front runners wote kawafukuza kwa kashfa.
Prof.Mwandosya, Prof.Muhongo, Mwigulu, January, na sasa Membe. Sijui atafuata nani lakini wote waliokuwa top 10 na top five kagalagaza katupa.
Hahahaha Eti yeye ndiye msafi, wakati kashfa zake hataki ziguswe, Meli kawapa wanajeshi, Nyumba za serikali hataki kusikia.
Watafute wote waliomsumbua 2015 akigombea, wale front runners wote kawafukuza kwa kashfa.
Prof.Mwandosya, Prof.Muhongo, Mwigulu, January, na sasa Membe. Sijui atafuata nani lakini wote waliokuwa top 10 na top five kagalagaza katupa.
Hahahaha Eti yeye ndiye msafi, wakati kashfa zake hataki ziguswe, Meli kawapa wanajeshi, Nyumba za serikali hataki kusikia.