Sijamwona kitambo sanaπHuyo yupo mbona na Matusi yake[emoji2]
Jamani kweli huyu mkuu yuko wapi π
Yaaani.. Sijui Humble alienda wapi jamani.Jamani kweli huyu mkuu yuko wapi [emoji8]
Yupo na ID nyingine. Ile si ana life Ban..Sijamwona kitambo sana[emoji38]
Nimemkumbuka ile misemo yake aisee hiyo tag basi hata atokeze jamaniπYaaani.. Sijui Humble alienda wapi jamani.
Alikuwa na misemo yake ukisoma lazima ucheke tu.
Yaaani.. Atokeze tu. Siyo kummiss namna hii..Nimemkumbuka ile misemo yake aisee hiyo tag basi hata atokeze jamani[emoji19]
Pole sana. Kuna vitu nilivikumbuka tuWakwanza ni wakwanza tu mamiii...
Nimemmiss sana huyo dada
UpoBaby doll
Huyu yupo, kuna uzi Jana nilimuona.
Uzi upi huo nikamcheki π
Nikumbushe viwili tuPole sana. Kuna vitu nilivikumbuka tu
Shunie, Khumbu