fullcup
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 809
- 2,204
Huyu ni moja ya member tuliyekuwa naye humu kwa muda mrefu. Ni moja ya watu walionifanya niijue JF miaka ya 2013 huko ingawa yeye alichelewa kidogo kujiunga. Na kwa Mara ya mwisho kuonekana humu ni 28/11/2020
Anaitwa Deogratius Paul (30) mkazi wa Madibira Mbarali Mbeya, amefariki usiku wa kuamkia tarehe 08/12/2020 katika Hospitali ya Irembula kwa matatizo ya tumbo.
Kwa miaka mingi alikuwa anasumbuliwa na miguu kufa ganzi kitu kilichofanya ashinde home tu akichat kwenye mitandao ya kijamii. Baadae alipona miguu na ingawa hakuwa full recovered.
Tar 3/12/2020 alipelekwa Sanitarium moja baada ya kuona mwili unakosa nguvu, huko aliambiwa ana kisukari akapewa dawa lakini hali ikawa mbaya akakimbizwa Ilembula. Baada ya vipimo ikabainika utumbo umejifunga na anatakiwa kufanyiwa upasuaji wa haraka.
Wakati wanaanza mchakato yakatokea ya kutokea. Alifariki usiku wa saa saba na nusu usiku wa tar 8/22/2020
Amezikwa Leo Tarehe 09/12/2020 katika makaburi ya kanisa Catholic Mahango - Madibira.
R. I. P deo paul555
Baadhi ya michango ya wadau
www.jamiiforums.com
Anaitwa Deogratius Paul (30) mkazi wa Madibira Mbarali Mbeya, amefariki usiku wa kuamkia tarehe 08/12/2020 katika Hospitali ya Irembula kwa matatizo ya tumbo.
Kwa miaka mingi alikuwa anasumbuliwa na miguu kufa ganzi kitu kilichofanya ashinde home tu akichat kwenye mitandao ya kijamii. Baadae alipona miguu na ingawa hakuwa full recovered.
Tar 3/12/2020 alipelekwa Sanitarium moja baada ya kuona mwili unakosa nguvu, huko aliambiwa ana kisukari akapewa dawa lakini hali ikawa mbaya akakimbizwa Ilembula. Baada ya vipimo ikabainika utumbo umejifunga na anatakiwa kufanyiwa upasuaji wa haraka.
Wakati wanaanza mchakato yakatokea ya kutokea. Alifariki usiku wa saa saba na nusu usiku wa tar 8/22/2020
Amezikwa Leo Tarehe 09/12/2020 katika makaburi ya kanisa Catholic Mahango - Madibira.
R. I. P deo paul555
Baadhi ya michango ya wadau
TANZIA - Member deo paul55 wa JamiiForums afariki dunia
Yaani taarifa ya msiba itolewe kwa Jina fake sasa itakua na maana gani?Watu waende kuzika ID fake? Hii imekaaje lakini kusema everything kuhusu mtu? Isingetosha tu kusema jina lake tu la mtandaoni na kumalizia hapo? Kama mtu alikuwa anaandika mavitu yake ambayo hakuwahi kupenda au kutaka watu...