Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijamwona kitambo sana😆Huyo yupo mbona na Matusi yake[emoji2]
Jamani kweli huyu mkuu yuko wapi 😘
Yaaani.. Sijui Humble alienda wapi jamani.Jamani kweli huyu mkuu yuko wapi [emoji8]
Yupo na ID nyingine. Ile si ana life Ban..Sijamwona kitambo sana[emoji38]
Nimemkumbuka ile misemo yake aisee hiyo tag basi hata atokeze jamani😒Yaaani.. Sijui Humble alienda wapi jamani.
Alikuwa na misemo yake ukisoma lazima ucheke tu.
Yaaani.. Atokeze tu. Siyo kummiss namna hii..Nimemkumbuka ile misemo yake aisee hiyo tag basi hata atokeze jamani[emoji19]
Pole sana. Kuna vitu nilivikumbuka tuWakwanza ni wakwanza tu mamiii...
Nimemmiss sana huyo dada
UpoBaby doll
Huyu yupo, kuna uzi Jana nilimuona.
Uzi upi huo nikamcheki 😂
Nikumbushe viwili tuPole sana. Kuna vitu nilivikumbuka tu
Shunie, Khumbu