TANZIA Member deo paul55 wa JamiiForums afariki dunia

TANZIA Member deo paul55 wa JamiiForums afariki dunia

Kifo ni ukumbusho kuwa Dunia ni mapito,

Jiheshimu,

Waheshimu wenzako kisha

Mpende Mungu,

Achana na stress zisizokua na maana kisha enjoy ur life,

Inna lilahi waina ilaihi rajioon,

Sisi ni wa Mungu na kwake tutarejea.

Peace and Love.
 
Rest in peace.
Sura yake inafanana na yangu nikiwa na miaka 32.
 
Ameumaliza mwendo, anasubiri marejeo ya Kristo mara ya pili kwa ajili ya ufufuo aidha ufufuo wa kwanza au ule wa pili. Heri ni kwa wale watakaofufuliwa ufufuo wa kwanza

Pole kwa familia yake
 

RIP Bw. Mdogo

Baada ya kupitia nyuzi za huyu dogo nimejifunza alikuwa mstaaarabu sana sana kulingana na alivyojibu waliomuudhi.

Pia hilo tatizo la Viungo kufa ganzi aliliuliza kule Jukwaa la Afya na alipata majibu yenye heri.

Kikubwa huyu Dogo alikuwa Mtaaalam au Mdau wa Sekta ya Habari na Mawasiliano maaana asilimia 95 ya michango yake ni kuhusu Media tu na Michezo kidoooogo. Hakuwa na Blaaa blaaaaa za Kisiasa wala MMU.

So sad jamani kupoteza Member mwenzetu, Mlioko Mbalali mjikusanye mfike kutuwakilisha.
 
Back
Top Bottom