Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ile thread ya jana ta kusifia uvaaji wa kiume ilinipa ukakasi .......inawezekana ni ke au ni me aliyeleft
Achana nao, ngozi nyeusi zimejawa laana Kwa sababu niwasengenyaji, wachawi, wafitinishaji... Mimi ni mwanaume kamili mwenye mborow mshindo. Kama Kuna sehemu nilisema mimi ni mwanamke walete hapa ushahidiMpwayungu Village uko wapi uje ujibu hizi Tuhuma ambazo nasikitika kwanini GENTAMYCINE sikuzijua Kitambo hicho.
Una nafasi yako pale simba ngoja uchaguzi ujao ufike.Kwanini GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" anatumika mno kama Lifti ya kufanya Thteads za Watu wengi hapa JamiiForums zichangamkiwe na Members na Wao angalau waweze kuwa Maarufu kama Yeye?
Asante Mwenyezi Mungu kwa Zawadi.
Intersex?Hivi wale wenye ke na me wanaitwaje,
Siongei na mapungasese, yani sioni shida yoyote Ile kwenye thread nilizotoa.. Kusema wanaume tuwe wasafi Kuna shida??, kusema wanaume tutahiliwe Kuna shida??,
Samahani kiongozi.....hilo ulilojibu ndo jibu lenyewe au na wewe umeongezea swaliIntersex?
[emoji23][emoji23]Usikute na hii ni ID yake...!
Jf bhana muda mwengine Bangi inamvuta mvuta Bangi na muda mwengine mvuta Bangi anaivuta Bangi!,Bangi nibangue!.
Labda sababu ulivaa uhusika wa Ke...Siongei na mapungasese, yani sioni shida yoyote Ile kwenye thread nilizotoa.. Kusema wanaume tuwe wasafi Kuna shida??, kusema wanaume tutahiliwe Kuna shida??,
Samahani kiongozi... 'jibi' ndio nini?Samahani kiongozi.....hilo ulilojibu ndo jibi lenyewe au na wewe umeongezea swali
Sorry nimejibu tu kama mdau alivyoulizaSamahani kiongozi.....hilo ulilojibu ndo jibi lenyewe au na wewe umeongezea swali
ShemeleHivi wale wenye ke na me wanaitwaje,
? Ni alama ya kuuliza,Sorry nimejibu tu kama mdau alivyouliza
Ila sijui ana maana gani hapo ndio maana nikaweka alama ya mshangao
Wapo wale waliozaliwa na viungo viwili moja ikiwa ndani
Na wapo waliotengeneza ndio maana nikaweka hiyo ??
Acha ukorofiSamahani kiongozi... 'jibi' ndio nini?
shemaleLeo navunja utamaduni wangu wa kutojaadili jinsia ya mtu majukwaani.
Nimesoma nyuzi kadhaa za ndugu yetu Mpwayungu Village ambaye hana parody kama walivyomclone GENTAMYCIME GENTAMYCINE bila ridhaa yake. Ingawa kwa nabii Genta kuna kautofauti kwenye sarufi
Turudi kwenye mada. Ndugu Mpwayungu ameweka mabandiko mengi sana kuelezea nafasi ya waalimu kwenye jamii na hakika alielemea upande hasi zaidi kwa mujibu wa waalimu wa humu. Malalamiko yalikuwa mengi sana sana. Wapo walioomba afungiwe na wengine waliendelwlea kulaani kila andiko alilolenga kuwakosoa vikali waalimu.
Wiki za hivi karibuni ameanza kuonesha mwelekeo legevu kabisa.... lakini naona kwamba tujue kama ndugu yetu ni jinsia Ke ikiyojificha kwenye posts zinazoashiria ni mwanaume, au ni zile laana za waalimu zimeanza kumshughulikia kabla ya mhula?