Member mwenzetu Mpwayungu Village ni He au She au....?

Member mwenzetu Mpwayungu Village ni He au She au....?

Aaah mi mwenyewe na hamu ni mtafune.Japo ana boa sana kuhalalisha Upunga
N rahisi kama yeye ndie akaanza kukuelewa kabla yako, ila mm najuana nae kitambo hvy ikawa kama kumsukuma mlevi. Kuhusu Upunga nadhani anaongea kuchangamsha genge tuu ila sio mtu wa hvy
Ngoja aje akuchambe
Kwann anichambe.? Labla kwa kuwa nimesema hii hadharani ila najua ntamuweka sawa mana nia yangu ilikuwa kuonyesha kuwa n mwanamke kweli na sio kama hao wngn wanavyosema
 
Sorry nimejibu tu kama mdau alivyouliza
Ila sijui ana maana gani hapo ndio maana nikaweka alama ya mshangao
Wapo wale waliozaliwa na viungo viwili moja ikiwa ndani
Na wapo waliotengeneza ndio maana nikaweka hiyo ??
Nilikuelewa mkuu japo ile uliyoweka ilikuwa ni alama ya kuuliza

Wapo wanaozaliwa na hizo jinsia ..nitafaidika na jibu kuwa wanaitwaje
 

Hapa
Hapo Kuna uhusika upi wakuonesha mm ni mwanamke? Utaje
 
Leo navunja utamaduni wangu wa kutojaadili jinsia ya mtu majukwaani.

Nimesoma nyuzi kadhaa za ndugu yetu Mpwayungu Village ambaye hana parody kama walivyomclone GENTAMYCIME GENTAMYCINE bila ridhaa yake. Ingawa kwa nabii Genta kuna kautofauti kwenye sarufi


Turudi kwenye mada. Ndugu Mpwayungu ameweka mabandiko mengi sana kuelezea nafasi ya waalimu kwenye jamii na hakika alielemea upande hasi zaidi kwa mujibu wa waalimu wa humu. Malalamiko yalikuwa mengi sana sana. Wapo walioomba afungiwe na wengine waliendelwlea kulaani kila andiko alilolenga kuwakosoa vikali waalimu.

Wiki za hivi karibuni ameanza kuonesha mwelekeo legevu kabisa.... lakini naona kwamba tujue kama ndugu yetu ni jinsia Ke ikiyojificha kwenye posts zinazoashiria ni mwanaume, au ni zile laana za waalimu zimeanza kumshughulikia kabla ya mhula?
Post zake ni tata
  1. Anasema wanaume wengi wakivua suruali anaona hawajakatwa
  2. Wanaume wengi wanashindwa kuwafikisha wanawake kileleni
  3. Yenye inchi 5+ ndiyo huwafikisha peak etc
 
Back
Top Bottom