Hivi kweli Membe anaamini alikuwa tishio kwa JPM ndani ya CCM?
He can’t be serious.
hawana undugu na kikwete mkuu acha kudanganya.Atajijua. Akagombee kupitia ACT.Kina Zitto watampokea kwa mikono miwili. Kama alishindwa kuwa Rais 2015 kipindi kaka yake anaachia ngazi,basi kamwe hawezi kuwa Rais wa nchi hii Tanzania.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wana mafaili yake. Aangalie asije akashtukia ana kesi ya money takatisha. Uchunguzi wa kesi utaendelea mpaka November.
Sheria ya msukuma iliyotokana na kutokujiaminiMpaka sasa hana sifa kugombea urais 2020 kwa sababu sheria mpya za uchaguzi zinataka uwe mwanachama angalau miaka miwili kupitia chama unachotaka kiwakilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Malipo hapa hapa dunianiMembe kamwe hawezi kuwa Rais wa nchi hii,mchezo walomfanyia Lowassa na yeye kafanyiwa. Yeye kakatwa jina kwa kufukuzwa kwenye chama. Magufuli ndo CCM kwa sasa.
vitabu vilivyoandikwa na wapuuzi.From Lloyd George to Brexit: 10 of the best books on British politics | Books ...
View attachment 1372104
9 Okt 2017 · Writing about politics is far too important to be left to politicians - the 100 best political books
Chazo Gazeti la Mwananchi, Februari 29, 2020.
View attachment 1372062
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanamdanganyan ! Alifikiri Tanzania inatawaliwa kiukoo ? Hana impact yoyote huyo kwa CCMSoon watamsahau.
Mpaka sasa hana sifa kugombea urais 2020 kwa sababu sheria mpya za uchaguzi zinataka uwe mwanachama angalau miaka miwili kupitia chama unachotaka kiwakilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sasa patamu. Hata angekuwa na sifa , nani ampe urais huyoMpaka sasa hana sifa kugombea urais 2020 kwa sababu sheria mpya za uchaguzi zinataka uwe mwanachama angalau miaka miwili kupitia chama unachotaka kiwakilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mkuu una mifano mibaya!!!!Subra ipi ?Kila kitu kipo wazi. CCM ni maji,Membe ni Samaki. Ulishaona Samaki ana uhai nje ya maji ?
Kwan amefukuzwa kama sio tishio
Ninyi si mlisema kwamba huyo ni kachelo mbobezi hawezi kufukuzwa, haya kafukuzwa sasa. Chukueni kapi hiloHiyo ndiyo sababu pekee.
Watafute wote waliomsumbua 2015 akigombea, wale front runners wote kawafukuza kwa kashfa.
Prof.Mwandosya, Prof.Muhongo, Mwigulu, January, na sasa Membe. Sijui atafuata nani lakini wote waliokuwa top 10 na top five kagalagaza katupa.
Hahahaha Eti yeye ndiye msafi, wakati kashfa zake hataki ziguswe, Meli kawapa wanajeshi, Nyumba za serikali hataki kusikia.
Kuna mtu anaandaa mazingira ya kuwekwa kizuizini atakapoachishwa madaraka. Tusubiri tutashuhudia kwa macho yetu ya nyama