Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #21
Huwa namu ona, ita kuwa hata Aki lipwa hela ana hisi ni mapepoπKuna huyu Donatila ni mlokole lia lia,yeye ana amini kila kitu ni mapepo tu,siku akipigwa ban hapa JF ataamini ni mapepo tu hayo,siku akihisi njaa ataamini ni mapepo,kila kitu yeye anaamini kua kinasababishwa na mapepo.
Lucas mwashambwa mpaka Sasa ana ongoza kwa uchawaπ€1. Lukasi
2. MK 254 na Israel
3. Muhasibu na Simba
Ngoja siku niwape namba bodaboda, niwa ambie huyo ni mteja so wawe Wana mwamsha saa 9 usikuπUyo luka akisifia weee mwisho wa bandiko anaweka na namba za simu wakubwa wampigie kumpongeza anavyo kitetea chama
Pumbavu kabisa π
I mean no malice to nobodySawasawaππ
Good idea ππππNgoja siku niwape namba bodaboda, niwa ambie huyo ni mteja so wawe Wana mwamsha saa 9 usikuπ
Ila mimi ndio nimezidi sema ukweli tuu π€£πHuwa nawaonaππ, kila mmoja ana Jitahidi kumsifia mwenzie.
πMore love less ego, upendo ni muhimu π€
Dah Kuna siku kaandika Uzi wa kusifia saa 8;usiku, Kisha saa 2 Asubui aka andika TenaπLucas mwashambwa anatisha
Sawa1. Lukasi
2. MK 254 na Israel
3. Muhasibu na Simba
Kwenye jukwaa la usiku wa mananeππ, sema hongereni.Ila mimi ndio nimezidi sema ukweli tuu π€£π
Merry Christmas kiongoziSawa
Ata jutaπππ, nawapa namba bodaboda zaidi ya 100.Good idea ππππ
Wana u chawa haiππLucas(ccm) na faiza(udini)