Membe waonee huruma Hawa wake wawili wa Musiba kama umewakatalia viongozi wa dini

Mchuma janga hula na wakwao
 
Mmmh kibinadamu Bora mh Membe angesamehe tu, mbona Duniani tunapita?
Membe alimpa nafasi kwamba aende kwenye magazeti yake akamsafishe lakini Musiba alikataa,na kusema siwezi kumuomba msamaha mtu yeyote.Sasa unafikiri Membe atafanyaje hapo?.
 
Binafsi humjui membe Sasa tumjue Musiba ili iweje?
 
Membe alimpa nafasi kwamba aende kwenye magazeti yake akamsafishe lakini Musiba alikataa,na kusema siwezi kumuomba msamaha mtu yeyote.Sasa unafikiri Membe atafanyaje hapo?.
Ngoja apambane na hali yake. Kiburi kimemponza. Alifikiri ni mzaha. Sasa Mzaha wake umegeuka kuwa usaha.
 
Mmmh kibinadamu Bora mh Membe angesamehe tu, mbona Duniani tunapita?
Hakuna kumwachia Mungu maana alitukana sana watu na wengi wanaosema.membe amsamehe hawakumshauri aache kumtusi kipindi kile anasema hakuna wa kumfanya chochote hata mahakama.
 
Sasa anachofanya membe ni njia ya kumtoa huo ushamba kwakweli membe anampa msaada
 
Na mataahira ,washamba na masukuma gang wenzake jamii forum humu akina johnthebaptist ,Mayala na wapuuz waliokuwa wanarusha thread za matusi na kashfa kwa waliokuwa wanampinga rais wa mawe ,makufuli .

Nyoosha mbwa hao baba Membe
 
Huyu huyu Musiba fala huyu ndio aliyemfungulia Maxence melo Mmiliki wa jamii forum kesi ya njama za mauaji , pumbavu sana ,yaani hawa makahaba wa mwendakuzimu ilibidi wanyooshwe mpaka wanye.
Imagine Maxence Melo apange njama ya kumuua Musiba ,how Stupid and ridiculous that was

Huyu Musiba alikuwa ni msemaji wa genge la wasiojulikana ,taahira huyu . Hata matackle makubwa bashite sijui kwanini hawam shughulikii ,yule zwazwa Sabaya naye sijui kwanini walimuachia ,mbwa kama hao sio wa kuwaonea huruma ni kudeal nao kigaidi tu ,sio watu wale
 
Mbona uyo Musiba wenu hamkumshauri haya kipindi anatukana watu?
Angeanza yeye (Musiba) kua na huruma kwa Membe na Fatma Karume naye angeonewa huruma sasa. Otherwise acha alipe kwa Matusi yake kwani MWANA KULITAFUTA ni MWANA KULIPATA
I bet wew ni Musiba umekuja na Akaunti hii ili utie huruma
 
Huyu hapana aysee ..kwanza kwa kauli zake tu ukimsikia ni kama amehusika kweny mission nyingi za mauaji na mbaya zaid hakujua hata kutumia lugha ya codes...kafunguka sanaa kuhusu hao victims kama Kila Lisu na Ben sa 8
 
Kuna watu hawatanii wakishaamua hawarudi nyuma kimasikhara mali zinapigwa mnada
Binafsi namuona membe yuko sahihi kwa uamuzi wake,hata Mimi nikishaamua jambo huwa sirudi nyuma,swala la kujiuliza hapa ni kuwa hawa washauri wanaomtaka membe asamehe walikuwa wapi kumkanya msiba kipindi anarusha mawe kwa membe!? Why membe alazimishwe kusamehe!?wamwache membe afanye alichoamua ,nature itamua na itahukumu
 

Wake zake tutawalea.

Tukusaidie lingine lipi Mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…