Member mwenzetu Mpwayungu Village ni He au She au....?

Member mwenzetu Mpwayungu Village ni He au She au....?

Kama ile thread ya jana ta kusifia uvaaji wa kiume ilinipa ukakasi .......inawezekana ni ke au ni me aliyeleft
Screenshots_2023-09-09-11-52-27.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpwayungu Village uko wapi uje ujibu hizi Tuhuma ambazo nasikitika kwanini GENTAMYCINE sikuzijua Kitambo hicho.
Achana nao, ngozi nyeusi zimejawa laana Kwa sababu niwasengenyaji, wachawi, wafitinishaji... Mimi ni mwanaume kamili mwenye mborow mshindo. Kama Kuna sehemu nilisema mimi ni mwanamke walete hapa ushahidi
 
Kwanini GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" anatumika mno kama Lifti ya kufanya Thteads za Watu wengi hapa JamiiForums zichangamkiwe na Members na Wao angalau waweze kuwa Maarufu kama Yeye?

Asante Mwenyezi Mungu kwa Zawadi.
Una nafasi yako pale simba ngoja uchaguzi ujao ufike.
 
Leo navunja utamaduni wangu wa kutojaadili jinsia ya mtu majukwaani.

Nimesoma nyuzi kadhaa za ndugu yetu Mpwayungu Village ambaye hana parody kama walivyomclone GENTAMYCIME GENTAMYCINE bila ridhaa yake. Ingawa kwa nabii Genta kuna kautofauti kwenye sarufi


Turudi kwenye mada. Ndugu Mpwayungu ameweka mabandiko mengi sana kuelezea nafasi ya waalimu kwenye jamii na hakika alielemea upande hasi zaidi kwa mujibu wa waalimu wa humu. Malalamiko yalikuwa mengi sana sana. Wapo walioomba afungiwe na wengine waliendelwlea kulaani kila andiko alilolenga kuwakosoa vikali waalimu.

Wiki za hivi karibuni ameanza kuonesha mwelekeo legevu kabisa.... lakini naona kwamba tujue kama ndugu yetu ni jinsia Ke ikiyojificha kwenye posts zinazoashiria ni mwanaume, au ni zile laana za waalimu zimeanza kumshughulikia kabla ya mhula?
shemale
 
Back
Top Bottom