Mkuu unaishi chini ya jiwe!? Fungua macho na masikio ili ufahamu yanayojiri. Hizo maiti zinazookotwa ufukweni hujasikia? Mwandishi wa Mwananchi zaidi ya wiki tatu leo kapotea Serikali kimyaaaa!!
Jirani umeanza ushilawadu lin?Kuna Siku nilimwona mdada mmoja kwenye daladala anafungua jf nkawa namchungulia nmwone atalog in na id gan bahat yake alijificha na kava la simu nisione
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kuna workmate mmoja alinikuta natumia paaap mimi siogopagi akaniuliza huu mtandao gani nikamwambia JF.
Mbona kila nikikuona unautumia unacheka saana nikamwambia kuna raha na karaha humu ingia ujionee.
Haya nifungulie account.. nikamwelekeza nikampa na sheria za mchezo akaanza kujiachia alivyozoea akaniuliza wewe ndiye nanii? Nikamwambia hapana mimi ni Saint Ivuga[emoji23] [emoji23] sijui kama ivuga hakuwahi kumtumia text. [Basi leo umenijua ila tuhifadhiane wote watu wazima]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Sanaa tu mpk shingo iliuma nkaachaJirani umeanza ushilawadu lin?
Sasa si ulibaki umesimamia visigino?
Wewe siku ukiulizwq sema wewe espy[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Saint Ivuga bby umeona apa
Sasa mm nakaa wap[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Saint Ivuga bby umeona apa
Mumu vipiiiSasa mm nakaa wap
Mimi ningekuwashia camera ya nyuma tutazamane tu.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Sanaa tu mpk shingo iliuma nkaacha
Yaaah... Ila ipo siku ataifuma tu ID yako.. Kama nae ana interest na JFme waifu wangu anajua tu nikiwa bize na pc anajua tayari natupia mavitu JF,ila hajui hata ID yangu
Hahahahaah apo shilawadu ndo ningeumbuka lakn alikua kwa pemben napiga kijicho dizain flan hiv ya chabo si unajuaMimi ningekuwashia camera ya nyuma tutazamane tu.
Khaaa asee umenishinda...Hahahahaah apo shilawadu ndo ningeumbuka lakn alikua kwa pemben napiga kijicho dizain flan hiv ya chabo si unajua
Daaah.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Saint Ivuga bby umeona apa
Acha hizo.Huyu kafundishwa na ivuga. Alafu yule jamaa siku hiz tabia mbovu kabisa yaani anatongoza hadharani Kabisa Yaani ata hamuhofii inna
Inna naye anayongzwa hadharani saana naona wanalipiziana....Huyu kafundishwa na ivuga. Alafu yule jamaa siku hiz tabia mbovu kabisa yaani anatongoza hadharani Kabisa Yaani ata hamuhofii inna
Afu nawatafuta hao wanaomtongoza InnaInna naye anayongzwa hadharani saana naona wanalipiziana....
Ahaaaa jiran jomon nani Huyo kantongoza hadharan?Inna naye anayongzwa hadharani saana naona wanalipiziana....