Member gani JF amekuwa chawa kupitiliza, kwa mtu au kitu 2023?

Member gani JF amekuwa chawa kupitiliza, kwa mtu au kitu 2023?

Kuna huyu Donatila ni mlokole lia lia,yeye ana amini kila kitu ni mapepo tu,siku akipigwa ban hapa JF ataamini ni mapepo tu hayo,siku akihisi njaa ataamini ni mapepo,kila kitu yeye anaamini kua kinasababishwa na mapepo.
Huwa namu ona, ita kuwa hata Aki lipwa hela ana hisi ni mapepo😃
 
Back
Top Bottom