Member mwenzetu Mpwayungu Village ni He au She au....?

Mpwayungu Village uko wapi uje ujibu hizi Tuhuma ambazo nasikitika kwanini GENTAMYCINE sikuzijua Kitambo hicho.
Achana nao, ngozi nyeusi zimejawa laana Kwa sababu niwasengenyaji, wachawi, wafitinishaji... Mimi ni mwanaume kamili mwenye mborow mshindo. Kama Kuna sehemu nilisema mimi ni mwanamke walete hapa ushahidi
 
Una nafasi yako pale simba ngoja uchaguzi ujao ufike.
 
Samahani kiongozi.....hilo ulilojibu ndo jibi lenyewe au na wewe umeongezea swali
Sorry nimejibu tu kama mdau alivyouliza
Ila sijui ana maana gani hapo ndio maana nikaweka alama ya mshangao
Wapo wale waliozaliwa na viungo viwili moja ikiwa ndani
Na wapo waliotengeneza ndio maana nikaweka hiyo ??
 
shemale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…