Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
Umesamehewa na usirudieMkuu wangu nisamehe bure.
Lakini kuuliza si ujinga maana salutation na reality vinatofautiana nisije nikapishana na pisi kali buree
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesamehewa na usirudieMkuu wangu nisamehe bure.
Lakini kuuliza si ujinga maana salutation na reality vinatofautiana nisije nikapishana na pisi kali buree
Na wanaokula sio mimi 😂[emoji38][emoji38][emoji38]
Linafaa kuliwa hili
Na wanaokula sio mimi [emoji23]
Huyo tena chumba chake kina mafuta kila kona mbona huwa anaomba hadharani kutompwaMkitoka kwa Mpwayungu nendeni kwa COCASTIC.
Hapana sili papai acha tu niwe mzembeKwani lina ubaya gani hilo papai
Usiwe mzembe bana[emoji38][emoji38]
JF sihami 😁😁Usikute na hii ni ID yake...!
Anataka aliweKuna Uzi title tu nimeishiwa nguvu.
Eti kauliza kati ya Harmo, mond na Kiba nani ana kifua kizuri?.
Mliosoma Uzi mniambie alimaanisha nini?
Hewalaaaa habibtyNitaacha [emoji2960]
Huyo atakuwa s/heLeo navunja utamaduni wangu wa kutojaadili jinsia ya mtu majukwaani.
Nimesoma nyuzi kadhaa za ndugu yetu Mpwayungu Village ambaye hana parody kama walivyomclone GENTAMYCIME GENTAMYCINE bila ridhaa yake. Ingawa kwa nabii Genta kuna kautofauti kwenye sarufi
Turudi kwenye mada. Ndugu Mpwayungu ameweka mabandiko mengi sana kuelezea nafasi ya waalimu kwenye jamii na hakika alielemea upande hasi zaidi kwa mujibu wa waalimu wa humu. Malalamiko yalikuwa mengi sana sana. Wapo walioomba afungiwe na wengine waliendelwlea kulaani kila andiko alilolenga kuwakosoa vikali waalimu.
Wiki za hivi karibuni ameanza kuonesha mwelekeo legevu kabisa.... lakini naona kwamba tujue kama ndugu yetu ni jinsia Ke ikiyojificha kwenye posts zinazoashiria ni mwanaume, au ni zile laana za waalimu zimeanza kumshughulikia kabla ya mhula?
Joannah umechelewa sana umekuta watu wameshamaliza hasira zao.Ye mwenyewe anasemaje?
Muacheni basi.😃Joannah umechelewa sana umekuta watu wameshamaliza hasira zao.
Sema Mimi sio mpenzi wa machoko , ningemlaAnataka aliwe
HermaphroditeSamahani kiongozi... 'jibi' ndio nini?
Tumemvua nyota zote hadi uchunguzi utakapokamilika.Muacheni basi.[emoji2]