Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm sio usalama wa taifa[emoji16][emoji16][emoji28]HAPANA
Ok sawaHAPANA
Na mimi sio DemissMm sio usalama wa taifa[emoji16][emoji16][emoji28]
kuna mtawala fulani tangu aliposhika madaraka, baadhi ya wachangia mijadala jf wakaamua kuchukua ustaarabu wa kukaa kimya.
jeuri na ukatili wa mtawala yule kwa kiasi fulani imechangia kujaza hofu na kukatisha tamaa baadhi yetu mpaka tukaamua kuzisusa ID zetu pendwa za zamani.
mtawala yule hana jema, umsifie haisaidii, umkosoe pia haisaidii maana hapendi kukosolewa, sana sana utaishia kupewa kesi ya uhujumu uchumi.
mimi pia ni mmoja ya watu ambao ID yangu maarufu ya tangu mwaka 2010, niliisusa mwaka 2018, miaka mitatu tu baada ya mtawale yule kuingia madarakani.
inshallah siku Mungu akimpenda mtawala yule au vyovyote vile itakavyokuwa, nitaerejea jf kwa ID yangu ileile maarufu ya zamani.
wajuvu wa mambo wanasema bibi faiza foxy yupo busy ana endesha SIRI KALI leo alikuwa anazindua kiwanda cha polisi kurasini
[emoji23][emoji23] Mtag hapa mkuuKuna li ID limoja litakataka naona toka November 2020 halionekani na lipigwe dhoruba lisionekane kabisa lile ID takataka.
Wengine wamrbadili ID hapoTangu nijiunge JF kumekuwa na watu kwenye majukwaa tofauti kuwa active wakichangia hiki na kile. Kwa sababu tusizozijua watu hao kwa sasa hawapo, hawa hapa ni baadhi yao
Lizaboni
Simiyu Yetu
@Shyland
miss chagga
@Karauche
Munkari
MUSSA ALLAN
Gentamycin
Nifa
The bold
Je wewe unamkumbuka nani na kwa lipi?