Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Dah! Umenikumbusha Gaddafi. Jamaa alikuwa mtu mwema sana, Ila aliowaamini walimzunguka!Watu wana mafaili yake. Aangalie asije akashtukia ana kesi ya money takatisha. Uchunguzi wa kesi utaendelea mpaka November.