Member wa JF huwa mnajificha wapi mnapo tumia JamiiForums.!??

Member wa JF huwa mnajificha wapi mnapo tumia JamiiForums.!??

Mkuu unaishi chini ya jiwe!? Fungua macho na masikio ili ufahamu yanayojiri. Hizo maiti zinazookotwa ufukweni hujasikia? Mwandishi wa Mwananchi zaidi ya wiki tatu leo kapotea Serikali kimyaaaa!!

Hatari sana?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kuna Siku nilimwona mdada mmoja kwenye daladala anafungua jf nkawa namchungulia nmwone atalog in na id gan bahat yake alijificha na kava la simu nisione
Jirani umeanza ushilawadu lin?

Sasa si ulibaki umesimamia visigino?
 
Kuna workmate mmoja alinikuta natumia paaap mimi siogopagi akaniuliza huu mtandao gani nikamwambia JF.

Mbona kila nikikuona unautumia unacheka saana nikamwambia kuna raha na karaha humu ingia ujionee.

Haya nifungulie account.. nikamwelekeza nikampa na sheria za mchezo akaanza kujiachia alivyozoea akaniuliza wewe ndiye nanii? Nikamwambia hapana mimi ni Saint Ivuga[emoji23] [emoji23] sijui kama ivuga hakuwahi kumtumia text. [Basi leo umenijua ila tuhifadhiane wote watu wazima]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Saint Ivuga bby umeona apa
 
Back
Top Bottom