Membe: Sikushangazwa kufukuzwa. Niliendelea kusimamia nia yangu kugombea Urais 2020. Mwenyekiti na Katibu wameratibu mimi kufukuzwa

Anabebwa na vijana wasiojua kitu mitandaoni. Na yeye akiona ana trend anafikiri "anapendwa". Wakati mwingine mtu unajiuliza kama kweli alikuwa " kachero".
 
Mkia hauna ubavu wa kumtikisa Ng'ombe


Hata Nyerere analijua hilo, Azimio la Arusha tulianza kufungia vitumbua Nyerere akiwa hai na hakuna alichofanya zaid ya Makelele tu!

Kidumu chama cha Mapinduzi
Sent using Jamii Forums mobile app
MKIA HAUNA UBAVU WA KUMTIKISHA NGOMBE.

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].

Imebidi nirudie hii sentensi tena kwa herufi kubwa huku nasisitiza tena kusema USIGOMBANE NA BABA YAKO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vile vile usisahau kuwa kila hatua anayopiga inafuatiliwa mwanzo mwisbo hivyo hata akijamba tutajua
 
Maybe........ila atakwama maana hana mvuto sana kisiasa labda kwenye social media......2015 EL hata alivyoenda cdm mtaani alikuwa na watu wanaomkubali....ila huyu naona threads tu hapa JF na twitter.....ngoja tuone nn mwisho wake
Hana mvuto kwako kwani kabla ya kugombea urais JK ulimfahamu?

sawa hana mvuto kwanini aogopwe na watawala?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
U know nothing bro. Hao uliowataja ukijua visa vyao hata wewe ungekuwa Meko ungewatumbua vizuri tu... Huyo Mwandosys alikuwa akipita mitaani yeye ni kupond tu Rais hajamaliza hata miezi 6 ameanza kumchafua mitaani
Kwanini asisemwe? Yani ukisema unafutuka?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…