Hahahaaaaa sasa hapa na yy atakujuaKuna siku nipo brela nasubiri huduma kulikuwa na jamaa anacheka tu kila akisoma kitu kwenye simu yake (huku anakagua kagua fomu) uzuri walikuwa wawili hawa ma bro mwenzake akamuuliza vipi? Jamaa akamtaja 'Gudume' basi mimi fasta nikazama JF lahaulaa! nkakutana na Uzi wa Gudume nikakausha.
Nikamcheki jamaa bado anajichekesha tu!, ghafla akaanza ku type nikasubiri post mpya nimjue aka post utumbo kinoma tofauti na muonekano wake ata sikuamini na mimi nkamsapoti kwa kum-quote ghafla nkasikia kantaja huku anaongea na mwenzake
Asa kila nkifika ofisi yao nabaki namcheka tu huyu bro wa early 40s maan ana post za ajabu ajabu. Sema uzuri si mtu wa jukwaa la siasa.
[bro wa Brela habari yako?, Mgeni wa Jiji nakusalimu[emoji1538]]
Navunga nn sasa embu wataje haoAcha kuvunga
me waifu wangu anajua tu nikiwa bize na pc anajua tayari natupia mavitu JF,ila hajui hata ID yangu
Hahahaaaaa sasa hapa na yy atakujua
Getto mkuu hadharani you can be tissilizedHabari zenu wadau wa JF.?
Naam wadau kama nilivyo andika hapo juu. Napenda kujua hiv nyie wanajukwaa huwa mnatumia huu mtandao wa JF mkiwa maficho gani maana sijawahi kutana wala kuona ata member mmoja akitumia JF hadharani.
Mfano ukiwa kwenye Daladala watu kutumia mitandao kama vile Facebook, Instagram, Twitter, WhatsApp n.k ni jambo la kawaida ila sasa shughuli inakuja kwenye mtandao wa JF. Yaani sijawahi ona wala kukuta mtu anatumia JF hadharani.
Tatizo ni nn wakuu mnaogopa ama ni nn.???
Tunamuogopa baba Jesca hahahahaJf Imetugeuza walemavu wa akili. Unajificha kuanzia jina, sura, mpaka sehemu ya kutumia. Sababu ya kufanya hayo hakuna.
Wana jf wanakaa maeneo tofauti ndo maana huwaoni. Mimi ninatumia JF nikiwa home, kazini, kwenye burudani like soka na draftHabari zenu wadau wa JF.?
Naam wadau kama nilivyo andika hapo juu. Napenda kujua hiv nyie wanajukwaa huwa mnatumia huu mtandao wa JF mkiwa maficho gani maana sijawahi kutana wala kuona ata member mmoja akitumia JF hadharani.
Mfano ukiwa kwenye Daladala watu kutumia mitandao kama vile Facebook, Instagram, Twitter, WhatsApp n.k ni jambo la kawaida ila sasa shughuli inakuja kwenye mtandao wa JF. Yaani sijawahi ona wala kukuta mtu anatumia JF hadharani.
Tatizo ni nn wakuu mnaogopa ama ni nn.???